KALINZI NYUMBANI
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 2,081
- 2,179
Wafuasi wengi wa CDM mnamlaum Sakaya kwanini yupo pamoja na Prof. Lipumba, wakati alipita kwa nguvu ya UKAWA?.
Jibu nikuwa Magdalena Sakaya hakupita kwa nguvu ya ukawa bali alipita kwa nguvu ya CUF maana washiliki wenza wa UKAWA walisimamisha wagombea (hasa CDM). Na kila chama kilivuna kura kulingana na kukubalika kwake.
Jibu nikuwa Magdalena Sakaya hakupita kwa nguvu ya ukawa bali alipita kwa nguvu ya CUF maana washiliki wenza wa UKAWA walisimamisha wagombea (hasa CDM). Na kila chama kilivuna kura kulingana na kukubalika kwake.