Magufuli: Nikiondoka watakaokuja wataweza?

Magufuli: Nikiondoka watakaokuja wataweza?

Kwamba akichukuliwa na Mungu hajui kama atapatikana mwingine wa kuweza kuendeleza nchi? Ndio hawezi kupatikana ndani ya chama chake CCM lakini nchi kama Tanzania bado inao watu wengi wa kuweza kuongoza kuleta maendeleo na kubwa zaidi FURAHA YA KUISHI ULIMWENGUNI KAMA WATANZANIA.
Aondoke 2020 kisha Mungu ampe maisha marefu ili ajionee Tanzania yenye maisha ya neema na vicheko badala ya Hofu, vilio, utekaji na mauaji ya siri dhidi ya raia wema.
IMG_20190802_073152.jpeg
 
Aiseee,pamoja na miradi ya maendeleo,mimi nikisikia mambo ya kutekana na kuuana huwa naukatia tamaa kabisa uongozi uliopo!
Tunaishi ili tu enjoy maisha na ndio makusudio ya Mungu.
Hata maendeleo ni hatua kwa hatua, hivyo huwezi lazimisha Tanzania kuwa kama Dubai kwa mwaka mmoja ila malengo yaweza kuwa hayo. Huwezi lazimisha jambo kwa kuteka, kushambulia na kuua ili kutimiza malengo ya haraka
 
Marais waliopita wote walikuwa na mchango mzuri katika ujenzi wa taifa letu. Huyu amalize muda wake aondoke halaf kama Mungu atamjalia maisha mrefu aone wengine wanaongozaje. Kiburi na kujitukuza mwenyewe hakufai!
 
Huyu jamaa kweli ni mwendawazimu! Sijui nani anamdanganya kwamba ana sifa ya kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi kumi achilia mbali kuwa Rais. Yuko kufanya maovu ya kutisha ikiwemo wizi na ubadhirifu wa trillions ambao haujawahi kufanywa katika awamu yoyote ile, yeye na vikaragosi vyake wanaona anafanya makubwa sana! Ama kweli nyani....

Kwamba akichukuliwa na Mungu hajui kama atapatikana mwingine wa kuweza kuendeleza nchi? Ndio hawezi kupatikana ndani ya chama chake CCM lakini nchi kama Tanzania bado inao watu wengi wa kuweza kuongoza kuleta maendeleo na kubwa zaidi FURAHA YA KUISHI ULIMWENGUNI KAMA WATANZANIA.
Aondoke 2020 kisha Mungu ampe maisha marefu ili ajionee Tanzania yenye maisha ya neema na vicheko badala ya Hofu, vilio, utekaji na mauaji ya siri dhidi ya raia wema.View attachment 1170063
 
Hata Bashite anaweza akiwatumia wataalamu vizuri..Mzee baba acha mikwara
 
Yaani yeye anafikiri ana akili na uwezo kuliko wengine! Achukuliwe sasa hivi 'aone' kama nchi itakwama!
Anyway, asichukuliwe bali aondoke tu kwa kuachia ngazi au vinginevyo halafu aone kama nchi itakwama!
 
ya Mungu tu ndio binadamu hawawezi kufanya lakini ya binadamu wako wengi wa kufanya kama yeye na wengine kuliko yeye kwa sana.
 
Kwamba akichukuliwa na Mungu hajui kama atapatikana mwingine wa kuweza kuendeleza nchi? Ndio hawezi kupatikana ndani ya chama chake CCM lakini nchi kama Tanzania bado inao watu wengi wa kuweza kuongoza kuleta maendeleo na kubwa zaidi FURAHA YA KUISHI ULIMWENGUNI KAMA WATANZANIA.
Aondoke 2020 kisha Mungu ampe maisha marefu ili ajionee Tanzania yenye maisha ya neema na vicheko badala ya Hofu, vilio, utekaji na mauaji ya siri dhidi ya raia wema.View attachment 1170063
Lisu anaweza
 
Natamani sana awe rais wa maisha, wamefanya china, rwanda, uingereza na kwingineko
 
Yaani yeye anafikiri ana akili na uwezo kuliko wengine! Achukuliwe sasa hivi 'aone' kama nchi itakwama!
Anyway, asichukuliwe bali aondoke tu kwa kuachia ngazi au vinginevyo halafu aone kama nchi itakwama!
Ni kichekesho mtu akikubaliana naye kwamba eti ni bora kuliko Mtanzania mwingine yeyote!
Au hilo anaambiwa na ukoo wake hivyo anadhani ni Watz wote wanawaza hivyo?
 
Kwamba akichukuliwa na Mungu hajui kama atapatikana mwingine wa kuweza kuendeleza nchi? Ndio hawezi kupatikana ndani ya chama chake CCM lakini nchi kama Tanzania bado inao watu wengi wa kuweza kuongoza kuleta maendeleo na kubwa zaidi FURAHA YA KUISHI ULIMWENGUNI KAMA WATANZANIA.
Aondoke 2020 kisha Mungu ampe maisha marefu ili ajionee Tanzania yenye maisha ya neema na vicheko badala ya Hofu, vilio, utekaji na mauaji ya siri dhidi ya raia wema.View attachment 1170063
Mbona ulichoandika hakifanani na quotation iliyopo hapo juu?
 
CCM wenyewe wamemchoka mpaka wanamwita mshamba wengine wanasema amechanganyikiwa, wengine wanasema anaogopa kukaa Dar
Lakini wana CCM kama Makonda, Hapi, Muro na wengine wa aina hiyo hawakubaliani na hiyo kauli ya "mshamba" na wako radhi kumtenda mabaya anayefikiri hivyo
 
Wengi wenu mliyokomenti ni wapumbafu sana aisee!! Vipofu na viziwi sijui mlizaliwa nchi gani na sijui kama mlishapata uraia!!
 
Back
Top Bottom