Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,942
- 43,599
na lissu amepewa nini na lowasaHuyu mwanamama mwanasiasa machachari sikutegemea kama angepumbazwa na Lipumba. Najiuliza kampa nini? Ni miongoni mwa viongozi na wabunge wa CUF niliokuwa nawaamini sana. Baada ya Lipumba kujiuzulu kashikamana na chama na hatimaye kuukwaa ubunge kwa tiketi ya CUF na backup kubwa ya UKAWA.
Ni miongoni mwa akina mama niliowaona shupavu na wenye kutetea hoja.
Sasa simuelewi, mbona hakumuunga mkono wakati anajiuzuru tukamuelewa?
Sakaya mama sikuelewi hata kidogo.