Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

Ili uthibitishe haya maneno yako kuwa Magufuli kachuja au lah nenda mtaani alafu ukikuta kikundi cha watu tamka haya maneno kuwa "Magufuli hafai".. Kitachokutokea kutoka kwa wananchi usisite kuja kutuambia ata kama ukiwa ICU.
 
Ili uthibitishe haya maneno yako kuwa Magufuli kachuja au lah nenda mtaani alafu ukikuta kikundi cha watu tamka haya maneno kuwa "Magufuli hafai".. Kitachokutokea kutoka kwa wananchi usisite kuja kutuambia ata kama ukiwa ICU.
Ukipita mtaa wa Lumumba utamke hayo maneno utapata shida sana
 
Mimi naona kauli hii ya JPM imekaa kinyume. Nadhani majizi, mafisadi, wahujumu uchumi ndo Mashetani. Malaika ni wapole na hawaibi na si mafisadi. Sasa taifa la mashetani ni zuri kweli? Naona taifa la malaika ndo linafaa kuishi.
Sasa rais mwema alisema atayageuza yaishi kama mashetani
 
Kwa Hasara hii Kwanini asichuje


Hii hasara ya Sukari kupanda


Mwanzoni ilikuwa 2000 sasa ni wastani wa 3500

Hivyo ni ongezeko la 1500

Watanzania 10 Milioni walikununua sukari Kilo 2 kila mwezi

2*1500*10,000,000

Jumla ni 30,000,000,000,

Sawa na 30 Bilioni


Haya ni makadirio ya Chini kabisa.
 
[QUOTEweli="Nkuba25, post: 16238049, member: 339746"]Kwa Kilango hakukuwa na ulazima wa kumfanyia vile.[/QUOTE]
Kweli kabisa
 
Alichokosea alituhaidi kukamata majizi na mafisadi badala yake anatumbua majipu kitu ambacho hakutuahidi, hivyo hatumuelewi.
 
ANAPOFUMBIA MACHO "LUGUMI" na "ESCROW"
IT FINISH HIS .......!?/
LETS QUESTION WHAT HE FEAR?as a nation hero against corruption's.
 
Nadhani pailikosekana strategy za uongozi. Uongozi una techiques zake ambazo kama hukusomea basi unapswa kufundishwa na magwiji wliobobea. unfortunatelly wahandisi wengi hawakusomea management na hawapendi maana waniita ungwini. U preso ni utaalam wa uongozi, ushirikishaji, vikienda na stategies bila kusahau wadau wakiwemo wafanya biashara.
 
Maskini Magufuli ana nia njema sana na nchi hii tatizo sijui ni mbinu anazotumia au ni wanaomshauri binafsi kuna vitu namuelewa sana ingawa hili la uhuru wa vyombo vya habari simuelewi kabisaaaaa
 
Kwa watu masikini wa mali na kipato ukiwaambia haya wanaweza wasikuelewe vizuri ingawa imani imeshuka tofauti na mwanzo wa utawala wake.Mie bado nakumbuka maneno ya EL kwamba nchi iko kwenye mvumo mkubwa wa shangwe lakini akatanabaisha kwamba anaona mkwamo wa kiuchumi huko mbele,haya sasa miezi 6 sasa hali inazidi kua tete.Namuonea huruma JPM lakini naumia kuona nchi yetu itapiga marktime kwenye maendeleo.Next time tusikubali kuchagua viongoni wenye mlengo wa ukomunist,they are idealistic and imaginary na wapenda sifa at last they fail and cost badly the nation.Viongozi wazuri ni liberals/social democratic au capitalists.
 
Heshima kwako mkuu. Hii ndiyo hoja yenyewe; hakuna cha kuongeza. Wanaosherehekea Magufuli kutengenezewa "personality cult" wajiandae kuhuzunika muda si mrefu. Kwa kifupi, hao ndio maadui zake wakuu wanaomharakisha kujiunga na safu za marais wengi hapa Afrika na dunia ya tatu wanaoaminishwa kuwa wao pekee ndiyo dola "L'etat? C'est moi!".

Hata Marekani walijaribu kumkuza George W. Bush kihivyo (asiyekuwa nasi yuko dhidi yetu). Hadi leo wanajutia kwa sauti na kimyakimya adha alizowaletea kwa kadhia zisizo na mantiki alizoasisi huko Iraq, Libya, n.k. Wakati ule ukikosoa maamuzi yake (na ya gwiji Dick Cheney) ulikuwa ukibandikwa nembo ya adui wa taifa la Marekani.

Nimekuelewa vyema mkuu.

Rais ni "head of state" lakini huku Africa anakuwa "commanding officer" . Mfano wa Bush ni sahihi zaidi maana sauti yake ilikuwa final kwenye maamuzi makubwa yaliyohitaji umakini.
 
Alipokuwa kule Arusha (kama wiki mbili zimepita) alisema kuwa wabadhilifu wa Sukari anawajua na majina anayo. Hiki ni kichekesho sana, sasa kama unawafahamu kwa nini usiende kuwakamata, kama sio mambo ya kinafiki ni nini sasa hiki?

Akaenda mbali zaidi akasema"wameficha sukari Mbagala" mazombi wake wakaenda huko, waliporudi wakasema ile sukari inamilikiwa ki halali, kodi imelipiwa na haina shida... Jamaa akaumbuka.
eti mazombie yake mkuu umenifurahisha sana
 
Wakati wo wote wa utendaji wako wa kazi kuwa mwangalifu sana katika matumizi ya vyombo vya habari!!
 
Mkuu naomba tujadili ishu ya NIDA

Nadhani unakumbuka kuwa Mtendaji mkuu wa NIDA (Dickson Mwaimu) pamoja na wasaidizi wake 3 walisimamishwa kazi kutokana na kile Magufuli alichodai ni ubadhilifu.

Sasa jiulize, kesi ya hawa watu hipo katika mahakama gani, ni kitu gani kinachofanya hadi leo wasifikishwe mahakamani, ni uchunguzi gani unaofanyika mwezi wa 4 sasa.

Huu ni mfano mmoja tu.

Je unakumbuka kesi ya wale jamaa wa TRA? Umeshajiuliza mbona haisikiki tena?

Wakina masamaki nini?
 
Back
Top Bottom