SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,973
- 75,055
Jibu hoja utakuwa umemsaidia yeye na taifa, mashambulizi kwa mtu aliyeonyesha kile kinachoonekana hayasaidii
Hizo ndiyo akili za mazwazwa wa lumumba.
Jibu hoja utakuwa umemsaidia yeye na taifa, mashambulizi kwa mtu aliyeonyesha kile kinachoonekana hayasaidii
afu mwenye zile picha azilete humuILE MICHORO YA JANAURY MAKAMBA INA MAANA LUGHA YA PICHA ILE INATIMIA TARATIBU KUONESHA UHALISIA WA CCM MWENYE NAYO ATUPIE HAPA.
Mkuu jana wamemtisha PM kama hatochukua hatua stahiki dhini ya wale Lugumi &Family watamng'oa.Shinikizo linakuja kwa kasi,nawaza miaka miwili ijayo itakuwaje na ukichukulia jamaa huwa ana hasira na maamuzi ya jazba....wapinzani wanamsubiri akianza jazba wampigie hapohapo
nimecheka ad basiSi mlikua mnasema kuwa Nyerere amefufuka!!
ha ha ha ha hakukuwa na camera nnMimi kuna sehemu nasalia, ilikuwa kabla ya ibada lazima aombewe mh Raisi mwema sana, lakini siku hizi naona wameacha kumuombea sijui kwanini
Ila nchi hii bwana! tunaambiwa tuwaombee na sisi tunaomba kama mazuzu?Mimi kuna sehemu nasalia, ilikuwa kabla ya ibada lazima aombewe mh Raisi mwema sana, lakini siku hizi naona wameacha kumuombea sijui kwanini
Labda wananchi wa chato na mtaa wa Lumumba, nilipo mimi watu wanamuona ni mkurupukaji tu asiye na visionIli uthibitishe haya maneno yako kuwa Magufuli kachuja au lah nenda mtaani alafu ukikuta kikundi cha watu tamka haya maneno kuwa "Magufuli hafai".. Kitachokutokea kutoka kwa wananchi usisite kuja kutuambia ata kama ukiwa ICU.
Wakati jipu namba 1 ni mwenyekiti wa chama chake ambaye wanakunywa chai pamoja kila sikuAlichokosea alituhaidi kukamata majizi na mafisadi badala yake anatumbua majipu kitu ambacho hakutuahidi, hivyo hatumuelewi.
Yeye ndiye rais?aliechuja haraka anachuja ng'ombe monduli
Kuna sababu kama 4 hivi naziona ndizo zinazomfanya achuje haraka hivi:
1. Kushindwa kwake kudili na majipu (wala rushwa wakubwa) na kubaki kuangaika na kesi za kuku. Hii imejionyesha kwa yeye kunywea kwenye swala la Lugumi, Wezi wa Escrow (kutekeleza maamuzi ya Bunge), kuendelea kukumbatia viongozi majizi, HSC na mambo kama hayo.
2. Kuendesha nchi pasipo kufuata utawala wa sheria. Anajiona yeye ndio ultimate decision maker wa kila kitu na hakuna anayejua zaidi yake. Sasa watu wameamua kumuacha afanye kazi zoootee peke yake.
3. Nchi kukosa muelekeo wa kiuchumi. Hii inapelekea kuwa na hali ngumu pasipo sababu. Bado anaangaika na kodi za machinga na mama Ntilie, wakati kule kwenye madini wanawaanchia wazungu wanachukua madhahabu na Almasi bureee kabisa. Hana vyanzo vipya vya kodi zaidi ya kumbana mwananchi wa kawaidi.
4. Kunyima Uhuru wa habari. Hii imejionyeshwa kupitia kukataa kuonyesha Bunge Live kwa sababu ya kuogopa wananchi kuona serikali yake ikikosolewa. Yeye anataka kusifiwa tu, ukimkosoa ni shida.
Mkuu mimi bado ninaendelea kucheka tunimecheka ad basi
Hii haina mambo ya uchama ndugu kama kuumia ni watanzania wote na kama kufaidika ni watanzania wote si chamama fulani elewa mada as a great thinker sio kiushabiki mtakapo isoma namba kama mlivoimba ndo kitaeleweka street stay tuned usiandikie mate.Time will tell.Mlilipwa kumshambulia JPM kipindi cha kampeni mkashindwa,mlivyo na akili fupi mnadhani mtafanikiwa na mtu ameshakuwa Raisi??,kweli akili zenu fupi sana,ndo maana Mzee Mkapa aliwaita WAPUMBAVU NA MALOFA.,ndo maana Mlikuwa mkizungusha mikono kama wendawazimu,nimeanza kuelewa.
Mkuu mbona umepanic huyo mwenye comment katumia lugha ya picha hujui fasihi au?Unapochangia hoja jaribu kutumia lugha ya staha hasa inapokuwa mhusika ni mheshimiwa. Ustaarabu na heshima ni kitu cha bure. Usiwatukanishe waliokuzaa na kukulea kuwa hawakutimiza wajibu wao ulipokuwa mtoto hadi ukikua.
Kweli, kama kuumia tunaumia soteHii haina mambo ya uchama ndugu kama kuumia ni watanzania wote na kama kufaidika ni watanzania wote si chamama fulani elewa mada as a great thinker sio kiushabiki mtakapo isoma namba kama mlivoimba ndo kitaeleweka street stay tuned usiandikie mate.Time will tell.