chinyika
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 514
- 424
Uliporomoka Septemba 1.UKUTA upo?
Zimebaki porojo tu za mwenyekiti wa maisha wa CHADEMA Mbowe.
Uliporomoka Septemba 1.UKUTA upo?
Ajabu! Wiki chache za Taslima, kama mwenyekiti wa kamati (ya watu 3), ya uongozi ndo zilizompata Sakaya ushindi?
Ajabu! Wiki chache za Taslima, kama mwenyekiti wa kamati (ya watu 3), ya uongozi ndo zilizompata Sakaya ushindi?
Kweli hayo mkuu?Sayaka kashinda kwa nguvu ya cuf na sio ukawa kwa kuwa imshinda mgombea wa ccm na chadema jimboni kwake. Cha ajabu chadema walimuwemea mgombea kama walivyofanya kwa mtatiro segerea licha ya makubaliano ya kuachiwa jimbo ya UKawa.
Shkamoo.
Yaani Sakaya anaamini kashinda ubunge Kwa nguvu za Lipumba na sio UKAWA? Acha CUF wajitoe UKAWA kama atashinda tena.
Hana akili kama zakoNamshangaa mtatiro cdm walimfanyia figisu lakini hajitambui.
nyie ni Ng'ombe kweli. Mnakimbia hoja mnaishia kusingizia CCM. Na badoccm wako nyuma ya huyo mama na Lipumba.
swissme
majinga sana hayaKuna wapumbuvu wanadhani mafanikio ya kafu au CDM yalikuja ndani ya miezi miwili ya kuelekea octoba 2015
haa haaa kivipi mkuu. Mi namuona Lowasa tu hapa na faranga zakeHilo sakata ccm na chadema wanahusika kila mmoja kwa namna yake
Sana.majinga sana haya
Umerudi na vidole vyako eeeehccm wako nyuma ya huyo mama na Lipumba.
swissme
ccm wako nyuma ya huyo mama na Lipumba.
swissme
Mkuu laki si pesa upo?Chadema waliwafanyia hujuma sana CUF kipindi cha uchaguzi...hata yule dada aliemnyima ubunge Mtatiro Segerea amezawadiwa ubunge wa viti maalum.
Nipo mkuu Lipumba mimi namuelewa sana ana hoja za msingi sana CUF kwenye huu UKAWA wanaburuzwa sana na CHADEMA !Mkuu laki si pesa upo?
Na ukiangalia Sakaya na Nachumu walishinda kwa kupambana na CDM, ACT na CCM.
Ndio maana hawa wapo na Lipumba. Pamoja na kuwa Lipumba ana mapungufu lakini kwenye hili anahoja, awe anatumiwa au hatumiwi.