Magazeti mengine yanatia kichefuchefu

Magazeti mengine yanatia kichefuchefu

Kuna viumbe vilikua vinamsifia JK hakuna tena sasa JPM akitoka uone atakavyosifiwa hiyo ajae Hats kama atakua ANDREW CHENGE cha msingi atoke kwa MACCM
 
Hahaha....Mkapa alipowaita hawa jamaa Makanjanja unafikir alikosea...ni mikanjanja kweli
 
85bccad43a7f6fc61f53cc3e71d5529f.jpg

Hivi huyu aliyeandika hapa anajielewa kweli!... au anadhani Tanzania hii yuko peke yake?....ama anafikiri sisi hatujui kinachoendelea?
.......eti J😛M kichocheo cha kukua kwa uchumi hili gazeti hata nikute wamenifungia maandazi sikubali bora niyaweke kwenye mfuko wa suruali.
Halijavinja katiba ya nchi lakini.
 
85bccad43a7f6fc61f53cc3e71d5529f.jpg

Hivi huyu aliyeandika hapa anajielewa kweli!... au anadhani Tanzania hii yuko peke yake?....ama anafikiri sisi hatujui kinachoendelea?
.......eti J😛M kichocheo cha kukua kwa uchumi hili gazeti hata nikute wamenifungia maandazi sikubali bora niyaweke kwenye mfuko wa suruali.
Mwandishi atakuwa analinda kucha zake
 
Bombadia iliyokamatwa inakuja wiki lijalo na ile dreamliner inakuja mwezi wa kumi na mbili!

Inabidi tu, hakuna namna.

Kama Super Brand ITV wanafanya Malumbano ya Hoja (halafu nyote mnatakiwa kuwa na hoja za upande mmoja), kipima joto kinachosoma nyote mna jotoridi sawa unategemea nini!
 
85bccad43a7f6fc61f53cc3e71d5529f.jpg

Hivi huyu aliyeandika hapa anajielewa kweli!... au anadhani Tanzania hii yuko peke yake?....ama anafikiri sisi hatujui kinachoendelea?
.......eti J😛:M kichocheo cha kukua kwa uchumi hili gazeti hata nikute wamenifungia maandazi sikubali bora niyaweke kwenye mfuko wa suruali.
Mimi nikipewa naenda kuchambia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom