Magari ya Jeshi kwa makusudi hawaheshimu Sheria za Usalama barabarani

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,320
24,189
20220519_140743.jpg
20220519_140827.jpg


Kwa makusudi kabisa tena bila kujali, sasa hivi magari ya JWTZ hawaheshimu sheria za usalama barabarani.

Na tunawaona kila siku jijini Dar.
Picha hii ni leo Mwenge DSM.
Hii kwa jeshi ni dalili moja ya indisciple katika jeshi, kwa kuonyesha kuwa nani atanifanya nini.

Picha ya close-in kuna polisi traffic lakini hawana la kufanya mjeda akikatiza red light.

Wabunge wetu muulizeni Waziri wa Ulinzi: Hii nini?
 
Mkuu umetoa uzi muhimu sana,nchi yetu sasa ina Tabaka ambao wapo above law's, sheria ya barabarani ni kwa watumiaji wote regardless wewe ni nani,angalia jinsi hizi SU, ST, gari za jeshi na tiss yaani wao sheria hizi haziwahusu kabisa, why haya mambo yanaibuka miaka hii, kipindi cha president Nyerere (rip)wenye haki ya blue lights walikua wanna tu, na misafara yao ilikua hauzidi 3 cars, Yaani sweeper, main car for Subject na security, sasa hata igp, cdf, spika etc etc eti wana blue lights, kuishi ndani ya nchi hii kunakatanisha tamaa ya maisha
 
Huko umeenda mbali sana, Kuna magari ya Majaji, Mawaziri, STK, STJ n.k wengi wao hawaii sheria za usalama barabarani. Hapo sijaongelea yale ya polisi.

Kwa kesi kama hii unakosa pa kuipeleka. Anaetakiwa kuikemea nae anafanya makosa yaleyale.

Watoto wakifeli tunawalaumu, unamwambiaje hakuna aliye juu ya sheria wakati watu wanaona wasimamizu na watungaji wanazivunja?

Kila Mara nasema, hata tukipata katiba mpya, hatutakua tumetatua matatizo yetu yote, hata hii iliyopo inavunjwa sana na hakuna kinachofanyika.
 
Katiba mpya ndio msumeno wa vyote.bila hivo hata uzi wako ulitakiwa kufutwa
 
Mkuu umetoa uzi muhimu sana,nchi yetu sasa ina Tabaka ambao wapo above law's, sheria ya barabarani ni kwa watumiaji wote regardless wewe ni nani,angalia jinsi hizi SU,ST, gari za jeshi na tiss yaani wao sheria hizi haziwahusu kabisa, why haya mambo yanaibuka miaka hii,kipindi cha president Nyerere (rip)wenye haki ya blue lights walikua wanna tu,na misafara yao ilikua hauzidi 3 cars, Yaani sweeper, main car for Subject na security ,sasa hata igp, cdf, spika etc etc eti wana blue lights, kuishi ndani ya nchi hii kunakatanisha tamaa ya maisha
Mkuu hili uliloligusia ni zito.
Nchi hii kuna wasiogusika halafu tunatunga sheria zisizo na mashiko.
 
Hii nchi imekaa kushoto Sana, watu hupenda kujichukulia Sheria wenyewe wakijidai kuwa hakuna kitu watafanywa au watabishiwa na mtu mwengine. Halafu unasikia mwananchi zingatia Sheria. Kama yule mlinda Sheria anaipindisha Sheria, je yule mfata Sheria ataifuata Sheria?.... Bado tuna Kazi nzito, kuirekebisha katiba. Kazi iendelee
 
Huko Bubgeni mtunga sheria mwenyewe Spika aheshimu sheria anazozitinga,isitoshe askari jeshi
Mkuu ukiwa road kuna makundi ma3 ya magari yanayopewa kipaumbele: 1 Magari ya majeshi yote kwa ujumla wake. 2 Magari ya wagonjwa Ambulance. 3 Mabasi ya abiria ukifika stand ya Magu Mbezi ukiona basi la abiria linachomoka mazima toka stand kuingia barabara kuu usishangae
 
Ikitokea wamesababisha Ajali basi Kesi humalizwa kimyakimya tena haraka iwezekanavyo, ukikaza Kibao wanakugeuzia wewe na ikatokea umewasababishia Ajali... Hesabu hiko chombo chako ni mali yao ni kama kugonga treni tu.
 
View attachment 2230503View attachment 2230504

Kwa makusudi kabisa tena bila kujali, sasa hivi magari ya JWTZ hawaheshimu sheria za usalama barabarani.

