Magazeti mengine yanatia kichefuchefu

Magazeti mengine yanatia kichefuchefu

85bccad43a7f6fc61f53cc3e71d5529f.jpg

Hivi huyu aliyeandika hapa anajielewa kweli!... au anadhani Tanzania hii yuko peke yake?....ama anafikiri sisi hatujui kinachoendelea?
.......eti J😛:M kichocheo cha kukua kwa uchumi hili gazeti hata nikute wamenifungia maandazi sikubali bora niyaweke kwenye mfuko wa suruali.
Unachokataa nini sasa leta ambacho umefanya wewe
 
tuwe wakweli..
matokeo ya matendo yooooote anayoyafanya pombe
sijui uzalendo
mara kuinyoosha nchi
NI KUWAONGEZEA WATANZANIA UGUMU WA MAISHA..
kama haya ni maendeleo basi kafanikiwa mno !
ukizoea kuishi na mafukara wafuga ng'ombe
siku ukiishi na waliofanikiwa na ukapewa rungu la kuwahukumu........
 
Mkuu kwani hili gazeti bado lipo?
sijawahi kuliona tangu miaka ya 2000!
au kuliona ktk mbao za magazeti!
kama lipo lina wanunuzi kweli?
si bora ninunue 'kiu' kuliko hili
Lipo mkuu,ila hata lisiponunuliwa hakuna hasara,kodi za wananchi zipo.
 
85bccad43a7f6fc61f53cc3e71d5529f.jpg

Hivi huyu aliyeandika hapa anajielewa kweli!... au anadhani Tanzania hii yuko peke yake?....ama anafikiri sisi hatujui kinachoendelea?
.......eti J: PM kichocheo cha kukua kwa uchumi hili gazeti hata nikute wamenifungia maandazi sikubali bora niyaweke kwenye mfuko wa suruali.
...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom