Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 10,125
- 19,715
MAGUFULI Ni jembe anapiga kazi mara mbili na haterereki CCM hoyeeeeeeeee!!!!,lisu kazi kulia shida kama goigoi la taifa
Wewe lofa umetokea wapi?Je angeamua kuchukua hiyo bil tano na kwenda Capetown kula bata ungesema ametumia akili nzuri? Kisa katiba inamlinda? Unaibisha chama cha upinzani.
Acha kupotosha watu wenye akili zao!! Hilo fungu linalotoka kwenye bajeti kuu, la kwenda kuwa danganyia watu linaitwaje? Kwani pesa za bajeti mafungu yake yote yanajulikana, na utaratibu wake wa kuyatoa upo kisheria!!! Sema awamu hii pesa zote za serikali zinatumika kama pesa za mlevi tu!!! Atakavyo amua mwenyewe ndio hivyo!! Miradi mingapi iliyopo kwenye bajeti inakosa pesa, leo inapatikana pesa ambayo hata kwenye bajeti ya hicho kitu, haipo? Ni suala la muda tu awamu itaisha, akija CAG, na serikali makini, mbona watu watafumba macho kwa taarifa za fedha za miaka 10!!!hii!!Bajeti kuu ikipita huwa kuna mafungu kama haya. Mnaleta hoja ambazo zinafanya Chadema ionekane haina watu makini. Zilikwapuliwa na nani? Tumia akili.
5kibaya ulishajulikana ni mataga na utachoka soonYaleyale,tril 1.5 zilithibitika? Kama mimi muhuni powa kamanda.
Kwani matumizi mengineyo na huwa yanatoka wapi? Au huwa unayatoa kwenye ruzuku ya Chadema iliyoliwa na mwenyekiti wetu?Acha kupotosha watu wenye akili zao!! Hilo fungu linalotoka kwenye bajeti kuu, la kwenda kuwa danganyia watu linaitwaje? Kwani pesa za bajeti mafungu yake yote yanajulikana, na utaratibu wake wa kuyatoa upo kisheria!!! Sema awamu hii pesa zote za serikali zinatumika kama pesa za mlevi tu!!! Atakavyo amua mwenyewe ndio hivyo!! Miradi mingapi iliyopo kwenye bajeti inakosa pesa, leo inapatikana pesa ambayo hata kwenye bajeti ya hicho kitu, haipo? Ni suala la muda tu awamu itaisha, akija CAG, na serikali makini, mbona watu watafumba macho kwa taarifa za fedha za miaka 10!!!hii!!
Mimi kamanda msema kweli.Wewe lofa umetokea wapi?
Kusema kweli nimekuwa mataga.5
5kibaya ulishajulikana ni mataga na utachoka soon
Naona pesa za walipa kodi zilikuwa zimekwapuliwa na CCM. Baada ya wananchi wa uvinza kulalamika, mkuu katoa amri hizo pesa zitolewe ndani ya wiki moja na ujenzi wa barabara uanze.
Swali ni je: Hao wananchi wasingeulizia, hizo pesa zilikuwa ziende wapi?
Alikuwa wapi kabla ya leo?
Mimi hayo mengine sijui,jambo la msingi ni rais huku ni mgombea pia. Kwa hiyo anaweza kuua ndege wawili kwa jiwe moja. Mimi kama mtu muelewa naona hakuna tatizo.Hiyo kero ya barabara imeanza wiki hii? Mbona hakutatua muda wote wa miaka mitano, mpaka asubiri siku ya kampeni? Mwambie jiwe aache kutaka kunenepeshea ng'ombe mnadani.
Mimi hayo mengine sijui,jambo la msingi ni rais huku ni mgombea pia. Kwa hiyo anaweza kuua ndege wawili kwa jiwe moja. Mimi kama mtu muelewa naona hakuna tatizo.
Kwani kosa liko wapi? Kusema kuwa mgombea wa Ccm ana kofia ya urais na ugombea?Huna uelewa wowote, bali ni mnafiki uliyejipa kazi ya kupaka rangi upepo hapa jukwaani.
Naona pesa za walipa kodi zilikuwa zimekwapuliwa na CCM. Baada ya wananchi wa uvinza kulalamika, mkuu katoa amri hizo pesa zitolewe ndani ya wiki moja na ujenzi wa barabara uanze.
Swali ni je: Hao wananchi wasingeulizia, hizo pesa zilikuwa ziende wapi?
Kwa nini kama hizo pesa zilishatolewa, hazikupelekwa kwa wakati husika?
Kwani kosa liko wapi? Kusema kuwa mgombea wa Ccm ana kofia ya urais na ugombea?
Nafikiri hii sheria inawahusu wapinzani tu. Huwa nafikiri sana ni kwa nini watu wanaamua kudai haki kwa nguvu zote baada ya busara kushindwa, nikagundua madhambi kama haya yanaweza kuwafanya watu waamue kivingine.Maadili ya uchaguzi na sheria za uchaguzi zinakiukwa waziwazi alafu Tume wako kimya. This is insane kabisa. Sasa tunatunga sheria kwa sababu gani Kama zinavunjwa waziwazi tena mchana kweupe kiasi hiki????
Hii ni Rushwa ya uchaguzi ya waziwazi, alikuwa wapi kufanya yote hayo huko nyuma hadi asubiri kipindi cha kampeni???
Mimi hayo mengine sijui,jambo la msingi ni rais huku ni mgombea pia. Kwa hiyo anaweza kuua ndege wawili kwa jiwe moja. Mimi kama mtu muelewa naona hakuna tatizo.
Kwanini leo,na siijana ?Bajeti kuu ikipita huwa kuna mafungu kama haya. Mnaleta hoja ambazo zinafanya Chadema ionekane haina watu makini. Zilikwapuliwa na nani? Tumia akili.
Naona pesa za walipa kodi zilikuwa zimekwapuliwa na CCM. Baada ya wananchi wa uvinza kulalamika, mkuu katoa amri hizo pesa zitolewe ndani ya wiki moja na ujenzi wa barabara uanze.
Swali ni je: Hao wananchi wasingeulizia, hizo pesa zilikuwa ziende wapi?
Kwa nini kama hizo pesa zilishatolewa, hazikupelekwa kwa wakati husika?
Una uhakika anazo hizo akili ?Kwanini zitoke kwenye kampeni tumia akili
Kama baada ya miaka 5 bado hatujamuelewa Meko anahakikisha kwenye Kampeni za mwaka huu anaweka wazi HULKA yake.Kwani matumizi mengineyo na huwa yanatoka wapi? Au huwa unayatoa kwenye ruzuku ya Chadema iliyoliwa na mwenyekiti wetu?