Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Naibu Waziri wa Saana, Utamaduni na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amedai sababu moja wapo ya kujenga Uwanja wa Michezo unaochukua watu 30,000 mkoani Arusha ni kuwa kwa wastani katika mechi watu hawataujaza uwanja huo ukizingatia kuwa Uwanja wa ‘Kwa Mkapa’ unaochukua watu 60,000 ukiwa katika mkoa wa Dar kwa wastani wa kujaza ni watu 7,000 kwa mechi
Amesema hayo wakati akijibu swali la mdau huko X (zamani Twitter) aliyehoji sababu ya kujenga uwanja ambao yeye anadhani ni idadi ndogo ya watu
Swali hapa linakuja, kwanini hatujaangalia miaka mingine mingi ijayo ambayo Jiji linakuwa na pia tukiwa na michuano ya Kimataifa itakuwa inafanyika Dar es Salaam tu? Katika kukuza nchi nadhani ingekuwa vema michezo hiyo kuchezwa katika mikoa mingine
Amesema hayo wakati akijibu swali la mdau huko X (zamani Twitter) aliyehoji sababu ya kujenga uwanja ambao yeye anadhani ni idadi ndogo ya watu
Swali hapa linakuja, kwanini hatujaangalia miaka mingine mingi ijayo ambayo Jiji linakuwa na pia tukiwa na michuano ya Kimataifa itakuwa inafanyika Dar es Salaam tu? Katika kukuza nchi nadhani ingekuwa vema michezo hiyo kuchezwa katika mikoa mingine