Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

Suala la sukari kuadimika limemtia doa sana Rais Magufuli.Washauri wake hawakumshauri vizuri.Kitu kingine kama alivyosema mchangiaji mmoja humu,awe makini na media.Si ya kutumia sana na si ya kukaa nayo mbali.Mungu ibariki Tanzania
 
Hana tofauti na aliyepita,Kikwete alipuuzia mambo ya msingi Kama escrow,epa,huyu naye anajifanya haoni lugumi na kashfa zingine ila alianza na bwembwe tu.hana kipya
Tunaongeza majina ya kashfa
 
''Kabla haujafika mwaka mtu huyu atapotea kwenye uso wa Dunia na tanzania ikiwemo'' haya yalikuwa maneno ya jamedari aliyeitoa kamasi ccm wakati wa uchaguzi,Ngul wa siasa Komredi Edward Ngoyai LOWASSA, baada ya siku mia moja za Broo Magu Ikulu.

Ni ukweli usiopingika kuwa broo, raisi watumbua jipu,style sasa majipu ameanza kuyaogopa majipu, wapinzani wakina tundu lisu wamemtisha, pale walipowataka waliotumbuliwa kwenda mahakani, sasa broo magu nje ya kick ya majipu ana kick gan?

ndo imetoka hiyo, ikirudi pancha, ukiinua shingo tu 2020, ccm ndembendembe, mwendo wachali, ukigeuka ccm ndo imeondoka madarakani.pole broo magu kwa kuvunja rekodi ya kuwa rais alyekaa madarakani miaka 5.

jifunzeni mnao taka kutuongoza, sisi hatuongozeki kwa matukio,jipangeni you should have a plan.

Bye ccm, bye Broo, tunakusubiri

najua nyumbu, wa pale Lumumba mnao jikomba mpate ukuu wa wilaya mnanisubitri nimalize kuandika haya nimemaliza njooni mtukane kama kawaida yenu, ila kira atakae tukana tusi limrudie na kumfanya vibaya.
 
wewe ndiyo ubongo wako umechuja.....mara nyingi wanaolalamika ni wale ambao walizoea njia za mkato...sisi wananchi maisha magumu huwa tunayo kila siku na tunakomaa nayo...lkn wafanyakazi ,wanasiasa na wafanyabiashara acheni awanyooshe......Magufuli mbele kwa mbele.
Kwahiyo umezoea maisha magumu.
 
Jamiiforums ingekuwa ndio Tanzania rais wa awamu ya nne angekuwa Dr Slaa na wa awamu ya tano angekuwa Lowassa.

Bahati mbaya huko mtaani ukisha sign out JF hali ni tofauti kabisa. Magufuli still anaeleweka sana na maraia sana sana naona watu hawataki kusikia kitu kinaitwa Ukawa.

Tuacheni kujidanganya masela.
 
Mlilipwa kumshambulia JPM kipindi cha kampeni mkashindwa,mlivyo na akili fupi mnadhani mtafanikiwa na mtu ameshakuwa Raisi??,kweli akili zenu fupi sana,ndo maana Mzee Mkapa aliwaita WAPUMBAVU NA MALOFA.,ndo maana Mlikuwa mkizungusha mikono kama wendawazimu,nimeanza kuelewa.
Umesahau!!;walideki na barabara!!;alf sahv wanatoa maneno ya dua ya kuku!!;kama anaona maisha magumu ni wao si tunasonga mbele!!
 
Ktk Biblia hyo unayozungumzia ktendo cha MTU kutoa viatu na kukanyaga peku c ktendo kbaya wakati wote, Bali ni kuonesha mahali hapo ni patakatifu. Anza na Musa, uje Joshua njoo had agano jipya.

Exodus 3:5
Then He said, "Do not come near here;
remove your sandals from your feet, for
the place on which you are standing is
holy ground."


Joshua 5:15
The captain of the LORD'S host said to
Joshua, "Remove your sandals from your
feet, for the place where you are
standing is holy." And Joshua did so.

Acts 7:33
"BUT THE LORD SAID TO HIM, 'TAKE
OFF THE SANDALS FROM YOUR FEET,
FOR THE PLACE ON WHICH YOU ARE
STANDING IS HOLY GROUND.

