Mafuta ya ubuyu hatari kwa afya

Mafuta ya ubuyu hatari kwa afya

Soma vizuri maelezo yangu yote.

''TDFA inaonya jamii kuwa mafuta hayo si mazuri na si salama na inashauri watanzania kuacha kutumia''. Hakuna cha kupuliza hapa.


Mkuu kwani wao wamesemaje?, naona kama unang'ata na kupuliza pasipo kujijua
 
Na yenyewe yanapakwa kwenye gugudelo?
Smile, watu8[/QUOTE MziziMkavu
Bibie Smile mimi ninatumia Mafuta ya Zaituni situmii mafuta yenu ya Ubuyu mnayochanganya na Tindikali. Na ninapakaa hayo mafuta ya Zaituni kwenye hilo gugudelo wakati ninamuingilia wifi yako katika tendo la ndoa kwa sababu uke wa Wifi yako hautowi maji upo mkavu lazima nimpake mafuta ya zaituni na mimi mwenyewe nijipake kisha tunafanya mapenzi kwa raha zetu.

Faida ya matumizi ya mafuta ya zaituni olive oil

olive-oil_jpg_600x400_crop_q85.jpg

Mafuta ya Zaituni Olive Oil

Mafuta ya zaituni yana manufaa mengi katika mwili na maisha ya binadamu kwa ujumla kama ifuatavyo;



(1)Mafuta ya zaituni hutibu maumivu ya tumbo kwa kunywa kijiko 1 mara 2 kwa siku
kwa muda wa siku 7 hadi siku 11 inshaallah utapona kabisa.



(2)Mafuta ya zaituni hutibu masheitani kwa kusomea kisomo cha Ruqia, mgonjwa atajipaka mwili mzima mara moja kwa siku pamoja na kutafuna vitunguu saumu punje tatu wakati wa kulala kwa muda wa siku arobaini inshaallah.


(3)Mafuta ya zaituni ni kinga ya masheitani wa kijini na wa kibinadamu kwa kujipaka mwili mzima mara moja kwa siku.


(4)Mafuta ya zaituni hutibu ugonjwa wa mafua kwa kupaka kwenye mwamba wa pua na ndani ya matundu ya pua mara tatu kwa siku.


(5)Tiba ya vidonda vya tumbo; Matumizi ni kutia vijiko 2 vya chakula katika uji mara mbili kwa siku kwa muda wa siku 90.


(6) Mafuta ya zaituni hutumika kama huduma ya kwanza kwa aliyekunywa sumu kwa kunywa, na kwa mwenye ganzi au kiharusi hutumia kwa kuchua mwilini asubuhi na jioni.

(7) Mafuta ya zaituni hutumika katika kuua wadudu wabaya walioko tumboni kwanjia ya kunywa kijiko kimoja mara mbili kwa siku kwa muda wa siku saba.


(8) Mafuta ya zaituni huongeza nguvu za kiume kwa kunywa kijiko kimoja kwa siku pamoja na kuuchua uume mafuta yaliyochanganywa na vitunguu swaumu kwa muda wa siku saba hadi kumi na moja.


(9) Tiba ya ugonjwa wa kusahau: paka katika paji la uso kutwa marambili pamojana kunywa kijiko kimoja cha chai mara moja kwa siku kwa muda wa siku 7 hadi siku 11.


(10) Tiba ya degedege: hutumika kupakaa mwili mzima mafuta yaliosomewa ruqya, marambili kwa siku kwa muda wa siku 7 hadi siku 21.


(11)Kukojoa kitandani: kupakaa mafuta ya zaitun mwili mzima kutwa marambili huku akilamba matone mawili kwa muda wa siku 7 hadi siku 21.

chanzo. https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/482576-faida-ya-matumizi-ya-mafuta-ya-zaituni-olive-oil.html
 
mpe wifi juice ya bamia kila siku... pia msifanye kila siku
mimi ninatumia Mafuta ya Zaituni situmii mafuta yenu ya Ubuyu mnayochanganya na Tidnikali. Na ninapakaa hayo mafuta ya Zaituni kwenye hilo gugudelo wakati ninamuingilia wifi yako katika tendo la ndoa kwa sababu uke wa Wifi yako hautowi maji upo mkavu lazima nimpake mafuta ya zaituni na mimi mwenyewe nijipake kisha tunafanya mapenzi kwa raha zetu.

