maduu wa Arusha wako vizuri kwa kizungu!

Muuza Sura

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
1,985
1,345
Maduu wa Dar es salaam nawakubali ila linapokuja suala la ung'eng'e watoto wa Kiarusha wako vizuri!katika kila maduu kumi wa kiarusha nane kimombo kimelala wakati Dar katika maduu kumi wawili ndo wanatema yai!sijajua kwakuwa Arusha ipo karibu na Kenya au kwakuwa Arusha kuna baridi!manake baridi na kizungu vinaendana
 
Maduu wa Dar es salaam nawakubali ila linapokuja suala la ung'eng'e watoto wa Kiarusha wako vizuri!katika kila maduu kumi wa kiarusha nane kimombo kimelala wakati Dar katika maduu kumi wawili ndo wanatema yai!sijajua kwakuwa Arusha ipo karibu na Kenya au kwakuwa Arusha kuna baridi!manake baridi na kizungu vinaendana

Acha kuwabagua bhana wadadaz wote ni baab kubwa. Kiingereza sio usomi, ni lugha tu kama lugha yenu ya kinyumbani ilivyo.
Halafu hapo kwenye red unamaanisha wadada wa kabila la Waarusha au wakaazi wa Arusha?
 
Acha kuwabagua bhana wadadaz wote ni baab kubwa. Kiingereza sio usomi, ni lugha tu kama lugha yenu ya kinyumbani ilivyo.
Halafu hapo kwenye red unamaanisha wadada wa kabila la Waarusha au wakaazi wa Arusha?

huyo alimaanisha wadada wote wa R chuga bila kukosea.
 
lakini mademu wa dar wengi sura zao zimekoma yaani utafikilia anakunya tofauti na wa arusha watoto walaini mpaka raha..
 
Hivi kizungu ni big deal ?
Sina maana ya kukibeza, kukinyanyapaa or related matter.
In my clan , we have our grand'ma ambae alianza kazi ya ubeki3 kwa mzungu akiwa kigori , akaja kuacha hiyo job akiwa mzee.
Bibi yetu huyu anatema nge'nge la Oxford kama si Edinburg unvsty.
Bt bibi even her name ! Kuandika ni mziki !
Na ukitaka akususe um'force kuandika ! Bifu lake !
So far nauliza kutema ngeli is't a big deal ?
 
wadada wa dar ni full mikorogo huku
yaani story zao ni jinsi ya kujichubua tu huku mjini cheki huyuJamani tafadhali Usinifate Inbox Ukaniuliza Mkorogo Nautengeneza Vipi?? Ushaskia Wapi KFC Au McDonald Anatoa Siri Ya Recipe Yake ??!! We Ukitaka Nunua, Na Kama Unaona Bei Uliza Wale MaKONKOD WAnaotumia Mkorogo Watakwambia Mkorogo Bei,(Na Wengine Huwa Nakutana Nao LangleyPark (Kariakoo Ya Marekani) Every 2weeks Mtu Anatumia $150 Mpaka $200 Every 2 to 3Weeks) Bongo Yenyewe Tuuu Ukitaka Mkorogo Wa Ki...halat Unaohusu Ni Mpaka Sh.300,000.00 Sasa Sembuse Visenti Change Nnavocharge Mie? Uzuri Gharama Bibi Unataka Kupendeza Tumia Pesa Toa Pesa Thts Y Nawapenda Wateja Zangu Wakipopo Hawalalamiki, Huwa Nnawabamiza Mpaka $150 Mtu Anakuja Ananunua Makopo 5 au sita Na Yeye Ananunua Hapo Anaenda Kuwabamiza Wenzie Anatia $50 Yake Juu... Maisha Ndo Hivo Kama Huwezi Kununua Hiyo wewe Usin'jazie Nziii Riziki Yangu Inaweza Usiisupport Lakini Kuna Wengine Watasupport. PS:TAFADHALI USINILAZIMISHE KUKWAMBIA NTAKWAMBIA VYA UONGO TIA AMIRA BAKING POWDER UKAJA UKAUMUKA USO KAA KITUMBUA CHA MAMA BASHEE, NATENGENEZA KITU YENYE UHAKIKA AM SURE KUNA WATEJA ZANGU WENGINE MSHAWAONA WAKO WAZUNGULISH
 
