Madenge alivyoitikisa Tanzania

Madenge alivyoitikisa Tanzania

Nilipenda sana story hizi ,KWA MUNGU MBALI & ZUNGU LA UNGA,daaah kiukweli tulienjoy sana zamani,hakika huu ukisasa umekuja kuvuruga sana mambo mazuri ya zamani
 
Tatizo la Alie muua madenge Ni baba ubaya tukimpata baba ubaya ataleta sababu za kutuulia baharia wetu madenge
Baba Ubaya na Madenge wapi na wapi? Baba Ubaya alikuwa Mzee wa visanga na ukorofi wa kupigana mitaani, Madenge alikuwa just comedian na mtundu wa kijanja, so too different scenarios!

So Baba Ubaya hakumuua Madenge.

Kilichoua Yale magazeti ni utandawazi Tu! Kila Zama na kitabu chake!
 
download.jpg


MARCO TIBASIMA
 
Ahahaha..noma sana
Jamaa alikuja darasani mida ya saa 2 asubuhi na mizuka ya hatari " Jamani madenge,pimbi,ndumilakuwili wamekuja tabora Leo watakuwa uwanja wa mwinyi" Darasa zima lilitimka kwenda uwanjani watu wakawa wanashangaa hawa watoto vipi..!?
 
Tatizo la Alie muua madenge Ni baba ubaya tukimpata baba ubaya ataleta sababu za kutuulia baharia wetu madenge
Mkuu baba ubaya wala hajamuua Madenge.
Maudhui ya Baba Ubaya yalikuwa ya kuonyesha 'umwamba' wakati madenge alikuwa ni kijana wa kutumia 'akili' zake za kuzaliwa.
Baba ubaya kila ikiisha ni kichapo heavy. (Kongole kwake Dr Levy).
 
Back
Top Bottom