Faida ya matumizi ya mafuta ya zaituni olive oil

olive-oil_jpg_600x400_crop_q85.jpg

Mafuta ya Zaituni Olive Oil

Mafuta ya zaituni yana manufaa mengi katika mwili na maisha ya binadamu kwa ujumla kama ifuatavyo;



(1)Mafuta ya zaituni hutibu maumivu ya tumbo kwa kunywa kijiko 1 mara 2 kwa siku
kwa muda wa siku 7 hadi siku 11 inshaallah utapona kabisa.



(2)Mafuta ya zaituni hutibu masheitani kwa kusomea kisomo cha Ruqia, mgonjwa atajipaka mwili mzima mara moja kwa siku pamoja na kutafuna vitunguu saumu punje tatu wakati wa kulala kwa muda wa siku arobaini inshaallah.


(3)Mafuta ya zaituni ni kinga ya masheitani wa kijini na wa kibinadamu kwa kujipaka mwili mzima mara moja kwa siku.


(4)Mafuta ya zaituni hutibu ugonjwa wa mafua kwa kupaka kwenye mwamba wa pua na ndani ya matundu ya pua mara tatu kwa siku.


(5)Tiba ya vidonda vya tumbo; Matumizi ni kutia vijiko 2 vya chakula katika uji mara mbili kwa siku kwa muda wa siku 90.


(6) Mafuta ya zaituni hutumika kama huduma ya kwanza kwa aliyekunywa sumu kwa kunywa, na kwa mwenye ganzi au kiharusi hutumia kwa kuchua mwilini asubuhi na jioni.
chanzo. https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/482576-faida-ya-matumizi-ya-mafuta-ya-zaituni-olive-oil.html

(7) Mafuta ya zaituni hutumika katika kuua wadudu wabaya walioko tumboni kwanjia ya kunywa kijiko kimoja mara mbili kwa siku kwa muda wa siku saba.


(8) Mafuta ya zaituni huongeza nguvu za kiume kwa kunywa kijiko kimoja kwa siku pamoja na kuuchua uume mafuta yaliyochanganywa na vitunguu swaumu kwa muda wa siku saba hadi kumi na moja.


(9) Tiba ya ugonjwa wa kusahau: paka katika paji la uso kutwa marambili pamojana kunywa kijiko kimoja cha chai mara moja kwa siku kwa muda wa siku 7 hadi siku 11.


(10) Tiba ya degedege: hutumika kupakaa mwili mzima mafuta yaliosomewa ruqya, marambili kwa siku kwa muda wa siku 7 hadi siku 21.


(11)Kukojoa kitandani: kupakaa mafuta ya zaitun mwili mzima kutwa marambili huku akilamba matone mawili kwa muda wa siku 7 hadi siku 21.
 
hebu nianze uchunguzi wa kina kuona kama mafuta ya ubuyu yanaweza kutumika kwenye ndege
 
Uzushi mtupu mschiiiiiiiiiiyu!

Hiyo TFDA imeanzishwa mwezi huu nini?
Maana nashangaa haikuwepo kipindi watu wanaenda loliondo kupata kikombe ikapime kikombe cha babu, au kipindi watu wanakunywa metakelfin wanababuka?

Inshort mafuta ya ubuyu hatuachi kutumia mimi ni mteja mkubwa nasitaacha, ile ni product natural wewe sio chemical waambie hao sijui ndio TFDA wakajipange warudi upya tena wasijipangie ofisini warudi darasani wakafundishwe.
 
Si kweli kama mafuta ya ubuyu yana hatari kwa afya ya mwanadamu,wataalamu walobobea katika tiba asilia wamethibitisha hayo,na hao wako kimaslahi tu.
 
Hamna waongo tu hao TEA-FDA.Wanataka wanunue ubuyu,wakamue wakauze USA si mnaijua nchi yetu hii!Hadi math zina M/choice
 
mbona SIGARA ni hatari kwa afya lakini wameiruhusu.......hawa jamaa wanafanya kazi kweli au wana unga unga pale.....
 
