Maggid mjengwa umepata wapi kibali cha kutafasiri kitabu cha mandela cha long walk to freedom?

Wewe umekisoma hicho kitabu ukaona haja'cite' refferences? Kutumia sehemu ya kitabu cha babu kuandikia kitabu kingine sio kosa,linakuwa ni kosa kama huja'aknowledge' kule mwisho.
 
Maggid Mjengwa kafanya jambo la maana sana, kama kafanya makosa tusubiri wamiliki wa kitabu hicho walalamike.
 
Kwani wewe ndio hatimiliki wa madiba?

Inasikitisha kuwa eti nawe ulishawahi kuwa mlinzi wa sheria za nchi.
TUNAMSHUKURU MUNGU KWA KUWA WW SI MTANZANIA TENA. NINAOMBA WENYE AKILI KAMA ZAKI NAO WAUKANE URAIA WAO.AMINA
 
.....Mkuu Jasusi.....ninakusihi ukisome kwanza kitabu cha Hayati Nelson Mandela..."Long Walk to Freedom"..halafu uje uangalie simulizi za huyu Maggid Mjengwa.......ndio utaelewa watu wanachoandika hapa........sidhani kama ni vema kwako ku-draw conclusion wakati hujakisoma kitabu halisi............

Ogah,
Kitabu cha Nelson Mandela ninacho. Nimeshakisoma. Sijasoma hiki kitabu cha Maggid. Lakini nimefuatilia simulizi zake katika blog yake.
 
Wakuu naanza kupata na mashaka na vijana wa iringa, Chris Lukosi alikula rambirambi za mama Mwangosi tukakaa kimya,
Leo Pia Majid Mjengwa naye anamdhulumu Mjane Mama Graca Mashel kwa kura rambirambi ya Mzee madiba kwa style nyingine.

Jamani wahurumieni wajane hawa msitumie misiba kujinufaisha.
 
Last edited by a moderator:
Maggid Mjengwa kafanya jambo la maana sana, kama kafanya makosa tusubiri wamiliki wa kitabu hicho walalamike.

Hatusubiri..... watu tunaochukia ufisadi wa elimu tayari tuko kwenye mkakati wa kuwasiliana na wenye hati miliki. Subiri majibu yake siku si nyingi...
 
Ngoja nimtetee Maggid. Alichofanya ni kutumia kitabu cha Mandela Long walk to freedom kama hadidu ya simulizi zake.
Hii inaruhusiwa katikia tasnia ya uandishi. Profesa Joseph Mbele amewahi kuandika kitabu kinachochambua maandishi ya Chinua Achebe. Alichofanya Maggid ni kuelezea katika lugha rahisi zaidi simulizi za Mzee Mandela kutoka kitabu chake. Kama ni kutafsiri angefanya hivyo neno kwa neno.

Ame-acknowledge?
 
Maggid Mjengwa kafanya jambo la maana sana, kama kafanya makosa tusubiri wamiliki wa kitabu hicho walalamike.

Yaani mpaka wao ndo walalamike, issue hapa ni professionalism, huwezi copy tu bila ku-acknowledge.
 
Kwani wewe ndio hatimiliki wa madiba?

Bro,vingine kua msomaji...watu huficha upumbav na kuonyesha busara!!

MODS

Kwanin nashindwa kupost mara nyingi?natumia BB,
Mara nyingi napata massage refresh and try to log in,you don't have permission
Sitaki kuwatumia email,ndo mwanzo wa kuanza kuchunguliana..

Nijib katk inbox tafadhali
 
Maggid Mjengwa kafanya jambo la maana sana, kama kafanya makosa tusubiri wamiliki wa kitabu hicho walalamike.
Siyo vibaya hata kidogo...Kumtahadharisha mwafrika mwenzentu kutoka Tanzania juu ya hatari inayoweza kumkabili endapo atafanya mambo bila kufuata taratibu. Maggid anayo haki ya kutahadharisha juu ya hili, vinginevyo wewe uwe unamtakia mabaya kwa kupinga watu kumtahadarisha.
 
Daah! kweli chris lukosi
wewe kuwa nje ya nchi hakujakusaidia, au dio yale matatizo yanakurudia?
 
Back
Top Bottom