Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,932
Kama wameshindwa kusimamia uchaguzi huru willingly, this time around watakuwa forced kufanya hivyo.Kama wanamwogopa kuna uchaguz huru apo?!
#SASABASI
Kama wameshindwa kusimamia uchaguzi huru willingly, this time around watakuwa forced kufanya hivyo.Kama wanamwogopa kuna uchaguz huru apo?!
Kusema kweli CCM na serikali yake ni wezi wakubwa. Walizibana hizo pesa alafu walipo banwa na wananchi, wanazileta kama rushwa ili wapewe kura.Hizo pesa ni rushwa na zinatolewa kuwarubuni wananchi tu
Yaleyale,tril 1.5 zilithibitika? Kama mimi muhuni powa kamanda.
Haya ndo mambo yatakayosababisha vurugu huko mbeleniNashangazwa sana mambo haya,Mgombea anatoa maelekezo kipindi hiki cha kampeni?!utafikir yuko kwenye ziara ya kiserekali,NEC wako bize kufuatilia Lissu kasema nini leo, kwa staili hii kukitoa madarakan chama hiki ni ngumu sana
Katiba mbovu itazalisha viongoz wabov,Ccm wameshindwa kabsa kuiletea maendeleo hii Nchi,wako bize kugawana rasilimali za Nchi,Kama wameshindwa kusimamia uchaguzi huru willingly, this time around watakuwa forced kufanya hivyo.
#SASABASI
They must be forced to leave our country freeKatiba mbovu itazalisha viongoz wabov,Ccm wameshindwa kabsa kuiletea maendeleo hii Nchi,wako bize kugawana rasilimali za Nchi,
Hatuombei iwe hivyo,ila NEC wajitathimini kama hicho kiatu kunawafaa,Kwan si vyema kutulazimisha kuogozwa na asie chaguo la wengiHaya ndo mambo yatakayosababisha vurugu huko mbeleni
Ni kweli tumechoshwa na hizi mambo,Hii Nchi ni yetu sote,sio yahao ambao wanamiaka kibao wanajisifia vijimambo tuThey must be forced to leave our country free
Kumbe unamfuatilia kila anapofanya kampeni zake...nami nimemsikiliza leo akiwa hapo Uvinza..inaonesha hiyo barabara ya kilometa 10, ilitengewa milioni mia 5 kwa ujenzi wa kilometa 1 tu ya lami kwa mwaka huu..(itakuwa lami hafifu sana bila shaka)..baada ya mgombea kusikia hivo ndo akajigeuza gafla kuwa Rais na akaagiza ziletwe bil.5 ili kilometa zote 10 zikamilike mara moja.Sawa, pamoja na jibu lako, ungejibu maswali niliyouliza ingependeza zaidi.
Hao wananchi wasingeulizia, hizo pesa zilikuwa ziende wapi?
Kwa nini kama hizo pesa zilishatolewa, hazikupelekwa kwa wakati husika?
Anafikiri humu kuna watu wenye akili fupi za kuongozwa na mwenyekiti kama huko CCM kwao.Mjinga kabisa huyo muuza sura, halafu Eti kila mchango wenye muelekeo wa kiupinzani anaelekeza uwe kwa faida ya kiCCM. Muhuni mkubwa huyo.
Hii inaonesha kuna usiri mkubwa sana kwenye fedha za budget zinazotolewa. Fedha zinatoka kwenye bajeti hii, alafu zinafunikwa, alafu zitakazo tolewakwenye bajeti nyingine ndizo zinatumika.
Nadhani hata mwendawazimu anaweza kuongoza nchi hii. Si unakumbuka hii kauli.? "Nimemteua waziri kichaa kichaa kama mm kushughulikia uvuvi"Katika nchi ambayo rais unaamua chochote na hakuna wa kukuzuia sio sheria wala taasisi, unashindwaje kazi hiyo kwa mfano?
He is now uses proper powers of Incumbent. Magufuli go go go.Hii ni rushwa. Kampeni zimemshida......!!