Uzushi mtupu mschiiiiiiiiiiyu!

Hiyo TFDA imeanzishwa mwezi huu nini?
Maana nashangaa haikuwepo kipindi watu wanaenda loliondo kupata kikombe ikapime kikombe cha babu, au kipindi watu wanakunywa metakelfin wanababuka?

Inshort mafuta ya ubuyu hatuachi kutumia mimi ni mteja mkubwa nasitaacha, ile ni product natural wewe sio chemical waambie hao sijui ndio TFDA wakajipange warudi upya tena wasijipangie ofisini warudi darasani wakafundishwe.


Tena watuondolee uchuro wao hapa
 
Most people take natural organic medicines thinking it’s totally safe compared to synthetic drugs. They are completely unaware about some forms of side effects that can result from orally taking it. Side effects of herbal plants depend on the dosage, the herbal remedy and the drugs taken in combination with the herbal medicine. Many herbs and natural alternative medicines such as homeopathic remedies are safe to take; however, it can be tricky at times and should be taken with precaution. Because of these possible effects, one should look for another natural remedy that is considered to be generally safe and a great example of this is Baobab. If you are hesitant to buy it due to the possible side effects of Baobab, the good news is that it doesn't cause any harmful effects like other natural medicines.

Aduna-Baobab-tree-life-africa-superfruit.jpg


Whatever belief of adverse side effects of Baobab can be put aside because in September 2009, the fruit was already approved as ‘Generally Recognized as Safe’ (GRAS) by the Food and Drug Administration in the US
, which signifies a green light to open Baobab nutritional products for US consumers. GRAS means that any forms of a food additive or substances incorporated in food or diet is considered as safe by the experts. Because of this, it’s pretty sure that there are no negative issues with Baobab.


Baobab is considered a tropical tree with edible fruit, which is greatly consumed and used by local peoples all throughout Africa. It is also known as ‘Upside-down tree’ and the ‘Tree of Life’, which is very abundant in the African soil. For centuries, it continues to be a life-saving staple for the local people during strikes of draught and famine. It is also their source of nutrition and natural medicine.


Baobab hit the European market and has been applied as an ingredient in foods and beverages for some time, but it only got its GRAS approval from FDA in September 2009. Currently, the US consumer response has been slow, probably due to minimal research and development of the product as well the effects of the recession. So far, Baobab is currently sold as a powder, which is said to be rich in antioxidants four times higher than kiwi.
There are also no noted negative side effects of Baobab, except that it results to positive health effects. The fruit consists of chunks of nutrients such as Vitamin C, pectin, citric, malic, succinic, riboflavin and niacin. The oil contains vitamins A,D and C. Studies on dried Baobab fruit compositional details include specific fatty acid, amino acids, carbohydrate, organic acids and micronutrients.

Although Baobab is considered to be generally safe, it is still advisable to consult your health provider before starting any supplements, herbs or any natural homeopathic remedies. This is to ensure that you won’t experience any side effects of Baobab, be they adverse or harmless. Moreover, purchase your Baobab powder from reliable, well-known companies. This is to ensure that you get the proper dosage to take and help you determine and measure the success of your Baobab remedy more easily. Potential reactions to other drugs or herbal medicines may occur so make sure you ask about this as well.

source: Zero Negative Side Effects of Baobab: Baobab GRAS Status Approval
 
Mafuta ya Ubuyu ambayo yamejitwalia umaarufu siku za karibuni kiasi cha kufanya yawe ya bei mbaya sana yameelezwa kuwa si salama kwa afya..

TFDA wamepiga marufuku kwa kuwa yana Tindikali ya mafuta, na anayekunywa kwa wingi ana hatari ya kupata Kansa za aina mbali mbali.

TDFA inaonya jamii kuwa mafuta hayo si mazuri na si salama na inashauri watanzania kuacha kutumia.

