Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
- Thread starter
- #41
Kumbe unamfuatilia kila anapofanya kampeni zake...nami nimemsikiliza leo akiwa hapo Uvinza..inaonesha hiyo barabara ya kilometa 10, ilitengewa milioni mia 5 kwa ujenzi wa kilometa 1 tu ya lami kwa mwaka huu..(itakuwa lami hafifu sana bila shaka)..baada ya mgombea kusikia hivo ndo akajigeuza gafla kuwa Rais na akaagiza ziletwe bil.5 ili kilometa zote 10 zikamilike mara moja.
kwa hiyo kusema kuwa zilitengwa wananchi wamepiga kelele ndo zikaagizwa kuletwa,ni kuwasingizia tu kitu ambacho siyo kizuri hata kama ni kampeni Labda hoja yako ingekuwa hizo bil 5 zinatoka wapi, ziko kwenye bajeti?
ila kutufanya wote wajinga hatukuelewa kilichofanyika ila wewe tu ndiyo mjanja ulielewa sana nikutokututendea haki
Sorry, sijakuelewa unachotaka kusema/kumaanisha. Naomba aliyemuelewa anisaidie.
Pili tafadhali sana husiniwekee maneno mdomoni. hilo la kuwafanya wajinga halipo kwenye uzi wangu, wewe ndo umekuja nalo, kwa hiyo hayo mengine ni wewe umeyaweka na si mimi.
Ni vizuri kujikita kwenye mada bila kubadilisha maneno ambayo yanaweza haribu maana halisi ya ujumbe uliokusudiwa.