KIHIYERENI
Member
- May 6, 2016
- 39
- 17
Lugumi,sukari,Bunge live.Kwa mheshiwa yamekuwa matende.Anaona shida kukata mguu?
Bado hoja ya Mdee ya bilioni 88Lugumi,sukari,Bunge live...
funika kombe...Mkuu naomba tujadili ishu ya NIDA
Nadhani unakumbuka kuwa Mtendaji mkuu wa NIDA (Dickson Mwaimu) pamoja na wasaidizi wake 3 walisimamishwa kazi kutokana na kile Magufuli alichodai ni ubadhilifu.
Sasa jiulize, kesi ya hawa watu hipo katika mahakama gani, ni kitu gani kinachofanya hadi leo wasifikishwe mahakamani, ni uchunguzi gani unaofanyika mwezi wa 4 sasa.
Huu ni mfano mmoja tu.
Je unakumbuka kesi ya wale jamaa wa TRA? Umeshajiuliza mbona haisikiki tena?
Alipokuwa kule Arusha (kama wiki mbili zimepita) alisema kuwa wabadhilifu wa Sukari anawajua na majina anayo. Hiki ni kichekesho sana, sasa kama unawafahamu kwa nini usiende kuwakamata, kama sio mambo ya kinafiki ni nini sasa hiki?kuzuia vibali vya sukari pasipo kuitathimini na kuibua Richmond mpya ya sukari sasa.
punguzeni speed,Rais Mwema Sana atakosa pozi!Bado hoja ya Mdee ya bilioni 88
Mwanzoni mwa utawala wake ilikuwa kila gazeti linamwandika yeye tena vizuri. Vijiwe vyote kuanzia vya kahawa, daladala, bar na maofisini story alikuwa ni yeye tena watu wakimsema kama malaika mkombozi.
Ghafla upepo ukabadilika, watumishi wakaanza kukosoa utumbuaji majipu, wafanyabiashara wakakosoa mbinyo wake kwenye kodi, wanasiasa wakahoji style yake ya uongozi. Wananchi wa kawaida wakanigwa na maisha magumu (ingawa hawa bado wamebakiza kaimani fulani). Vyombo vya habari wanalalamikia kuminywa uhuru wao.
Kiujumla upepo unavuma vibaya kwa JPM naye ameshakiri ugumu wa kiti chake mpaka akasema angejua asingegombea urais. Je, rais wetu amekosea wapi mpaka hali imegeuka mapema hivyo?
We have leaders and subordinates. Some people were just meant to be led, given orders, carry them out and give feedback. As a minister he was an exceptional figure, a symbol of workmanship but as the president all tht will come into question and the effect is what we are seeing right now. Come two years watanzania wote watakuwa wanalia vilio tofauti na hapa kazi tu. Mark this it wont even be the citizens that will prove his incapabilities as a leader, it will be his own subordinates who are day in day out reprimanded and humiliated publicly. As they say a disgruntled worker leads to a bunkrupt boss...............Nimekupata mkuu.
Ule ni udhaifu wa kukusa Leadership Skills. Kama Leader hakutakiwa kabisa ku act namna hile.
Kwenye Leading and influencing hatushauriwa tuwe tunawa reprimand subordinate wetu mbele ya halaiki ya watu - hilo ni moja, pili waziri Mahiga hakuwa na kosa lolote alilolifanya yeye kama yeye, yale yalikuwa ni mambo ya mkewe kugombana na traffic, sasa kwa nini umfokee waziri wako mbele ya umma? Je ulishindwa kumsema mkiwa wawili?
pointHuwezi kuendesha nchi kwa ufanisi ukitengeneza sifa binafsi. Tatizo la kupenda sifa sana ndilo linaiangusha serikali hii, kukosolewa ndio nafasi nzuri ya kuendesha mambo smoothly. Awamu ya nne pamoja na ubovu wake wote lakini ile hali ya kukubali kusemwa hadharani ilikuwa inawapa watu nafasi ya upunguza machungu yao.
Magu kaona Nape anafunga magazeti, anazuia matangazo ya Bunge na anakataa kusemwa akadhani itamsaidia lakini inammaliza kabisa, miezi sita hali iko hivi jee miaka miwili?
TB Joshua alikuja Tanzania akatembea peku....kibiblia hii ni mbaya sana.....ni sawa na wale manabii waliovaa magunia kulaani wafalme ambao baadae falme zao zilipigwa mapigo makaliHiv ni nani aliyesema atakayekuja iangusha CCM atatoka CCM. Mi naic kma unabii umekamilika.