Kumetokea mafuriko makubwa huko Dumila na kusababisha kutopitika kwa barabara ya Morogoro-Dodoma. Mpaka sasa watu ni wengi na magari pia. Mkuu wa mkoa anaelekea eneo la tukio.
SOURCE: RADIO ONE
===== Updates ======
View attachment 133730
SOURCE: RADIO ONE
===== Updates ======
Serikali imefunga barabara ya Moro-Dom kwa muda usiojulikana kufuatia kubomoka daraja la Dumila, yashauri wasafiri kutafuta njia nyingine.
Source: Mwananchi breaking news
View attachment 133730