maduu wa Arusha wako vizuri kwa kizungu!

Maduu wa Dar es salaam nawakubali ila linapokuja suala la ung'eng'e watoto wa Kiarusha wako vizuri!katika kila maduu kumi wa kiarusha nane kimombo kimelala wakati Dar katika maduu kumi wawili ndo wanatema yai!sijajua kwakuwa Arusha ipo karibu na Kenya au kwakuwa Arusha kuna baridi!manake baridi na kizungu vinaendana

Muuza Sura mbona ulipotea sana jukwaani??? Ulifichwa na Kabakabana nini ndiyo ukayajua haya yote????
 
Last edited by a moderator:
Umenichekesha sana subiri kiama chako toka kwa wadau uliowakandia lol

niko Dar wakibisha nitawaambia tukutane niwapeleke mitaa ambayo mademu wa dar wengi sura chachu, mkuu wewe arusha unaifahamu njoo dar uzunguke utaona sura na shape za madem wa dar hovyo..arusha kuna sura za kimbulu, kirangi,kichaga,kimeru,kiarusha wewe acha kabisa...demu ameshika bomba anatema mbaya kabisa, mwangalie akiwa anatembea hakuna swaga kabisa yaani husisimki mwanaume ukimuona akitembea..
 
Nimewashindwa nyie viumbe. Kwa hiyo wadadaz wa Arusha wakienda Dar mtawatofautishaje? Je walioko hapa na wametoka Dar? Muogopeni Mungu.
 
26% ya Arusha hawajui kusoma wala kuandika -ITV

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ila tendo la kikubwa linanoga zaidi kwa kiinglish kuliko kiswahili, lol! Ung'eng'e upo juu!

ni kweli...sasa umpate bibie kutoka kimanzichana uko nae 6x6 alafu pale kanogewa aanze kuongea kiswahili chake...hee ndo utakoma :biggrin1:
 
Mimi sio mzuri sana kwenye mambo ya biashara lakini nasikiaga inabidi usome wateja wako wanataka nini....
 
Mbona hawa LAIYONI wa hapa JF, kina Erickb52, Arushaone, Preta, Lizzy, marejesho, kitalolo, Mungi, sijawasikia hata siku moja wakivunja mayai, kazi yao ni kupachika vijineno vya kudhungu visivyoleta maana yoyote, je hawa nao ni wa Dar?

Sasa uvunje yai kwa akina nani humu? Arusha tunazungumza zaidi ya Lugha tano tofauti na lugha ya mama na haka ka kiswahili. tunazungumza Ung'eng'e, Kihispaniola, Kiitaliano, Kijerumani, Kiarabu (pia tunajifunza kichina, kihindi, kijapani na kireno) Upo?
 
kitu cha oh baby!there there!ahahahahhahahhahha mke mwenza wa sirini mpana wewe !kha!ahahahhahahhahahhahah
harder bby, dont stop bby! push it, in there, ooooohhhhh i like the way u pump it! do it, mmhhh aahhh! nakwambia inanoga balaa! sio 'sukuma, hebu in.gi.za, kandamiza! haihuuuuu bibi wewe!!
 
ni kweli...sasa umpate bibie kutoka kimanzichana uko nae 6x6 alafu pale kanogewa aanze kuongea kiswahili chake...hee ndo utakoma :biggrin1:
umeona eee mtotowamjini, haiswiii kabisaaaaa! mambo yote lugha za wenyewe!! enzi zangu nilimbabatiza mspaniola wakati nasoma chuo fulani! basi wakati wa mechi ye ananipa za kipasnola mi namiks na lugha ya malkia, utamu unakuja wapi, lugha zote mbili zinapanda, ila mizuka ilivyomkolea nikaona kispaniola kiko juu halafu kinanoga nacho mbayaaaaaa! lugha za weneywe mwanangu acha kabisaaaaa unaweza ukajihisi ndio kwanza unabikiriwa, kumbe lugha tu!
 
Last edited by a moderator:
Sasa uvunje yai kwa akina nani humu? Arusha tunazungumza zaidi ya Lugha tano tofauti na lugha ya mama na haka ka kiswahili. tunazungumza Ung'eng'e, Kihispaniola, Kiitaliano, Kijerumani, Kiarabu (pia tunajifunza kichina, kihindi, kijapani na kireno) Upo?
wallahi mpo juu mbaya! ndio machangu wenu ni wa viwango, lol!
 
Back
Top Bottom