Pia ktk manabii kama Isaya, Ezekiel nk rudi usome uone ni wapi ilikua laana. Afu utupe legitimacy ya T.B Joshua aliyesema Mugabe na mutharika watafark b4 1 April 2016 na leo ni may 19 hata homa hawana.
Safi sn!!;hawa wazungusha mikono wanataka kutuletea ramli za JB!!;pelekeni huko c tunasonga mbele viva JPM
Heshima kwako mkuu. Hii ndiyo hoja yenyewe; hakuna cha kuongeza. Wanaosherehekea Magufuli kutengenezewa "personality cult" wajiandae kuhuzunika muda si mrefu. Kwa kifupi, hao ndio maadui zake wakuu wanaomharakisha kujiunga na safu za marais wengi hapa Afrika na dunia ya tatu wanaoaminishwa kuwa wao pekee ndiyo dola "L'etat? C'est moi!".

Hata Marekani walijaribu kumkuza George W. Bush kihivyo (asiyekuwa nasi yuko dhidi yetu). Hadi leo wanajutia kwa sauti na kimyakimya adha alizowaletea kwa kadhia zisizo na mantiki alizoasisi huko Iraq, Libya, n.k. Wakati ule ukikosoa maamuzi yake (na ya gwiji Dick Cheney) ulikuwa ukibandikwa nembo ya adui wa taifa la Marekani.
 
Jamiiforums ingekuwa ndio Tanzania rais wa awamu ya nne angekuwa Dr Slaa na wa awamu ya tano angekuwa Lowassa.

Bahati mbaya huko mtaani ukisha sign out JF hali ni tofauti kabisa. Magufuli still anaeleweka sana na maraia sana sana naona watu hawataki kusikia kitu kinaitwa Ukawa.

Tuacheni kujidanganya masela.
 
Hakuna mafanikio mara moja!!;wote hawa wameharibiwa doliendo zao ndo maana mapovu yanawatoka!!;nan kawambia life mtaani ni gumu!!;kwa wale wazee wa shortcut ndo gumu!!;watulie sindano inaingia!!
 
Mwananchi wa kawaida hanufaiki na utumbuaji majipu,kama sukari kilo ni 6000/= vipi huyu ataweza kumudu kunywa hata chai kikombe 1 aianze siku yake?sioni unafuu wowote katika maisha ya kawaida ya mtanzania,sijui labda huko mbele tuendako,kwenye daladala watu wameshaanza kuongea hovyo.
Unalalamika sukarsukar!!;bia elf 3000 na watu hawakauki bar mandy to Sunday!!;mmekuwa wanaharakati!!?
 
Kama huko mtaani wapo ambao wanamuelewa ni wale maskini wa mali na akili,mbumbumbu kama wewe maana wamemezeshwa sumu kwamba umaskini umeletwa na matajiri so wanasubiri matajiri wafilisiwe ili wapewe wao mali,endeleeni kusubiri sukari ya bure na watakufa huku wakidanganywa na fisiem
 
Jamaa,kapoa saana.mpka,namuhurumia,,,siku ile ameshtukiza airport nlitegemea mtu atumbuliwe..maana yule maza alimdanganya lkn hakufanya hvo.asa nkajiuliza,mbona Mama Kilango alidanganyq na yy lkn akatumbuliwa
Acha ujinga ww!?;kwn yule ni mteule wake!!?;nenda airpot ka utamkuta!!;ye afata taratibu!
 
CCM ndo inamponza huyu Mzee, otherwise he is the best president. Huu ndo ukweli jamaa wanachukia lakin lazima tuseme ukweli.
 
Msimwonee JPM jamani. Anajitahidi sana. Tatizo tu ni kwamba, wakati anagombea ukuu wa nchi, alifikiri maadui zake wakuu ni akina Mbowe na Lowassa. Lakini baada tu ya kuingia madarakani, kagundua the enemy of the people ni lile lile dude la kijani! Kwa hiyo analazimika kufanya maamuzi magumu kila wakati... shoot on his his own foot.
 
Jamiiforums ingekuwa ndio Tanzania rais wa awamu ya nne angekuwa Dr Slaa na wa awamu ya tano angekuwa Lowassa.

Bahati mbaya huko mtaani ukisha sign out JF hali ni tofauti kabisa. Magufuli still anaeleweka sana na maraia sana sana naona watu hawataki kusikia kitu kinaitwa Ukawa.

Tuacheni kujidanganya masela.
Na huu ndo ukweli, huwa nashangaa JPM amachuja wapi? Mtaani kwa kweli ukawa wana kazi ya ziada.
 
Msimwonee JPM jamani. Anajitahidi sana. Tatizo tu ni kwamba, wakati anagombea ukuu wa nchi, alifikiri maadui zake wakuu ni akina Mbowe na Lowassa. Lakini baada tu ya kuingia madarakani, kagundua the enemy of the people ni lile lile dude la kijani! Kwa hiyo analazimika kufanya maamuzi magumu kila wakati... shoot on his his own foot.
Exactly!
 
Back
Top Bottom