Magdalena Sakaya, Prof. Lipumba atakupoteza

Magdalena Sakaya, Prof. Lipumba atakupoteza

Hivi Mtu kama Mnyika, kijana machachari na aliyeaminika kuwa na msimamo, anayumbishwa na Mwenyekiti wake na amebaki tu na butwaa haijulikani hata kwa sasa yupo upande gani......afadhali hata Lisu jamii ikimuangalia inaweza ku sympathise lakini sio John.
 
Miongoni mwa watu ambao huwa very loyal ni wanawake!, na uaminifu huu huwa unazidi iwapo. ...anaweza kuamua kufa na wewe! .
Pasco
Method ya Love umeapply kwenye politics[emoji3] [emoji23]
Mkuu hii si ipo kwenye mapenzi ya wapendanao na kwenye siasa pia?
 
Mtazamo wangu: kirusi cha kuvunjika kwa UKAWA kitaenea kidogo kidogo mpk kufikia 2020 UKAWA utavunjika endapo hatua madhubuti hazitachukuliwa katika kudhibiti sumu ya kwamba CUF inaonewa na CHADEMA katika kila sekta.
 
Sakaya anaujua ukweli,na Mungu anamuona,nenda kafanye risech kidogo hapo Kaliua
Mkuu unahitaji mtu afanye utafiti upi,wakati kila kitu kinafahamika.Sakaya anaendeshwa na itikadi ya Cuf na sio ushirikiano wa vyama vyenye mlengo wa "ubepali uchwara" .

Suali tunalojiuliza wananchi kwa nini chadema mlisimamisha mgombea kaliua?.Au mlihitaji aanguke kama alivyoanguka Mtatiro Segerea?.

Hamkufanikisha lengo lenu la kuhakikisha cuf wanaojitambua hawaukwai ubunge ndio maana mlimyima uongozi au cheo yule mgombea wenu wa kaliua?.Na mkaamua kumzawadia yule mmama aliemuangusha mtatiro ili jimbo liende ccm?.
 
Wakina mama wachache tu ndio wana misimamo si watu wa kuwategemea
 
Mkuu unahitaji mtu afanye utafiti upi,wakati kila kitu kinafahamika.Sakaya anaendeshwa na itikadi ya Cuf na sio ushirikiano wa vyama vyenye mlengo wa "ubepali uchwara" .

Suali tunalojiuliza wananchi kwa nini chadema mlisimamisha mgombea kaliua?.Au mlihitaji aanguke kama alivyoanguka Mtatiro Segerea?.

Hamkufanikisha lengo lenu la kuhakikisha cuf wanaojitambua hawaukwai ubunge ndio maana mlimyima uongozi au cheo yule mgombea wenu wa kaliua?.Na mkaamua kumzawadia yule mmama aliemuangusha mtatiro ili jimbo liende ccm?.
saed kubenea aje kujibu maswali haya!! sio tu aongoze kukosoa serikali na haya pia tunataka majibu yake
 
saed kubenea aje kujibu maswali haya!! sio tu aongoze kukosoa serikali na haya pia tunataka majibu yake

Kubenea ni Sabufa la Mbowe, Mbowe hakupenda Mtatiro na Magdalena Sakaya wawe Wabunge ndio sababu aliwawekea Wasaliliti ili Waanguke
 
Huyu mwanamama mwanasiasa machachari sikutegemea kama angepumbazwa na Lipumba. Najiuliza kampa nini? Ni miongoni mwa viongozi na wabunge wa CUF niliokuwa nawaamini sana. Baada ya Lipumba kujiuzulu kashikamana na chama na hatimaye kuukwaa ubunge kwa tiketi ya CUF na backup kubwa ya UKAWA.

Ni miongoni mwa akina mama niliowaona shupavu na wenye kutetea hoja.
Sasa simuelewi, mbona hakumuunga mkono wakati anajiuzuru tukamuelewa?

Sakaya mama sikuelewi hata kidogo.
Huyo mama alipata Ubunge kwa nguvu ya chama chake na yeye mwenyewe jinsi anavyokubalika kwa wananchi katika Jimbo lake kulikuwa hakuna ushirikiano wa Ukawa kila chama kiliweka mgombea wake

Kwa hiyo usipitoshe watu unaposema kuwa huyo Mama alipita kwa nguvu ya Ukawa wakati kila chama kiliweka mgombea
 
Yaani Sakaya anaamini kashinda ubunge Kwa nguvu za Lipumba na sio UKAWA? Acha CUF wajitoe UKAWA kama atashinda tena.
Kwani Ukawa ulimsaidia nini Sakaya wakati kila chama kiliweka mgombea wake?
 
Back
Top Bottom