OffOnline
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 564
- 408
Pamoja na kwamba leo ni sikukuu, Benki ya NMB ambayo ni Mshindi wa Tuzo nyingi zikiwemo za ufanisi wa kazi na huduma bora, kwa mara nyingine tena imeonesha kuwajali Wateja wake kwa kutangaza kufanya kazi leo kwa kufungua matawi yake 19 katika maeneo mbalimbali Nchini.
Taarifa ya NMB imesema Matawi ambayo yapo wazi leo kuanzia saa nne asubuhi hadi saa nane mchana ni Kariakoo, Tegeta, Tandika, Mbezi Louis, Mt. Uluguru, Ifakara, Arusha Market, Karatu, Mbuyuni, Pamba Road, Mazengo, Singida, Kahama na Mwanjelwa.
Matawi ambayo yatakua wazi leo kuanzia saa nne asuhuhi mpaka saa kumi jioni ni Mlimani City Dar es salaam na Rock City Mwanza lakini Tawi la Holili Kilimanjaro limefunguliwa toka saa mbili asuhuhi hadi saa 12 jioni huku Tawi la Kabanga likifunguliwa saa 2 asuhuhi hadi saa moja usiku.
Tawi pekee la NMB ambalo litakua wazi kwa saa 24 ni Mtukula ambapo ukiachia matawi hayo, huduma za Benki zitaendelea kupatikana kupitia NMB Wakala, POS, Lipa Mkononi (QR), ATM, NMB Direct na NMB Mkononi.
Taarifa ya NMB imesema Matawi ambayo yapo wazi leo kuanzia saa nne asubuhi hadi saa nane mchana ni Kariakoo, Tegeta, Tandika, Mbezi Louis, Mt. Uluguru, Ifakara, Arusha Market, Karatu, Mbuyuni, Pamba Road, Mazengo, Singida, Kahama na Mwanjelwa.
Matawi ambayo yatakua wazi leo kuanzia saa nne asuhuhi mpaka saa kumi jioni ni Mlimani City Dar es salaam na Rock City Mwanza lakini Tawi la Holili Kilimanjaro limefunguliwa toka saa mbili asuhuhi hadi saa 12 jioni huku Tawi la Kabanga likifunguliwa saa 2 asuhuhi hadi saa moja usiku.
Tawi pekee la NMB ambalo litakua wazi kwa saa 24 ni Mtukula ambapo ukiachia matawi hayo, huduma za Benki zitaendelea kupatikana kupitia NMB Wakala, POS, Lipa Mkononi (QR), ATM, NMB Direct na NMB Mkononi.