Vyote tunakubaliana navyo,Ila havina thamani kama uhai wa binaadamu mwenzako.Yote tunakubaliana na you, I'll vyote hivi having thamani kama uhai wa binaadamu mwenzako.
Vyote tunakubaliana navyo,Ila havina thamani kama uhai wa binaadamu mwenzako.Yote tunakubaliana na you, I'll vyote hivi having thamani kama uhai wa binaadamu mwenzako.
Tayari ameshajiona bila yeye hakuna kitakachowezekana, na kabla ya yeye hapakufanyika kitu! Huyu mpaka aondolewe, hawezi kutoka kwa hiari yake.“Siwezi nikasimama mbele za watu nikasema haya ni kwasababu yangu kwani mimi ni dereva tu lakini pia huwa ninajiuliza ikitokea siku Mungu akanichukua hao watakaokuja watayamaliza kweli kwasababu panahitaji moyo, unafanya hivi huku unatukanwa lakini inabidi ufanye kwaajili ya Watanzania, inahitaji kujitoa sadaka ya kweli,” amesema.
"watu wanatuogopa sasa"?nchi yetu sasa imekuwa ya mfano watu wanatuogopa sasa,
Huyo ndiyo aliyeleta shida. Kwanza alifanya unafki kuzuia katiba mpya. Pili ni wale wa mikataba mibovuPunguza ukali kwa Rais wangu wa maisha hatokuja kama yeye
Kwahiyo hataki kuondoka?
Rais bora my A.s.sHakuna rais bora dunian kama huyu.ni rare cases kupata
Kuingoza nchi na kuiletea maendeleo kama ilivyo sasa kutokana na kazi hiyo kuwa ngumu na kuhutaji viongozi kujitoa kwa moyo katika kufanikisha hilo.
Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Agosti 1, alipokuwa akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa jengo la tatu la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam ambapo amesema kuwa Tanzania sasa imekuwa mfano wa kuigwa na nchi nyingine.
“Mara nyingi tumeambiwa kuwa Tanzania ni masikini, ninaomba neno hilo tulifute kwani nchi yetu ni tajiri lakini tulitaka kuaminishwa na watu waliotaka kututumia, kuna miradi imetumia matrilioni ya fedha saa nyingine ninajiuliza kweli hili limewezekana, tumeweza maana yake kila palipo na nia Mungu yupo pamoja na sisi,” amesema.
“Siwezi nikasimama mbele za watu nikasema haya ni kwasababu yangu kwani mimi ni dereva tu lakini pia huwa ninajiuliza ikitokea siku Mungu akanichukua hao watakaokuja watayamaliza kweli kwasababu panahitaji moyo, unafanya hivi huku unatukanwa lakini inabidi ufanye kwaajili ya Watanzania, inahitaji kujitoa sadaka ya kweli,” amesema.
“Ninamshukuru Mungu kwa kuendelea kulisimamia taifa hili na ninawashukuru Watanzania wenzangu kwa kuendelea kuniombea na kunipa moyo, nchi yetu sasa imekuwa ya mfano watu wanatuogopa sasa, wapo wanaouliza mnapata wapi fedha mimi ninasema zilikuwa kwa mafisadi sasa zinaenda kwa Watanzania,” amesema.
Mhhh.Wewe hujajua tafsiri ya hiyo statement.Raisi Yuko sahihi mtu mwingine akija so lazima aendeleze hayo hayo anayofanya.Mfano kazindua uwanja mpya wa ndege na kanunua ndege anayekuja aweza Sasa fanya kazi ya kuwawezesha watanzania kwa kuwapa ajira wengi , kuongeza mishahara wafanyakazi na Bei za mazao ili watanzania wengi Wawe na Uwezo wa kupanda hizo ndege alizonunua na kuutumia huo uwanja .Pia mwingine akija so lazima ajenge mabarabara yeye aweza kuja na mkakati wa mfano kuondoa ushuru wa magari au kupunguza Kodi ili watanzania wengi waweze kumudu kumiliki magari binafsi mengi watumie kwenye hizo barabara alizojenga.Hospitali na zahanati nyingi aluzijenga mwingine akija so lazima ajenge aweza kipau mbele chake kujaza ajira za madaktari na manesi na madawa kwenye hizo hospitali alizojenga kuhakikisha zinakuwa na madaktari na manesi was kutosha .Uraisi kila moja hufanya kivyake hakuna was KU.kopi kwa mwenzie.Yeye akiondoka anatakiwa ajue kabisa kuwa ajaye nyuma yake SI lazima afanye Kama alivyofanya yeye.Yeye Kama Raisi afanye chake ya mengine akiondoka awaachie wengine.
