Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,577
- 19,462
Mzee Jasusi; nadhani unajua kuwa translation ya maandiko ni tofauti kabisa na authorship ya maandiko hayo.
Kutumia kitabu cha marejeo ili kuandika cha kwako ni sahihi lakini ni lazima pia uonyeshe kuwa cha kwako ni tofauti ni kile ulichotumia kwenye marejeo, yaani ujumbe wako siyo copy cat ya ujumbe ulio kwenye marejeo. Tena kwa kawaida marejeo yako yanakuwa na vitabu vingine au maandiko mengine siyo marejeo ya kitabu kimoja tu.
Iwapo unaandika kitabu ambacho marejeo yake ni kitabu kimoja tu basi ni lazima uonyeshe kuwa unakichambua kitabu hicho siyo kuwa unatuma ujumbe ule ule ulio kwenye kitabu hicho. Na kama unataka kutoa summary ya kitabu hicho ni lazima uwe makini kwa sababu kwanza unatakiwa kupata kibali cha copyright owner kabla hujatoa summary yako kwa vile inaweza ama kudistort au kudilute content za kitabu original. Halafu summary yako inatakiwa kutoa big picture tu ya kitabu ili kuacha wasomaji wakatafute kitabu original kupata details. Ukiandika details zote za muhimu inakuwa siyo summary tena, na hapo utakuwa na tatizo ama la plagiarism au la copyright infringement!
Niliwahi pia kuona kitabu cha Maisha ya Baraka Obama nikashindwa kukitofautisha na kile alichaondika Obama mwenyewe.
Kutumia kitabu cha marejeo ili kuandika cha kwako ni sahihi lakini ni lazima pia uonyeshe kuwa cha kwako ni tofauti ni kile ulichotumia kwenye marejeo, yaani ujumbe wako siyo copy cat ya ujumbe ulio kwenye marejeo. Tena kwa kawaida marejeo yako yanakuwa na vitabu vingine au maandiko mengine siyo marejeo ya kitabu kimoja tu.
Iwapo unaandika kitabu ambacho marejeo yake ni kitabu kimoja tu basi ni lazima uonyeshe kuwa unakichambua kitabu hicho siyo kuwa unatuma ujumbe ule ule ulio kwenye kitabu hicho. Na kama unataka kutoa summary ya kitabu hicho ni lazima uwe makini kwa sababu kwanza unatakiwa kupata kibali cha copyright owner kabla hujatoa summary yako kwa vile inaweza ama kudistort au kudilute content za kitabu original. Halafu summary yako inatakiwa kutoa big picture tu ya kitabu ili kuacha wasomaji wakatafute kitabu original kupata details. Ukiandika details zote za muhimu inakuwa siyo summary tena, na hapo utakuwa na tatizo ama la plagiarism au la copyright infringement!
Niliwahi pia kuona kitabu cha Maisha ya Baraka Obama nikashindwa kukitofautisha na kile alichaondika Obama mwenyewe.