HABARI KAMILI HII HAPA KUTOKA HABARI LEO

Imechapishwa Jumatatu, 08 Julai 2013 | Imeandikwa na Theopista Nsanzugwanko

BAADA ya kuonya wananchi wanaotumia dawa za tiba mbadala ambazo hazijathibitishwa, Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), sasa inawataka wananchi kuacha kutumia mafuta ya ubuyu kwa kunywa kama dawa.

Akizungumza na gazeti hili juzi katika Maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, msemaji wa TFDA, Gaudensia Simwanza, alisema Mamlaka hiyo ilipima na kubaini mafuta hayo yana tindikali ya mafuta.

Alifafanua katika maonesho hayo maarufu kama Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere, kwamba mafuta hayo hayafai kuliwa na binadamu na anayekunywa kwa wingi, yuko hatarini kupata saratani za aina tofauti tofauti.

“Hivi karibuni kumekuwa na wimbi la wajasiriamali wanaouza mafuta ya ubuyu kama dawa, kwa kuwaelekeza wananchi kunywa. Napenda kuwataarifu kuwa mafuta hayo ni hatari kwani yana tindikali ya mafuta,” alisema.

Gazeti hili lilipata sampuli ya vielelezo vya matumizi yake na manufaa yake mwilini, kama inayotangazwa na wajasiriamali katika maeneo mbalimbali na hata katika mitandao.

Matangazo

“Ni mafuta yatokanayo na mbegu za ubuyu {au kokwa}. Hukamuliwa kiini chake na kutoa mafuta. Yana ubora kuliko mafuta mengine ya kupikia, yana Vitamin A, B, C, D na F. Pia yanatibu magonjwa mbalimbali,” kielelezo kimoja kilinadi ubora wake katika mitandao ya jamii.

Mafuta hayo yamedaiwa kutengeneza seli zote ndani ya mwili, kuzuia ngozi isiharibike wala kupata makunyanzi, kuondoa mafuta ndani ya mishipa ya damu na yanapunguza uzito uliozidi.

Pia inadaiwa yanarutubisha ini na figo, yanaleta hamu ya kula, yanaimarisha mifupa, kucha na nywele, yanaongeza kinga ya mwili (CD4), yanaondoa sumu na yanatengeneza sukari iwe katika kiwango kinachotakiwa.

Maelezo hayo yameendelea kusifu kwamba yanasaidia kuona vizuri na kujenga kumbukumbu, yanapunguza vitambi na matumbo makubwa, yana virutubisho vyote vinavyohitajika mwilini.

Katika ngozi yametajwa kuondoa madoa, chunusi, fangasi, upele, mba na muwasho, yanafaa kwa walemavu wa ngozi (albino). Pia huondoa hamu ya kutumia dawa za kulevya na kuponyesha vidonda vya tumbo.

“Endelea kutumia mafuta bora ya ubuyu, ni bidhaa asilia ya kitanzania. Ni mafuta yasiyochanganywa na kitu chochote, ni mafuta asilia,” yamesifiwa katika maelezo hayo.

Kisukari

Mtumiaji ameelezwa kama ana ugonjwa wa kisukari, atumie kijiko cha chakula kimoja tu. Anatakiwa kutumia dozi hiyo ya kwanza nusu saa kabla ya kula chochote kwa muda wa siku 15.

Dozi ya pili na ya tatu kwa wagonjwa hao, inatakiwa kufuata baada ya siku 15 kisha mgonjwa apumzike wiki moja, huku akiendelea kupima kila wiki. Kipimo hapo ni cha hospitali.

Vidonda vya tumbo, figo, ini

Kwa wagonjwa wa vidonda vya tumbo, figo na ini, wameelekezwa na wajasiriamali hao kunywa kijiko cha chakula kimoja asubuhi kabla ya kula chochote, na usiku kijiko cha chakula kimoja kabla hajala chochote kwa muda wa siku 15 kwa dozi ya kwanza.

Baada ya hapo, mgonjwa anapumzika wiki moja kisha siku 15 zinazofuata dozi ya pili, mapumziko wiki moja halafu siku 15 nyingine dozi ya tatu.

