Mafuriko makubwa yatokea wilayani Dumila,barabara ya Morogoro-Dodoma yafungwa

Jamani, mnapo post vitu huku jueni kuwa sisi hatupo kwenye tukio. Tunaomba mtueleweshe mambo kidogo. Hiyo ni mvua ilinyesha Dumila? Ni maji kutoka milmani? Ni bwawa limebomoka? Je, wale ndg zetu waliokuwaga wanakaa pale darajani wakiuza mahindi na miwa na matunda wamesalilika au?
Mleta hoja tusaidie, wengine tuna maslahi yetu pale.
 
Radio one wanasema ni barabara ya dodoma - moro. Sijui tushike lipi.

'hata mtoa mada pia ndani amesema hivyo nashangaa kichwa cha habari kasema dar sasa sjui alikuwa anawaza mpaka kupelekea kuandika sehem mbili tofauti kwa wakati mmoja...!'
 
Radio one wanasema ni barabara ya dodoma - moro. Sijui tushike lipi.
Kwani aliyeripoti mwanzo amesamaje, umesoma kweli au umekurupuka?
Inabidi wenye mabasi wawe wabunifu wapokezane abiria. Basi likitoka Dom lishushe hapo Dumira, wasafiri wavuke kwa miguu, kisha wapolelewe na basi kuanzia hapo Dumira kwenda Moro na Dar. Ila kutakuwa na usumbufu, hasa ukiwa na mzigo mkubwa!! Poleni sana mnaotarajia kusafiri kutumia njia hiyo. Magufuli aongeze kazi daraja lijengwe haraka.
 
Serikali yaifunga barabara ya Dodoma-Morogoro baada ya mafuriko makubwa kusomba daraja eneo la Dumila.

source: itv
 
Kwani aliyeripoti mwanzo amesamaje, umesoma kweli au umekurupuka?
Inabidi wenye mabasi wawe wabunifu wapokezane abiria. Basi likitoka Dom lishushe hapo Dumira, wasafiri wavuke kwa miguu, kisha wapolelewe na basi kuanzia hapo Dumira kwenda Moro na Dar. Ila kutakuwa na usumbufu, hasa ukiwa na mzigo mkubwa!! Poleni sana mnaotarajia kusafiri kutumia njia hiyo. Magufuli aongeze kazi daraja lijengwe haraka.

Sikukurupuka, heading niliyocomment mwanzo ilisema barabara ya moro to dar. Ni vizuri mods wanaziunganisha threads kuindoa mkanganyiko.
 
kunajamaa yupo safarini kwenda dodoma amasema hata kwa kesho Barbara haitapitika halo ni mbaya
 
SERIKALI
YAIFUNGA BARABARA YA
DODOMA- MOROGORO BAADA YA
MAFURIKO MAKUBWA KUSOMBA
DARAJA ENEO LA DUMILA.
source itv
 
Mhhh
Hapo hata sielew inakuaje kwa wale wenzetu wanaotaka dom kuja moro au dsm.
 
Bila shaka barabara mbadala ni ile yakupitia Kilosa kisha iringa road 2 moro, polen sna wasafiri binafsi imeniathiri kwa namna flani.

Na kwakeli tuombe Mungu mana sidhani kama kuna ufumbuzi wa mapema kwa hii serikali labda kama kungekuwa na bunge kwa hivi karibuni ili wenye nchi waweze kupita!
 
Back
Top Bottom