Sasa hapa sijakuelewa, amechuja kwa sababu haonekani kwenye magazeti au amechuja kwa kutotumikia taifa? Wakati mwingine sio kila kitu kiwe kisiasa, kuna mengine tuyatazame kama binadamu. Hivi wewe ulitaka watumishi wa uma waendelee na uzembe? Majizi serikali yaendelee kula na hao wafanyabiashara waendelee kutunyonya? Huyu unae mpondea ndio atakae boresha maisha yako, maisha ambayo mzazi wako alishindwa kukuboreshea.