Na tunawaona kila siku jijini Dar.
Picha hii ni leo Mwenge DSM.
Hii kwa jeshi ni dalili moja ya indisciple katika jeshi, kwa kuonyesha kuwa nani atanifanya nini.

Picha ya close-in kuna polisi traffic lakini hawana la kufanya mjeda akikatiza red light.

Wabunge wetu muulizeni Waziri wa Ulinzi: Hii nini?
Wewe jifunze tu kuwaheshimu hao wanaume wakiwa kwenye majukumu yao, ukikaza shingo jiandae kupanua moyo kwa vinyongo.
 
Mkuu umetoa uzi muhimu sana,nchi yetu sasa ina Tabaka ambao wapo above law's, sheria ya barabarani ni kwa watumiaji wote regardless wewe ni nani,angalia jinsi hizi SU,ST, gari za jeshi na tiss yaani wao sheria hizi haziwahusu kabisa, why haya mambo yanaibuka miaka hii,kipindi cha president Nyerere (rip)wenye haki ya blue lights walikua wanna tu,na misafara yao ilikua hauzidi 3 cars, Yaani sweeper, main car for Subject na security ,sasa hata igp, cdf, spika etc etc eti wana blue lights, kuishi ndani ya nchi hii kunakatanisha tamaa ya maisha
Amka waza zaidi ya kawaida, Usifikiri kitoto.Hivyo ni vyombo vya Ulinzi na alichobeba wewe hujui na hata akiwa anakimbiza gari wewe hujui sababu acha kuropoka. Hao wakiwa kwenye magari yao binafsi wala hawana hizo harakati wanaendesha kwa taratibu zote .Kwenye Mambo ya Ulinzi ya Nchi acha ujuaji wakati huna unalojua.
 
Kwa hiyo kitu hatari anapeleka kwenye hatari nyingine? Fikiri sehemu kama kwenye mataa, hivi alileta ajali utasema ni kwa sababu alikuwa na kitu hatari? Utaratibu kwa kuendesha kwa emergence upo, wanatakiwa kuwa na escortya king'ora, je hawa ndivyo wanavyofanya?
Amka waza zaidi ya kawaida, Usifikiri kitoto.Hivyo ni vyombo vya Ulinzi na alichobeba wewe hujui na hata akiwa anakimbiza gari wewe hujui sababu acha kuropoka. Hao wakiwa kwenye magari yao binafsi wala hawana hizo harakati wanaendesha kwa taratibu zote .Kwenye Mambo ya Ulinzi ya Nchi acha ujuaji wakati huna unalojua.
 
Huko umeenda mbali sana, Kuna magari ya Majaji, Mawaziri, STK, STJ n.k wengi wao hawaii sheria za usalama barabarani. Hapo sijaongelea yale ya polisi.

Kwa kesi kama hii unakosa pa kuipeleka. Anaetakiwa kuikemea nae anafanya makosa yaleyale.

Watoto wakifeli tunawalaumu, unamwambiaje hakuna aliye juu ya sheria wakati watu wanaona wasimamizu na watungaji wanazivunja?

Kila Mara nasema, hata tukipata katiba mpya, hatutakua tumetatua matatizo yetu yote, hata hii iliyopo inavunjwa sana na hakuna kinachofanyika.
Hili ni tatizo kubwa sana tunaweza kulichukulia poa lakini athari zake ni kwamba hakuna sheria kwa wote na linaleta hali kuwa mbaya mpaka kwa viongozi kutofuata sheria, Nimewahi kuona gari ya Jaji inapita katika mwendokasi na ndio watu wakutoa hukumu kwa mujibu wa sheria, police na wengine wengi tu wao sheria haiwahusu. Ni wakati wa jambo hili kukemewa kwa nguvu toka mamlaka ya juu maana linaweza kuonekana dogo ila kila jambo baya linaanza na udogo na tabia mbaya zinaanza taratibu.
 
Amka waza zaidi ya kawaida, Usifikiri kitoto.Hivyo ni vyombo vya Ulinzi na alichobeba wewe hujui na hata akiwa anakimbiza gari wewe hujui sababu acha kuropoka. Hao wakiwa kwenye magari yao binafsi wala hawana hizo harakati wanaendesha kwa taratibu zote .Kwenye Mambo ya Ulinzi ya Nchi acha ujuaji wakati huna unalojua.
Ha ha ha siku ya leo kuna vichekesho sana.
 
Back
Top Bottom