Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,635
poa,mkuu!nafuta kauli ktk hansard za bunge la jf!hata kama kuna mambo huyafurahii,ucmkashifu mana huwatendei haki walio chini ya mipaka yake.siyo vizuri mkuu
poa,mkuu!nafuta kauli ktk hansard za bunge la jf!hata kama kuna mambo huyafurahii,ucmkashifu mana huwatendei haki walio chini ya mipaka yake.siyo vizuri mkuu
Halafu kutumbua jipu unakua hujafanya kitu. Angalau angekua anayakamu.Alichokosea alituhaidi kukamata majizi na mafisadi badala yake anatumbua majipu kitu ambacho hakutuahidi, hivyo hatumuelewi.
Hayo ni maoni yako binafsi, ni haki yako kuwa nayo na kwa hiyo hakuna haja ya kuyajadili hapa!Mwanzoni mwa utawala wake ilikuwa kila gazeti linamwandika yeye tena vizuri. Vijiwe vyote kuanzia vya kahawa, daladala, bar na maofisini story alikuwa ni yeye tena watu wakimsema kama malaika mkombozi.
Ghafla upepo ukabadilika, watumishi wakaanza kukosoa utumbuaji majipu, wafanyabiashara wakakosoa mbinyo wake kwenye kodi, wanasiasa wakahoji style yake ya uongozi. Wananchi wa kawaida wakanigwa na maisha magumu (ingawa hawa bado wamebakiza kaimani fulani). Vyombo vya habari wanalalamikia kuminywa uhuru wao.
Kiujumla upepo unavuma vibaya kwa JPM naye ameshakiri ugumu wa kiti chake mpaka akasema angejua asingegombea urais. Je, rais wetu amekosea wapi mpaka hali imegeuka mapema hivyo?
Hivi wewe na Salary Slip ni ndugu? Mwenzako alianzisha mada eti TRA haijatoa taarifa ya mapato ya mwezi Aprili. Tulivyoweka hiyo taarifa akatoka ndukiKufanya mambo kwa sifa ni hatari sana.tulianza kwa kusomewa taarifa za mapato na TRA kila mwezi kwenye TV Leo huu mwezi wa pili huu kimyaa .kuendesha nchi hakuhitaji mbwembwe.
Hahahahahaaaaaa! Mmeshaanza kupiga kelele. Wapi alipo Mzee wa Nyeti? Maana siku hizi yupo kimya sanaHii nchi angeiweza Lowasa.Kichwa kimejaa busara na uvumilivu
Nilikuwa sijaiona mkuu. Hapo sawaHivi wewe na Salary Slip ni ndugu? Mwenzako alianzisha mada eti TRA haijatoa taarifa ya mapato ya mwezi Aprili. Tulivyoweka hiyo taarifa akatoka nduki
Nadhani pailikosekana strategy za uongozi. Uongozi una techiques zake ambazo kama hukusomea basi unapswa kufundishwa na magwiji wliobobea. unfortunatelly wahandisi wengi hawakusomea management na hawapendi maana waniita ungwini. U preso ni utaalam wa uongozi, ushirikishaji, vikienda na stategies bila kusahau wadau wakiwemo wafanya biashara.
Kwa Hasara hii Kwanini asichuje
Hii hasara ya Sukari kupanda
Mwanzoni ilikuwa 2000 sasa ni wastani wa 3500
Hivyo ni ongezeko la 1500
Watanzania 10 Milioni walikununua sukari Kilo 2 kila mwezi
2*1500*10,000,000
Jumla ni 30,000,000,000,
Sawa na 30 Bilioni
Haya ni makadirio ya Chini kabisa.
Si mlikua mnasema kuwa Nyerere amefufuka!!Yaani...sikutegemea karne hii kama nchi hii tungeishi maisha ya Nyerere..
Eti sukari imeadimika
*****There's a line you can't cross ( in kagame's voice)
Hapa nimekumbuka kituTB Joshua alikuja Tanzania akatembea peku....kibiblia hii ni mbaya sana.....ni sawa na wale manabii waliovaa magunia kulaani wafalme ambao baadae falme zao zilipigwa mapigo makali
Kwa hiyo tulosema tatizo ni mfumo tuko sahihi?Haya yanayotokea ni matokeo ya mifumo mibovu iliyowekwa kwa watu wenye fedha zao kuwa na maamuzi ikitokea mabadiliko kama haya anayoyafanya JPM ni lazima waathirika watakuja huku wataka hali iliyozoeleka iendelee.
lkn wananchi walinganishe na namna gari ukipaki mlimani wakati wa kuondoka itaonekana kurudi nyuma na baada ya hapo itaendelea na safari hivyo kwa juhudi hizi za makusudi nataraji kuona maisha bora muda si mrefu ingawa lazima kwa kuanza mikono itaota sugu kiasi
Hilo zigo lenu halitakaa lipate uraisi maishani mwake,labda raisi wa mioyoni yenu baraza la vichaa,Huyu Huyu tu na Hata muanzishe thread 800 kumpinga,mtachemka tu na nchi itasonga tu,nyie mtabaki na hasira zenu humu JF Lakini zitagonga mwamba tu.Hii nchi angeiweza Lowasa.Kichwa kimejaa busara na uvumilivu
Mimi mwenyewe nilishangaa aliyokuwa anaongea kiupole siku hiyoJamaa,kapoa saana.mpka,namuhurumia,,,siku ile ameshtukiza airport nlitegemea mtu atumbuliwe..maana yule maza alimdanganya lkn hakufanya hvo.asa nkajiuliza,mbona Mama Kilango alidanganyq na yy lkn akatumbuliwa