wengi wanaokosoa wameguswa kimaslahi, Imagine wafanyakaz wengi walioharibiwa dili zao za kupiga hela, wengi ni wasomi haswaaa, wanajua kucheza na kalamu na wanajua kuongea haswa, wana wafuasi waliokula nao bata, zaidi ya yote wanasikilizwa balaa.
Uje wafanyabiashara nap wameguswa haswaa, biashara yao imeyumba sababu walizoea mkato, hawajazoea kufuata taratibu, wamejaribu mbinu nyingi lakini mkono wa serikali umeonekaumeonekana kuwafikia.
Tunalalamika Mizigo imeshuka bandalini but nani amefuatilia jinsi mizigo ilivyoshuka Kenya Mombasa? Na hali itakuwa mbaya coz juzi waziri wa biashara Rwanda kafunga mjadala na kuwa mizigo yao itapita zaid Far ports
wananchi wengi tulikuwa tunalia lia Matajir wakikwepa kodi, sisi wenyewe hatujazoeshwa lipa kodi, hatutaki kulipa kodi sababu hatuoni hela zetu zinavyoenda tumika kutusaidia.
Tutajifunza na kuelewa halitakuwa tatizo tena na wale wenzetu watakao pita njia za mkato tutawaona ni wabaya na wahujumu uchumi.
ni swala la muda tu kila kitu kitarudi kwenye mstali, Trust Magufuli