mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,253
Namshauri dada yangu Magdalena Sakaya akae mbali na Prof. Lipumba kwani yatakayomkuta atayajutia.
Nimemshangaa Magdalena Sakaya anadiriki kusema eti leo ndio wanataka watafakari uchaguzi mkuu ulivyokuwa.
Muda wote walikuwa wapi? Kwanza Prof. Lipumba alitangaza eti kamfukuza kazi Maalim Seif sasa iweje leo anadai wanamsubiri Maalim Seif?
Nimemshangaa Magdalena Sakaya anadiriki kusema eti leo ndio wanataka watafakari uchaguzi mkuu ulivyokuwa.
Muda wote walikuwa wapi? Kwanza Prof. Lipumba alitangaza eti kamfukuza kazi Maalim Seif sasa iweje leo anadai wanamsubiri Maalim Seif?