Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

Serikali ya Awamu ya Tano haiendeshwi kwa MIHEMKO Kwa Sera za MATUKIO.Hadi Mtaisoma Namba Na kashfa zenu na kukosoa kwenu Hakutambadili wala kumkatisha Tamaa kusudi Atimize SUDI lenu.Anachokisema ndicho Anachotenda na Anaishi katika kutenda yale Anayoyaamini.Nanyi Mpate japo hoja ya kusema na kuzoza humu JF na wengine Mjengoni kwani katika Miezi hii SITA na ushei.Mmetufanyia nini haswa Watanzania wakasema au kuwaongeleeni.Na safari hii Mmefika Tutarudi kwenye Mstari.
 
Mlilipwa kumshambulia JPM kipindi cha kampeni mkashindwa,mlivyo na akili fupi mnadhani mtafanikiwa na mtu ameshakuwa Raisi??,kweli akili zenu fupi sana,ndo maana Mzee Mkapa aliwaita WAPUMBAVU NA MALOFA.,ndo maana Mlikuwa mkizungusha mikono kama wendawazimu,nimeanza kuelewa.
Mkuu jibu hoja siyo kioja
 
Serikali ya Awamu ya Tano haiendeshwi kwa MIHEMKO Kwa Sera za MATUKIO.Hadi Mtaisoma Namba Na kashfa zenu na kukosoa kwenu Hakutambadili wala kumkatisha Tamaa kusudi Atimize SUDI lenu.Anachokisema ndicho Anachotenda na Anaishi katika kutenda yale Anayoyaamini.Nanyi Mpate japo hoja ya kusema na kuzoza humu JF na wengine Mjengoni kwani katika Miezi hii SITA na ushei.Mmetufanyia nini haswa Watanzania wakasema au kuwaongeleeni.Na safari hii Mmefika Tutarudi kwenye Mstari.
Ukweli wa mungu sijaelewa umeandika nini
 
Dr.JPM kamkuta mgonjwa ana multiple infections. ...anatibu zaidi ya ugonjwa mmoja..good news ni kwamba mgonjwa anaendelea vizuri
 
Tembo anabebeshwa ubongo wa kuku
Unapochangia hoja jaribu kutumia lugha ya staha hasa inapokuwa mhusika ni mheshimiwa. Ustaarabu na heshima ni kitu cha bure. Usiwatukanishe waliokuzaa na kukulea kuwa hawakutimiza wajibu wao ulipokuwa mtoto hadi ukikua.
 
Unapochangia hoja jaribu kutumia lugha ya staha hasa inapokuwa mhusika ni mheshimiwa. Ustaarabu na heshima ni kitu cha bure. Usiwatukanishe waliokuzaa na kukulea kuwa hawakutimiza wajibu wao ulipokuwa mtoto hadi ukikua.
Wewe ni yupi hapo?
 
Serikali ya Awamu ya Tano haiendeshwi kwa MIHEMKO Kwa Sera za MATUKIO.Hadi Mtaisoma Namba Na kashfa zenu na kukosoa kwenu Hakutambadili wala kumkatisha Tamaa kusudi Atimize SUDI lenu.Anachokisema ndicho Anachotenda na Anaishi katika kutenda yale Anayoyaamini.Nanyi Mpate japo hoja ya kusema na kuzoza humu JF na wengine Mjengoni kwani katika Miezi hii SITA na ushei.Mmetufanyia nini haswa Watanzania wakasema au kuwaongeleeni.Na safari hii Mmefika Tutarudi kwenye Mstari.
Utakuwa umelala gheto Kwa Lugumi si bure ! Maana Uandishi huu umejaa Unafiki mwingi .
 
Mbona mtoa post na wachangiaji hamjielewi? kwa miezi 7 aliyoyafanya ni makubwa sana, lakini ni muda mfupi kubadilisha nchi na watu kufaidi au kupata ahueni ya maisha, halafu budget ndo hiyo kwanza hata haijapita mmeanza kelele, kumbukeni wafanyabiashara pia wanataka kua juu ya serikali kwa kuficha sukari ili wajipangie bei, JPM bado anajipanga kwa mambo mengi , utumbuaji ( kuwasimamisha watu Kazi) lazima iwe kazi endelee mpaka tuheshimiane.
Anafagia Kwa kukwepa kwepa akiona JIPU ni la rafiki yake analikwepa mfano sasa kalikwepa JIPU la Mwakyembe , January na sasa kitwanga na Lugumi anatumia Sukari kuwasahaulisha Majipu ya hao watu, miezi 7 humo humo hayo Majipu yangetumbuka na tafasiri yako ya kufanya makubwa ingeleta maana.
 
Hizi ni njama za mafisadi wahujumu uchumi na wapiga dili
Watatulia tu
Njama zipi fafanua Vizuri au wewe ni escrow ? au wewe ni Lugumi ? au wewe ni mzabuni wa kununua mabehewa chakavu ? inaelekea kuna ulaji unafaidi na Magufuli hajakugusa kabsa.
 
Mtukufu rais mzuri sana ndio tanzania ya sasa vinginevyo mtaishi maisha ya kishetani. Maskini ccm wamekuwa wanyongeee mishemishe kwenye chama jiiiii
 
Mkuu, inawezekana wapo ambao wameathirika na mambo mengi kama ulivyoainisha, lakini yapo mambo ambayo kiukweli muulize mtu yeyote MAKINI tena ndani ya Serikali tena mtu muadilifu, atakuambia pamoja na nia njema ya mh, kuna maeneo anakosea sana. Siyo lazima kuyataja lakini kiukweli, washauri wake wajitahidi kumshauri. Kuongoza nchi ni kazi ngumu ambayo inabidi umuombe sana Mungu akupe Hekima, Subira, busara na uvumilivu!
mkuu si kwamba watu hawaoni kazi ya Magufuli , watu wanaipenda na kuikubali sana lakini Tatizo kubwa ni pale alipoanza kukwepa baadhi ya Majipu ya rafiki zake wakubwa .
 
f93b1c5259317be11278837dcbc8e661.jpg
 
Mwanzoni mwa utawala wake ilikuwa kila gazeti linamwandika yeye tena vizuri. Vijiwe vyote kuanzia vya kahawa, daladala, bar na maofisini story alikuwa ni yeye tena watu wakimsema kama malaika mkombozi.

Ghafla upepo ukabadilika, watumishi wakaanza kukosoa utumbuaji majipu, wafanyabiashara wakakosoa mbinyo wake kwenye kodi, wanasiasa wakahoji style yake ya uongozi. Wananchi wa kawaida wakanigwa na maisha magumu (ingawa hawa bado wamebakiza kaimani fulani). Vyombo vya habari wanalalamikia kuminywa uhuru wao.

Kiujumla upepo unavuma vibaya kwa JPM naye ameshakiri ugumu wa kiti chake mpaka akasema angejua asingegombea urais. Je, rais wetu amekosea wapi mpaka hali imegeuka mapema hivyo?

vile tushaanza kula breakfast ya chapati kwa migagi!
 
Back
Top Bottom