Mwakamele 16
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,493
- 1,114
Nilikwenda kijiji fulani mwaka 2014.Baada ya kusalimiana na wenyeji wangu ghafla tumbo la kuhara likanishika nami huyoo nikaingia chooni.Pembeni kulikuwa na gazeti lenye jina hilo limechanwachanwa wee! Sikulitumia nilichukua hankachif yangu kujisafi nikatoka.Mgazeti wa ovyo sana huo haufai hata ku......

