Madenge alivyoitikisa Tanzania

Madenge alivyoitikisa Tanzania

Daaah, Bawji alikuwa msimuliziwa wa riwaya, umenikumbusga kifo cha Kaduma.

Hadithi ya kina mzee meko na seba nani alikuwa mchoraji. Kitambo aiseh
Shukurani ya kumbukumbu hizi imwendee Marco Tibasima anayeamsha vionjo vya kuzikumbuka enzi zetu tukilifurahia gazeti la Sani kwa simulizi maarufu kama Maji Mazito by S.M.M. Bawji, kulikuwa na Lodi Lofa, mpambano wa Zena na Betina unaosababishwa na Pimbi, mechi za soka kati ya timu mahasimu Born Town na Bush Stars, vituko vya Kipepe, Madenge...

Michoro marufu ya mwana sanaa Raza Mohamed, Philip Nduguru, John Kaduma, Ted Marealle, Chritian Gregory ' Chakubanga', Douglas Mpoto, Kibonge S. Kibenga 'Majoka', Raza Mohamed, Hayati 'King' Marco Mussa, Ibra Radi Washokera, Chris Katembo, Hayati John Mathias Kaduma 'Fogasta', Ali Masoud Kipanya, Paul Ndunguru, Marco Tibasima, James Gayo, Cloud Chatanda, Fortunatus Ndilla ' Mtaalam'
 
Hii ndio sababu pekee ilinifanya kuwa nanunua gazeti la sani na lile jarida.

Nawakumbuka sana
Pimbi
Mapacha (akina chogo)
Ndumila kuwili
Zena na Betina (chibonge na kimbau mbau)
Sokomoko
Kipepe
Lodi lofa (kiboko ya waswahili)
Wale wahuni na kifimbo cheza(kifimbo cheza na wachafuzi wa lugha)
Kulikuwa na Betina na nani?!..
 
Kipepe hakuwahi kufanikiwa mpaka hizi stori zinakufa
Pimbi naye mikosi na mademu
Madenge ndo chanzo cha mabaharia
Ilikua noma sana
Hii ndio sababu pekee ilinifanya kuwa nanunua gazeti la sani na lile jarida.

Nawakumbuka sana
Pimbi
Mapacha (akina chogo)
Ndumila kuwili
Zena na Betina (chibonge na kimbau mbau)
Sokomoko
Kipepe
Lodi lofa (kiboko ya waswahili)
Wale wahuni na kifimbo cheza(kifimbo cheza na wachafuzi wa lugha)
 
Umetisha kiongozi
Shukurani ya kumbukumbu hizi imwendee Marco Tibasima anayeamsha vionjo vya kuzikumbuka enzi zetu tukilifurahia gazeti la Sani kwa simulizi maarufu kama Maji Mazito by S.M.M. Bawji, kulikuwa na Lodi Lofa, mpambano wa Zena na Betina unaosababishwa na Pimbi, mechi za soka kati ya timu mahasimu Born Town na Bush Stars, vituko vya Kipepe, Madenge...

Michoro marufu ya mwana sanaa Raza Mohamed, Philip Nduguru, John Kaduma, Ted Marealle, Chritian Gregory ' Chakubanga', Douglas Mpoto, Kibonge S. Kibenga 'Majoka', Raza Mohamed, Hayati 'King' Marco Mussa, Ibra Radi Washokera, Chris Katembo, Hayati John Mathias Kaduma 'Fogasta', Ali Masoud Kipanya, Paul Ndunguru, Marco Tibasima, James Gayo, Cloud Chatanda, Fortunatus Ndilla ' Mtaalam'
 
Kuna jamaa hapa kita mpaka Leo tunamuita ufudu toka utoto na sasa Ana familia
Kiboko ya yote ilikua vitabu vya panga la shaba...mzee uchawi wake ulikua kuiba wake za watu,kula nyama za watu na kupaa na ungo....mtoto wake ufudu alikua anachezea mifupa ya binadamu ndio midoli
 
Ahsante kwa kuweka kumbukumbu sawa
Kama sijasahau aliyeanza kuchora katuni za Madenge, Lodi Lofa, Ndumilakuwili na Pimbi alikuwa ni Philip Ndunguru. Baada ya kufariki ndipo John Kaduma na Chris Katembo wakaendeleza katuni hizo.
 
Back
Top Bottom