Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
- Thread starter
- #61
Utoko unakuwa mchache...
Alahaula lakwataaaa!!
Utoko unakuwa mchache...
hayaleti mnato bwana kipochi kinakuwa na joto centgrade inasoma 45 full time
hupaki ndani bwana
mi mnato nasikia kwako...labda unifundishe leo.mi navojua unapaka nje papuu inakuwa inamvuto...inanenepa ...inanona full joto na unatoa weusi pembeni hukoSasa kama kama hupaki ndani kitu kinakuwaje mnato?
tatizo lako wewe hujawai kula vitu vitamuIkiwa 45, we unakua huungui?
Free fat acid?
pole sanaLabda mimi tu mngenieleza ni kitu kipi Tanzania siyo fake, kwa uchache haya yote ni fake Tanzania;
Simu feki (mchina)
Television na video fake
Madawa ya kutibu binadamu fake including ARV za Madabida
Nywele za kina Dada fake,
Kope fake,
Maisha fake (wengi hawaishi maisha yao halisi hasa Bongo movie ni vigumu kujuwa muda gani huwa wanaigiza na muda gani wako halisi)
Mbaya zaidi sasa na mapenzi yenyewe vilevile fake.
hayapakwi ndani mkuu...ndani ya papuchi hairuhusiwi kuingiza kitu zaidi ya dushe ...hope unaelewa
Labda mimi tu mngenieleza ni kitu kipi Tanzania siyo fake, kwa uchache haya yote ni fake Tanzania;
Simu feki (mchina)
Television na video fake
Madawa ya kutibu binadamu fake including ARV za Madabida
Nywele za kina Dada fake,
Kope fake,
Maisha fake (wengi hawaishi maisha yao halisi hasa Bongo movie ni vigumu kujuwa muda gani huwa wanaigiza na muda gani wako halisi)
Mbaya zaidi sasa na mapenzi yenyewe vilevile fake.
Labda mimi tu mngenieleza ni kitu kipi Tanzania siyo fake, kwa uchache haya yote ni fake Tanzania;
Simu feki (mchina)
Television na video fake
Madawa ya kutibu binadamu fake including ARV za Madabida
Nywele za kina Dada fake,
Kope fake,
Maisha fake (wengi hawaishi maisha yao halisi hasa Bongo movie ni vigumu kujuwa muda gani huwa wanaigiza na muda gani wako halisi)
Mbaya zaidi sasa na mapenzi yenyewe vilevile fake.
una duka la mafuta ya ubuyu nini?Shida sana kuelewa labda anaimanisha Tryglycerides (tryglycerol)
Labda mimi tu mngenieleza ni kitu kipi Tanzania siyo fake, kwa uchache haya yote ni fake Tanzania;
Simu feki (mchina)
Television na video fake
Madawa ya kutibu binadamu fake including ARV za Madabida
Nywele za kina Dada fake,
Kope fake,
Maisha fake (wengi hawaishi maisha yao halisi hasa Bongo movie ni vigumu kujuwa muda gani huwa wanaigiza na muda gani wako halisi)
Mbaya zaidi sasa na mapenzi yenyewe vilevile fake.
tumeacha kujipaka vitu vya mchina ...tumepaka vitu vya mashambani kwetu serikali inatuambia ni sumu...tufanyeje?MADEMU pia wengi fake sababu ya mchina
viongozi wengi serikalini ni fake tu
uzushi tuuu.....hii kitu mbegu za Mbuyu tunasaga na kuzila kila siku huku Mongo wa Mono kwa wahadzabe miaka mingi tuu lakini hatujawahi kusikia madhara yake zaidi ya gugudelo kuwika kila dakika....