anajenga hoja ili aendelee kutawala.Naomba kwa pamoja tumtambue aliyemtuma Juma Nkamia.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
Itupie humu tuione MkuuNinayo video Magufuli anaongea na baadhi ya watu wake wa karibu eti kama kuondoka basi iwe 2035...Tujiandae
Kaka nilikuwa nasikia baridi huku nyuma eti jirani kaniambia suruali yangu imetoboka ebu na wewe angalia ni kweli?Akwende zake hukoooo! Asitake kutuaminisha kwamba yeye.ndiye.atakuwa wa mwisho.hatutapata mwenye akili! Eti naye kwa.akili yake anaona anafanya maajabu! Asitake kutudanganya eti tunatumia pesa yetu, mbona deni la taifa linapaa kama tunatumia pesa ya mafisadi? Aache upotoshaji huyu Mzee!
Kuingoza nchi na kuiletea maendeleo kama ilivyo sasa kutokana na kazi hiyo kuwa ngumu na kuhutaji viongozi kujitoa kwa moyo katika kufanikisha hilo.
Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Agosti 1, alipokuwa akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa jengo la tatu la abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam ambapo amesema kuwa Tanzania sasa imekuwa mfano wa kuigwa na nchi nyingine.
“Mara nyingi tumeambiwa kuwa Tanzania ni masikini, ninaomba neno hilo tulifute kwani nchi yetu ni tajiri lakini tulitaka kuaminishwa na watu waliotaka kututumia, kuna miradi imetumia matrilioni ya fedha saa nyingine ninajiuliza kweli hili limewezekana, tumeweza maana yake kila palipo na nia Mungu yupo pamoja na sisi,” amesema.
“Siwezi nikasimama mbele za watu nikasema haya ni kwasababu yangu kwani mimi ni dereva tu lakini pia huwa ninajiuliza ikitokea siku Mungu akanichukua hao watakaokuja watayamaliza kweli kwasababu panahitaji moyo, unafanya hivi huku unatukanwa lakini inabidi ufanye kwaajili ya Watanzania, inahitaji kujitoa sadaka ya kweli,” amesema.
“Ninamshukuru Mungu kwa kuendelea kulisimamia taifa hili na ninawashukuru Watanzania wenzangu kwa kuendelea kuniombea na kunipa moyo, nchi yetu sasa imekuwa ya mfano watu wanatuogopa sasa, wapo wanaouliza mnapata wapi fedha mimi ninasema zilikuwa kwa mafisadi sasa zinaenda kwa Watanzania,” amesema.
Utajijua mwenyewe!Kaka nilikuwa nasikia baridi huku nyuma eti jirani kaniambia suruali yangu imetoboka ebu na wewe angalia ni kweli?
"Nchi yetu ni tajiri, Watanzania tunaweza, Jengo hili limegharimu Mabilioni ya fedha zaidi ya bilioni 700, fedha hizi zimetolewa na Watanzania kwa asilimia 100, ambapo asilimia 15 fedha taslimu na 85% tumekopa , na mkopo huu utarejeshwa kupitia kodi zetu" - JPM #UzinduziTerminal3Hivi who believe anything this dude says?
At least mimi binafsi I dont!
Kikwete ni mpumbavu sana, Mwalimu Nyerere aliona mbali sana, alijua kabisa kuwa Kikwete hafai kuwa Rais alijua angeiacha nchi pabaya mno sasa nyote mmeona