JAY MTAALAM
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 1,595
- 1,392
Unakumbuka mambo ya "Usintake Nicheke" Sikununu, Mwinyi Mpeku..Hiyo Picha inaonesha Sokomoko ana alosto sana ya konyagi mwitu
Unakumbuka mambo ya "Usintake Nicheke" Sikununu, Mwinyi Mpeku..Hiyo Picha inaonesha Sokomoko ana alosto sana ya konyagi mwitu
Shukurani ya kumbukumbu hizi imwendee Marco Tibasima anayeamsha vionjo vya kuzikumbuka enzi zetu tukilifurahia gazeti la Sani kwa simulizi maarufu kama Maji Mazito by S.M.M. Bawji, kulikuwa na Lodi Lofa, mpambano wa Zena na Betina unaosababishwa na Pimbi, mechi za soka kati ya timu mahasimu Born Town na Bush Stars, vituko vya Kipepe, Madenge...
Michoro marufu ya mwana sanaa Raza Mohamed, Philip Nduguru, John Kaduma, Ted Marealle, Chritian Gregory ' Chakubanga', Douglas Mpoto, Kibonge S. Kibenga 'Majoka', Raza Mohamed, Hayati 'King' Marco Mussa, Ibra Radi Washokera, Chris Katembo, Hayati John Mathias Kaduma 'Fogasta', Ali Masoud Kipanya, Paul Ndunguru, Marco Tibasima, James Gayo, Cloud Chatanda, Fortunatus Ndilla ' Mtaalam'
Kulikuwa na Betina na nani?!..Hii ndio sababu pekee ilinifanya kuwa nanunua gazeti la sani na lile jarida.
Nawakumbuka sana
Pimbi
Mapacha (akina chogo)
Ndumila kuwili
Zena na Betina (chibonge na kimbau mbau)
Sokomoko
Kipepe
Lodi lofa (kiboko ya waswahili)
Wale wahuni na kifimbo cheza(kifimbo cheza na wachafuzi wa lugha)
Unakumbuka mambo ya "Usintake Nicheke" Sikununu, Mwinyi Mpeku..
Chris katembo alikuja baadae....baba lao alikua john kadumaChriss Katembo na nduguze
Chriss Katembo na nduguze
Mimi nilikuwa najua hawa masela wanaishi Dar!
Hiyo Picha inaonesha Sokomoko ana alosto sana ya konyagi mwitu
Hii ndio sababu pekee ilinifanya kuwa nanunua gazeti la sani na lile jarida.
Nawakumbuka sana
Pimbi
Mapacha (akina chogo)
Ndumila kuwili
Zena na Betina (chibonge na kimbau mbau)
Sokomoko
Kipepe
Lodi lofa (kiboko ya waswahili)
Wale wahuni na kifimbo cheza(kifimbo cheza na wachafuzi wa lugha)
Shukurani ya kumbukumbu hizi imwendee Marco Tibasima anayeamsha vionjo vya kuzikumbuka enzi zetu tukilifurahia gazeti la Sani kwa simulizi maarufu kama Maji Mazito by S.M.M. Bawji, kulikuwa na Lodi Lofa, mpambano wa Zena na Betina unaosababishwa na Pimbi, mechi za soka kati ya timu mahasimu Born Town na Bush Stars, vituko vya Kipepe, Madenge...
Michoro marufu ya mwana sanaa Raza Mohamed, Philip Nduguru, John Kaduma, Ted Marealle, Chritian Gregory ' Chakubanga', Douglas Mpoto, Kibonge S. Kibenga 'Majoka', Raza Mohamed, Hayati 'King' Marco Mussa, Ibra Radi Washokera, Chris Katembo, Hayati John Mathias Kaduma 'Fogasta', Ali Masoud Kipanya, Paul Ndunguru, Marco Tibasima, James Gayo, Cloud Chatanda, Fortunatus Ndilla ' Mtaalam'
Unakumbuka mambo ya "Usintake Nicheke" Sikununu, Mwinyi Mpeku..
wale mapacha waliitwa Sunche na Kapeto
Kulikuwa na Betina na nani?!..
Kiboko ya yote ilikua vitabu vya panga la shaba...mzee uchawi wake ulikua kuiba wake za watu,kula nyama za watu na kupaa na ungo....mtoto wake ufudu alikua anachezea mifupa ya binadamu ndio midoli
Kama sijasahau aliyeanza kuchora katuni za Madenge, Lodi Lofa, Ndumilakuwili na Pimbi alikuwa ni Philip Ndunguru. Baada ya kufariki ndipo John Kaduma na Chris Katembo wakaendeleza katuni hizo.
EwaaaaZena