Mafuta ya ubuyu hatari kwa afya

Mafuta ya ubuyu hatari kwa afya

TFDA ni kichwa cha mwendawazimu kabisa, jambo kama hili si la kulifanyia mchezo. Tangu walipogundua mafuta haya hayafai wamechukuwa hatua gani kuhakikisha wanadamu wote wa tanzania wanaancha kuyatumia? wao wanadhani watanzania wote wanaenda saba saba au wanasoma magazeti?? kwa nini wasipige mbiu kila mtu akapata habari hizi? watu wanayanywa haya mafuta kama juice, Eee Mungu linda watu wako! Wengine ndio wanapaka hizo pochi manyoya usiku na mchana, zikijifunga na kugoma kufunguka hii kesi itakuwa ya nani? agh!!!! nimechoka mie
 
TFDA ni kichwa cha mwendawazimu kabisa, jambo kama hili si la kulifanyia mchezo. Tangu walipogundua mafuta haya hayafai wamechukuwa hatua gani kuhakikisha wanadamu wote wa tanzania wanaancha kuyatumia? wao wanadhani watanzania wote wanaenda saba saba au wanasoma magazeti?? kwa nini wasipige mbiu kila mtu akapata habari hizi? watu wanayanywa haya mafuta kama juice, Eee Mungu linda watu wako! Wengine ndio wanapaka hizo pochi manyoya usiku na mchana, zikijifunga na kugoma kufunguka hii kesi itakuwa ya nani? agh!!!! nimechoka mie

Mkuu kinachonishangaza huu utafiti wao wangeanzia kwa watumiaji wa hizo mbegu haswa kabila la wahadzabe....ila hao wanapaka kwenye Gegedo ndo wameniacha hoi....
 
Back
Top Bottom