Maelezo ya dozi hiyo ya kutibu ugonjwa wa vidonda vya tumbo, yanaendelea kumtaka mgonjwa baada ya dozi ya tatu, aanze kunywa kila wiki mara moja kijiko cha chakula kimoja asubuhi, tena nusu saa kabla hajala chochote kwa muda wa wiki nne.

Dozi inaendelea ambapo mgonjwa atatakiwa kunywa kijiko kimoja cha chakula kila mwezi mara moja asubuhi, kabla hajala chochote kwa muda wa wiki nne, kisha kunywa kila mwezi mara moja, asubihi kabla hajala chochote kwa muda wa miezi sita mfululizo.

Utoaji sumu, CD4

Kwa utoaji wa sumu, mgonjwa ametakiwa kunywa kijiko cha chakula kimoja asubuhi kila siku kwa muda wa siku 14, kisha kunywa kila mwezi mara moja kwa muda wa miezi sita mfululizo.

Kwa kuongeza CD4 mwilini, ametakiwa kupata kijiko cha chakula kimoja asubuhi nusu saa kabla ya kula chochote, na usiku kijiko cha chakula kimoja nusu saa kabla ya kula chakula cha usiku kwa muda wa miezi mitatu.

“Mgonjwa aanze kunywa baada ya kipimo cha mwisho (cha CD4) alichopima. Mafuta yanapatikana kuanzia ujazo wa lita moja na zaidi,” imesifiwa dawa hiyo.

Onyo

TFDA imeonya kuibuka kwa tabia ya wananchi kutaka matibabu ya haraka, kama ilivyo kwa baadhi ya watu kutaka utajiri wa haraka, na imehadharisha ni vema kabla ya kutumia dawa zinazoibuka kila siku, waulize kama zina ubora kwa afya zao.

“Nawasihi wananchi kuacha kukimbilia dawa ngeni mara tu baada ya kutangazwa… kama haya Mafuta ya Ubuyu, yamekuwa yakielezwa ni dawa na wajasiriamali tu, na wengi wamekuwa wakitumia bila kusikiliza mamlaka husika zinasemaje,” alisisitiza.

Semwanza alisema Mamlaka hiyo iko katika mkakati wa kuanza kuelimisha jamii kuhusu matumizi ya mafuta hayo, ambayo wengi wanayaamini na kuyanywa kama dawa.

Teknolojia, matumizi sahihi

Kwa mujibu wa Semwanza, baada ya kupima mafuta hayo na kubaini hatari hiyo, waligundua pia inawezekana tindikali hiyo kutenganishwa na mafuta hayo, lakini imebainika utaalamu na teknolojia hiyo haipo nchini.

Hata hivyo, alisema Mamlaka hiyo haijabaini madhara ya matumizi mengine ya mafuta hayo kama kipodozi.

Msako Sabasaba

Kutokana na mvuto huo wa kibiashara, na shauku ya kupona haraka ya wananchi, Semwanza alisema TFDA imekuwa ikifanya msako wa dawa mbalimbali zinaouzwa na wajasiriamali katika maonesho hayo.

Alisema kuwa kuna baadhi ya waandaaji wanaowaalika wajasiriamali bila kufuata kanuni na sheria za kuingiza dawa hizo katika maonesho.

Kwa mujibu wa Semwanza, wanakagua dawa na kama wakikuta hazijathibitishwa na TFDA na mamlaka nyingine, wanamuamuru mjasiriamali kuacha kuzitangaza mpaka apate kibali na kuwaasa wanaowaleta wajasiriamali katika maonesho hayo ya kimataifa kuhakikisha wanafuata vigezo.

Wiki iliyopita TFDA, ilionya wananchi dhidi ya matumizi ya dawa za tiba mbadala, zikiwamo zinazokuza maumbile, ambazo bado hazijasajiliwa na Mamlaka hiyo baada ya kuchunguza usalama, ubora na ufanisi wa dawa hizo.

Mamlaka hiyo ilieleza kuwa, ilitoa nafasi ya watoa tiba mbadala kwenda kusajili dawa zao, lakini mwitiko umekuwa hafifu.

