Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,345
Maduu wa Dar es salaam nawakubali ila linapokuja suala la ung'eng'e watoto wa Kiarusha wako vizuri!katika kila maduu kumi wa kiarusha nane kimombo kimelala wakati Dar katika maduu kumi wawili ndo wanatema yai!sijajua kwakuwa Arusha ipo karibu na Kenya au kwakuwa Arusha kuna baridi!manake baridi na kizungu vinaendana