Maduu wa Dar es salaam nawakubali ila linapokuja suala la ung'eng'e watoto wa Kiarusha wako vizuri!katika kila maduu kumi wa kiarusha nane kimombo kimelala wakati Dar katika maduu kumi wawili ndo wanatema yai!sijajua kwakuwa Arusha ipo karibu na Kenya au kwakuwa Arusha kuna baridi!manake baridi na kizungu vinaendana

Maduu wa Dar waache kucheza mdundiko kwanza
 
toba ww huyu*2 ama wameiba paswd, bac 2 tpc:its true

siyo mwenyeji sana dar lakini kila nifikapo dar nikifanya utafiti duuuh vitu vimekomaa akitembea utafikiri gari limekata center bolt..afadhali afhali ukiwa mjini post posta angalau sura chachu ni Siyo nyingi sana..
 
Hivi kizungu ni big deal ?
Sina maana ya kukibeza, kukinyanyapaa or related matter.
In my clan , we have our grand'ma ambae alianza kazi ya ubeki3 kwa mzungu akiwa kigori , akaja kuacha hiyo job akiwa mzee.
Bibi yetu huyu anatema nge'nge la Oxford kama si Edinburg unvsty.
Bt bibi even her name ! Kuandika ni mziki !
Na ukitaka akususe um'force kuandika ! Bifu lake !
So far nauliza kutema ngeli is't a big deal ?

Kutema ngeli issue sana, communication ndo master of all, we huoni unajiita 'judgement' si ungejiita 'uamuzi' kwanza kiswahili kiko weird kweli na hakina misamiati mingi kihivyoo. . .grandma wako ni wa ukweli. . .hata kama hajui kuandika yani the feeling anatema ngenge ni mtaji tosha.
 
Ila tendo la kikubwa linanoga zaidi kwa kiinglish kuliko kiswahili, lol! Ung'eng'e upo juu!
 
Umeshindwa kutoa vielelezo vichache!

Amani iwe kwako!


Maduu wa Dar es salaam nawakubali ila linapokuja suala la ung'eng'e watoto wa Kiarusha wako vizuri!katika kila maduu kumi wa kiarusha nane kimombo kimelala wakati Dar katika maduu kumi wawili ndo wanatema yai!sijajua kwakuwa Arusha ipo karibu na Kenya au kwakuwa Arusha kuna baridi!manake baridi na kizungu vinaendana
 
Kutema ngeli issue sana, communication ndo master of all, we huoni unajiita 'judgement' si ungejiita 'uamuzi' kwanza kiswahili kiko weird kweli na hakina misamiati mingi kihivyoo. . .grandma wako ni wa ukweli. . .hata kama hajui kuandika yani the feeling anatema ngenge ni mtaji tosha.

Kuna ukweli flani nauona hapa kwa Don mangi !
Alaaa kumbee! Ndiyo maana tunazo mtu such as ;
> Invisible
insteadof
Kisichoonekana.
> Sweetlady
insteadof
Janajiketamu
> Cute
instdof
Mrembo
> The secretary
muhtasi
with so forth
 
Ila tendo la kikubwa linanoga zaidi kwa kiinglish kuliko kiswahili, lol! Ung'eng'e upo juu!
kitu cha oh baby!there there!ahahahahhahahhahha mke mwenza wa sirini mpana wewe !kha!ahahahhahahhahahhahah
 
Kuna ukweli flani nauona hapa kwa Don mangi !
Alaaa kumbee! Ndiyo maana tunazo mtu such as ;
> Invisible
insteadof
Kisichoonekana.
> Sweetlady
insteadof
Janajiketamu
> Cute
instdof
Mrembo
> The secretary
muhtasi
with so forth

Sasa je? Kiingereza kiko 'kingono' i mean 'sexy'. . .
 
Back
Top Bottom