TDFA yenye dhamana ya kusimamia ubora na usalama wa bidhaa za vyakula na dawa, ikiwa ni pamoja na dawa za mitishamba, vipodozi na vifaa tiba vinavyouzwa katika soko la Tanzania, imeeleza kuwa watoa huduma wa tiba mbadala, wengi hawako tayari kubainisha aina ya mchanganyiko wa dawa hizo jambo ambalo ni hatari kwa walaji.


habari leo ni gazeti la udaku
 
Bibie Smile mimi ninatumia Mafuta ya Zaituni situmii mafuta yenu ya Ubuyu mnayochanganya na Tindikali. Na ninapakaa hayo mafuta ya Zaituni kwenye hilo gugudelo wakati ninamuingilia wifi yako katika tendo la ndoa kwa sababu uke wa Wifi yako hautowi maji upo mkavu lazima nimpake mafuta ya zaituni na mimi mwenyewe nijipake kisha tunafanya mapenzi kwa raha zetu.

Faida ya matumizi ya mafuta ya zaituni olive oil

olive-oil_jpg_600x400_crop_q85.jpg

Mafuta ya Zaituni Olive Oil

Mafuta ya zaituni yana manufaa mengi katika mwili na maisha ya binadamu kwa ujumla kama ifuatavyo;



(1)Mafuta ya zaituni hutibu maumivu ya tumbo kwa kunywa kijiko 1 mara 2 kwa siku
kwa muda wa siku 7 hadi siku 11 inshaallah utapona kabisa.



(2)Mafuta ya zaituni hutibu masheitani kwa kusomea kisomo cha Ruqia, mgonjwa atajipaka mwili mzima mara moja kwa siku pamoja na kutafuna vitunguu saumu punje tatu wakati wa kulala kwa muda wa siku arobaini inshaallah.


(3)Mafuta ya zaituni ni kinga ya masheitani wa kijini na wa kibinadamu kwa kujipaka mwili mzima mara moja kwa siku.


(4)Mafuta ya zaituni hutibu ugonjwa wa mafua kwa kupaka kwenye mwamba wa pua na ndani ya matundu ya pua mara tatu kwa siku.


(5)Tiba ya vidonda vya tumbo; Matumizi ni kutia vijiko 2 vya chakula katika uji mara mbili kwa siku kwa muda wa siku 90.


(6) Mafuta ya zaituni hutumika kama huduma ya kwanza kwa aliyekunywa sumu kwa kunywa, na kwa mwenye ganzi au kiharusi hutumia kwa kuchua mwilini asubuhi na jioni.

(7) Mafuta ya zaituni hutumika katika kuua wadudu wabaya walioko tumboni kwanjia ya kunywa kijiko kimoja mara mbili kwa siku kwa muda wa siku saba.


(8) Mafuta ya zaituni huongeza nguvu za kiume kwa kunywa kijiko kimoja kwa siku pamoja na kuuchua uume mafuta yaliyochanganywa na vitunguu swaumu kwa muda wa siku saba hadi kumi na moja.


(9) Tiba ya ugonjwa wa kusahau: paka katika paji la uso kutwa marambili pamojana kunywa kijiko kimoja cha chai mara moja kwa siku kwa muda wa siku 7 hadi siku 11.


(10) Tiba ya degedege: hutumika kupakaa mwili mzima mafuta yaliosomewa ruqya, marambili kwa siku kwa muda wa siku 7 hadi siku 21.


(11)Kukojoa kitandani: kupakaa mafuta ya zaitun mwili mzima kutwa marambili huku akilamba matone mawili kwa muda wa siku 7 hadi siku 21.

chanzo. https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/482576-faida-ya-matumizi-ya-mafuta-ya-zaituni-olive-oil.html

mkuu nitayapataje hayo mafuta?
 
Soma vizuri maelezo yangu yote.

''TDFA inaonya jamii kuwa mafuta hayo si mazuri na si salama na inashauri watanzania kuacha kutumia''. Hakuna cha kupuliza hapa.

Bahati mbaya hapa natumia simu, kwenye taarifa iliyochapishwa n gazeti la Daily News limeweka bayana kuwa kilichotolewa tahadhari ni matumizi ya ndani ya mwili na wala sio nje.
 
Back
Top Bottom