Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,742
Bibie charminglady Kayatafute kwenye Ma-Super Market Makubwa utayapata inshallah.mkuu nitayapataje hayo mafuta?
Last edited by a moderator:
Bibie charminglady Kayatafute kwenye Ma-Super Market Makubwa utayapata inshallah.mkuu nitayapataje hayo mafuta?
Tende ukila nyingi husababisha uhanithi
Oooh hii sasa balaa bora ya busha unaweza kuwa Sheikh msikitini kuliko kuwa -------
Mkuu Latifaa mimi nikitumia metakelfin au fansider nababuka kwenye gugudelo balaa...sijawahi kuwasikia TFDA wakieleza tusitumie hizo dawa lakini hii ya mafuta ya ubuyu naona wapo active sana. Nchi hii!!!!??!!Uzushi mtupu mschiiiiiiiiiiyu!
Hiyo TFDA imeanzishwa mwezi huu nini?
Maana nashangaa haikuwepo kipindi watu wanaenda loliondo kupata kikombe ikapime kikombe cha babu, au kipindi watu wanakunywa metakelfin wanababuka?
Inshort mafuta ya ubuyu hatuachi kutumia mimi ni mteja mkubwa nasitaacha, ile ni product natural wewe sio chemical waambie hao sijui ndio TFDA wakajipange warudi upya tena wasijipangie ofisini warudi darasani wakafundishwe.
MziziMkavu hata wewe hukutokea kusajili dawa zako?!Wiki iliyopita TFDA, ilionya wananchi dhidi ya matumizi ya dawa za tiba mbadala, zikiwamo zinazokuza maumbile, ambazo bado hazijasajiliwa na Mamlaka hiyo baada ya kuchunguza usalama, ubora na ufanisi wa dawa hizo.
Mamlaka hiyo ilieleza kuwa, ilitoa nafasi ya watoa tiba mbadala kwenda kusajili dawa zao, lakini mwitiko umekuwa hafifu.
Mkuu Mzito KabwelaMziziMkavu hata wewe hukutokea kusajili dawa zako?!
uandishi gani huu! Habari haijitoshelezi, ni wapi tangazo hili limetolewa ? Tindikali kwenye mafuta? Ipi hiyo?
1.Mafuta yote ya Ubuyu yamepigwa marufuku?au ni yale ambayo hayana nembo ya TFDA?
2.Mbona stori haijakamilika?
3.Nijuavyo mimi mafuta ya Ubuyu ni tiba ya mwili.
4.Hiyo tindikali iliyopo kwenye hayo mafuta inaitwaje? watuambie wengine twende tukaprove Lab.
5.Huyu mwandishi mbona hajahoji swali la Msingi au na yeye ni Ngwine?
Mwisho:Mwandishi kaniboa kweli!!
Hahaahaa mkuu umenichekesha sana hii ndio bongo land bwana we subiri baadae watakuja na issue kua wamegundua utumiaji wa simu fake unaleta kansa . Baada ya kutumiwa na wananchi kwa muda mrefu. Sijui hawa watafiti wetu inakuaje wanashindwa kufanyia utafiti kitu kabla hakijawa popular. Kama hii habari wangeweza kuifanyia utafiti kabla watu hawajajua wengi na pengine kutumiwa na wengi. Sishangai hasa nikikumbuka habari ya loliondo kwa babu. Hivi ni lini tutaacha siasa hata kwenye mambo muhimu, inakera sana kila kitu kufanywa kisanii sanii tu. Au ndio maana Africa iko hivi ilivyo kiasi kwamba unashangaa haipigi hatua kwenye kila kitu , elimu fake, mitihani fake , tiba fake nk.Labda mimi tu mngenieleza ni kitu kipi Tanzania siyo fake, kwa uchache haya yote ni fake Tanzania;
Simu feki (mchina)
Television na video fake
Madawa ya kutibu binadamu fake including ARV za Madabida
Nywele za kina Dada fake,
Kope fake,
Maisha fake (wengi hawaishi maisha yao halisi hasa Bongo movie ni vigumu kujuwa muda gani huwa wanaigiza na muda gani wako halisi)
Mbaya zaidi sasa na mapenzi yenyewe vilevile fake.
Mkuu umenikumbusha hii kitu ilinikera sana pamoja na majibu aliyotoa dingi ndio acha kabisa . Sasa huyo mwandishi ndio alijiandaa mwezi mzima ili akija mkuu wa dunia amuulize hico alichouliza, kazi kweli kweli na ukihoji uwezo wa mwandishi huyo unaambiwa wewe mpinzani na tena ukijaribu pia kuhoji kwanini mdingi alijibu vile utaambiwa huo ni wivu humtakii mema dingi wetu. Tz where are we heading to?Mkuu unakuwa kama huwajui waandishi wa TZ? Huo uwezo wa kuuliza maswali ya msingi atautoa wapi? Mh. Obama umeridhika na jinsi wa-TZ Walivyokupokea? Useless news reporters!