Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Mimi nawashauri wana JF hususan wale wenye Jazba wa Chadema. Naomba mjue kuwa nchi yenu inafuata utawala wa sheria. Na kwa mantiki hiyo SUALA LOLOTE LIKIWA MAHAKAMANI HALIRUHUSIWI KULIZUNGUMZIA MPAKA MAHAKAMA ITAKAPO TOA HUKUMU YAKE.
Hivyo kuweni na subra na kuwapa mahakama nafasi kulisikiliza na kutoa uamuzi ulio sahihi pasi na kupendelea upande wowote
Hivyo kuweni na subra na kuwapa mahakama nafasi kulisikiliza na kutoa uamuzi ulio sahihi pasi na kupendelea upande wowote