Madiwani waliotimuliwa na CHADEMA watinga mahakamani

Naibu meya wa Arusha Comrade Mallah, na Diwani Bayo, hawa ndio wanamapinduzi wa Arusha wapenda amani.<br />
Nimejitolea nitawatafutia mawakili watatu hata kutoka nje ya nchi mpaka wapate haki yao za kikatiba, ingawa najua kabisa hiyo kesi inaweza kuchuwa miaka minne mpaka mitano
<br />
<br />
Utakuwa unaota ndoto za mchana wewe
 
Ritz eh' hebu ni kuulize kitu na ninaomba unijibu tafadhari' hivi hawa jamaa baada ya kufukuzwa Chadema inashindikana vyp kutafuta chama kingine ili wangombee baada ya uchaguzi kurudiwa?
NDOFU,
CDM ni chama cha wananchi unakubaliana na mimi? Kama ndio hivyo kwa nini Dr Slaa na Mbowe wawafukuze kina Mallah na wenzake wakati Mbowe na Dr Slaa CDM wameikuta? Wote walikuwa Magamba
 
NDOFU,
CDM ni chama cha wananchi unakubaliana na mimi? Kama ndio hivyo kwa nini Dr Slaa na Mbowe wawafukuze kina Mallah na wenzake wakati Mbowe na Dr Slaa CDM wameikuta? Wote walikuwa Magamba
Maswali ya kijinga hujibiwa kijinga jinga...kwani kabla malla,Bayo na wenzao hawaja hamia CHADEMA walikuwa chama gani...je kwa kuwa wote wamehamia CHADEMA niimanisha wote wameikuta chadema inamaana hakuna mwenye sauti kwenye chama au unataka tuwe kama magamba hakuna mwenye sauti nape anaweza kujiamria, waziri kuu ni mdogo kwa nape, chiligati.......
 
  • Thanks
Reactions: LAT
huyu Estomih Anakiherehere sana! Anawafanya wenzake kama mpira wa kona! Yule Rasta Bayo ndio keshapumbazika!
 
Wana JF,

Inavyo elekea hiyo kesi itatupwa tuu

Maana hiyo kesi yao ilitakiwa kupelekwa Mahakama kuu ili chadema nao wawepo ili mahakama iangalie katika katiba ya CDM kweli haki ya kuwa nyanag'anya uanachama ni sawa. Navyokumbuka ni kuwa walikata rufaa ndani ya CDM na ghafla wakenda mahakama ya mkoa sasa hapo wana take kusaidiwa wapi?
 
waliokuwa madiwani kupitia chadema wilaya Arusha mjini na chadema watatinga mahakamani ni kwenye sakata la wasaliti hao kutaka kurudishiwa uanachama wao na kuendelea udiwani wao, madiwani hao ni malla, Bayo, Mpanda, Rehema...tutaendelea kuwajuza
crash dem wise brother, big-up kwa info zote tumepata uhalisia wa yaliyojiri huko, hawa mapimbi wanaofikiri kwa matundu ya masaburi we achana nao eti akatafute wakili hata nje ya nchi kwani sikuzote hakujua hiyo kesi ipo? leo ndo ajitutumue hapa na kauli zake za kinafiki, kaka ujue ukirusha jiwe gizani alafu ukasikia mgugumio ujue limempata, ndio hawa wajinga wanaopiga kelele hapa na bado vita mbele fanyeni mnaloweza sio kukaa nyuma ya computer na kujifanya kusema sana nenda uwanja wa mapambano tukuond mwanaume kweli. viva CDM.
 
Hivi, hata kama wakishinda kesi, watakuwa na raha gani kufanya kazi zao wakiwa Chadema? Hawa kuna kitu wanatafuta na nadhani kuna kundi la magamba nyuma yake.
 
katika mazunguzo lema kauzwa swali kuwa kwanini chadema kina itwa ni chama cha wahuni..jibu lake chadema ni chama cha wanyonye waliopoteza matumaini hivyo vijana kwa wazee wasio na kazi au wale wa hali ya chini ni chadema ndiyo hao wanao itwa wahuni akatoa mfano libya kuwa wakati wanaanza harakati waliitwa panya? wavuta unga lakini leo gadafi anaishi shmoni akatoa mfano kuwa yeye siyo rahisi kumkuta anaongea na benson na matajiri wengine ila mara nyingi utakuta anongea na wtu chini..
kinaitwa chama cha kihuni na nani?
 
Hao Madiwani waliojiuzulu .... wawe makindi na huo mji wa Arusha .... wakiendelea kuwasumbua wananchi nao wanaweza kusunbuliwa na kutiwa aibu ... na MUCH MORE!!
 
Kesi ni nn? Wanadai kurudishiwa uanachama au udiwani au yote mawili?
wanataka uanachama kwani kisheria chama hakina uwezo wa kuwavua udiwani bali ukifutiwa unachama kama mzamini wako basi hata udiwani utakuwa umepoteza...
 
Hivi, hata kama wakishinda kesi, watakuwa na raha gani kufanya kazi zao wakiwa Chadema? Hawa kuna kitu wanatafuta na nadhani kuna kundi la magamba nyuma yake.
ni kweli kabisa kuwa magamba wako nyuma ya hili..
 
Nimeangalia hizo picha apo mahakamani wengi ni wahuni wa maeneo ya Sakina na Standi ya vifodi ni wahuni tu ndio wanaompiga Naibu Meya wa Arusha, Comrade Mallah mpenda Amani
<br />
<br />
hao ndiyo wapiga kura
 
NDOFU,<br />
CDM ni chama cha wananchi unakubaliana na mimi? Kama ndio hivyo kwa nini Dr Slaa na Mbowe wawafukuze kina Mallah na wenzake wakati Mbowe na Dr Slaa CDM wameikuta? Wote walikuwa Magamba
<br />
<br />

Tumia ubongo kufikiri na sio makalio! Hao wapuuzi wenzio wamefukuzwa na chama na sio Slaa wala Mbowe. Hawa hawana jeuri ya kumfukuza yeyote uanachama. Sheria, kanuni, taratibu na katiba ya chama zikikiukwa, chama kinatumia taratibu, kanuni, sheria na katiba zinakutupa nje! Na sio mtu au mwanachama yeyote anayeweza kumfukuza mwenzie hata kama yeye ana cheo gani?
 
Hicho ni sawa na mtu anaekata roho japo anatapatapa sio sababu kuwa ataahairisha kufa la bali kifo kitakua palepale
 
Wana JF,

Inavyo elekea hiyo kesi itatupwa tuu

Maana hiyo kesi yao ilitakiwa kupelekwa Mahakama kuu ili chadema nao wawepo ili mahakama iangalie katika katiba ya CDM kweli haki ya kuwa nyanag'anya uanachama ni sawa. Navyokumbuka ni kuwa walikata rufaa ndani ya CDM na ghafla wakenda mahakama ya mkoa sasa hapo wana take kusaidiwa wapi?

Usijidanganye kabisaaaaa. Kwani wana haki kote kote kusikilizwa. Kwani hivyo ni vyombo viwili tofauti. Na sabau kuu ni kuona Labda ile CC ya Chadema haitawatendea haki ndio wamefungua kesi mahakamani.

Kama ingekuwa wamefungua shauri lao mahakama ya mwanzo na tena kufungua shauri hilo hilo mahakama ya wilaya hapo ndio pangeleta utata na mahakama moja ingetakiwa ilitupilie mbali shauri hilo ili kutoa nafasi kwa mahakama nyingine kusikiliza.
 
Back
Top Bottom