Tanzania Daima limeandika nini?
Bombadia iliyokamatwa inakuja wiki lijalo na ile dreamliner inakuja mwezi wa kumi na mbili!
Hizo ndiyo dalili za Uchumi kupanda.
Tanzania Daima limeandika nini?
Bombadia iliyokamatwa inakuja wiki lijalo na ile dreamliner inakuja mwezi wa kumi na mbili!
Hizo ndiyo dalili za Uchumi kupanda.
Sindio kama hiyo mpaka na Picha kalipiga.Hivi haya magazeti huwa yana wateja kweli?
Kula ndimu mkuu![]()
Hivi huyu aliyeandika hapa anajielewa kweli!... au anadhani Tanzania hii yuko peke yake?....ama anafikiri sisi hatujui kinachoendelea?
.......eti J😛:M kichocheo cha kukua kwa uchumi![]()
![]()
hili gazeti hata nikute wamenifungia maandazi sikubali bora niyaweke kwenye mfuko wa suruali.
Aombewe? Aombewe nini? Labda aombewe maji ya kunywa."Wasomi na Wanasiasa wataka aombewe"😎
Wakulima na wafugaji wataka........!?
Mkuu nimecheka hapo mwishoni "Ni bora uweke maandazi kwenye Mfuko wa suruali kuliko kufungiwa kwenye hilo gazeti"Kabisa yani![]()
![]()
Mkuu nimecheka hapo mwishoni "Ni bora uweke maandazi kwenye Mfuko wa suruali kuliko kufungiwa kwenye hilo gazeti"
Yanaendeshwa kwa ruzuku, full support kutoka serikali, nani atanunua kipeperushi cha chamaHivi haya magazeti huwa yana wateja kweli?
![]()
Hivi huyu aliyeandika hapa anajielewa kweli!... au anadhani Tanzania hii yuko peke yake?....ama anafikiri sisi hatujui kinachoendelea?
.......eti J😛:M kichocheo cha kukua kwa uchumi![]()
![]()
hili gazeti hata nikute wamenifungia maandazi sikubali bora niyaweke kwenye mfuko wa suruali.
Manyerere yupi unayemsemaSi mkurugenzi wake ni Manyerere?