Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,290
....haya mafuta yameharibu biashara za watu sana.........ndio maana wameyapiga kashfa....wagogo wanaoishi karibu na miti hiyo hula ubuyu na kutafuna mbegu zake toka wakiwa wadogo mpaka kuzeeka kwao lakini hawaja wahi kupata hizo kansa....au yana matatizo tu pindi unapo yakamua tu......
mimi niko mbioni kuanza kukamua mafuta ya mbegu za matikitiki kwa ajiri ya kuongeza ufanisi katika ndoa....myapime mapema kabla sijafungua kiwanda changu.....
...hata sisi wahadzabe a k a tindigaz hapa Mongowamono tunakuywa uji wa mbegu mbuyu miaka nenda...hatuna kansa wala kipindupindu....hawa ni wazushi tuuuuu ......