Madenge alivyoitikisa Tanzania

Madenge alivyoitikisa Tanzania

Km ulikuwepo kwenye mawazo yangu mkuu hivi vikatuni vya madenge sokomoko pimbi lodilofa kipepe mzee meko prof ndumi vingetenezewa kamuvi flani hv km Tom and Jerry aysee wangepga sn pesa ata km teknolojia hyo haipo bac wangewapa ata wachina watengeneze wawe under licence
Habari zenu !!

Ebwana leo nimeona tumzungumzie kipenzi cha watanzania walio wengi aliye julikana kama MADENGE , aliye kuwa akiishi kupitia fikra za mtunzi (àmbaye kwa sina kumbu kumbu nzuri alikuwa nani)
.
Kiukweli huyu bwana alipendwa kuliko hata baadhi ya viongozi wengi wa ki serikali ukiachia mbali JK NYERERE

richa ya kupata ushindani kutoka kwa wapinzni wake kikazi hapa nawazungumzia akina ,KIPEPE,PIMBI ,LODI. LOFA , Lakini bado hili halikumfanya apotee zaidi ya kuongeza ubunifu kila uchwao kazi yake kuu ilikuwa ni kuhakikisha watanzania ni watu wenye furaha muda wote

Hapa nadhani haya majarida yanayotoa orodha ya mataifa yenye furaha yange fanya. Tafiti zile kipindi cha zama za huyu bwana basi. Isingelikuwa ajabu kwa. Tanzania kushika namba za juu

Wanafunzi wa wakati ule tulitamani siku ikuche ili tukasimuliane habari za mtu huyu kule mashuleni tofauti na ilivyo. Sasa watoto wako bize na season

Kabla ya hizi mambo za mtandao na kiki ,vijiweni habari kuu alikua huyu bwana
Najua wengi mta shangaa mbona namuelezea kama binadamu
Naam hii ni kwa sababu ya umaarufu na mizinguo yake ilifika kipindi Wa mikoan tuliamini Madenge anaishi dar es salaam, huko vijijini pia taarifa walizo kuwa wakizipata na kuziamini ni a kuwa madenge yupo mjini..
.
Uhusika wake ulivutia Sana watoto nadhani hii ingeendelea ingetengeneza kizazi cha watoto wenye utamaduni wa kujisomea (Kama ambavyo watu wanapigia kelele jambo hili)
Lakini kipindi kile bila ya kulazimishwa na mtu tulitafuta magazeti kila kona alipo yahifadhi mzee

Najua ingekuwa ni marekani basi hollywood wangefanya kitu ila kwakuwa ni Tz
REST IN PEACE MADENGE chilhood hero
 
Mapungo ni golden boy alienda mpk Real Madrid, wajinga ndio waliwao maana wengine tulijua ni kweli
ata mi nlijua kweli asee..kipindi kile bushstars wananapga tizi hatari...afu na yale maneno walikua wanarushiana wachezaji...mmoja best wa mapungo alikua anaitwa kifaulongo...dah gazeti la bongo hilo na tabasamu enzi hizo
 
Habari zenu !!

Ebwana leo nimeona tumzungumzie kipenzi cha watanzania walio wengi aliye julikana kama MADENGE , aliye kuwa akiishi kupitia fikra za mtunzi (àmbaye kwa sina kumbu kumbu nzuri alikuwa nani)
.
Kiukweli huyu bwana alipendwa kuliko hata baadhi ya viongozi wengi wa ki serikali ukiachia mbali JK NYERERE

richa ya kupata ushindani kutoka kwa wapinzni wake kikazi hapa nawazungumzia akina ,KIPEPE,PIMBI ,LODI. LOFA , Lakini bado hili halikumfanya apotee zaidi ya kuongeza ubunifu kila uchwao kazi yake kuu ilikuwa ni kuhakikisha watanzania ni watu wenye furaha muda wote

Hapa nadhani haya majarida yanayotoa orodha ya mataifa yenye furaha yange fanya. Tafiti zile kipindi cha zama za huyu bwana basi. Isingelikuwa ajabu kwa. Tanzania kushika namba za juu

Wanafunzi wa wakati ule tulitamani siku ikuche ili tukasimuliane habari za mtu huyu kule mashuleni tofauti na ilivyo. Sasa watoto wako bize na season

Kabla ya hizi mambo za mtandao na kiki ,vijiweni habari kuu alikua huyu bwana
Najua wengi mta shangaa mbona namuelezea kama binadamu
Naam hii ni kwa sababu ya umaarufu na mizinguo yake ilifika kipindi Wa mikoan tuliamini Madenge anaishi dar es salaam, huko vijijini pia taarifa walizo kuwa wakizipata na kuziamini ni a kuwa madenge yupo mjini..
.
Uhusika wake ulivutia Sana watoto nadhani hii ingeendelea ingetengeneza kizazi cha watoto wenye utamaduni wa kujisomea (Kama ambavyo watu wanapigia kelele jambo hili)
Lakini kipindi kile bila ya kulazimishwa na mtu tulitafuta magazeti kila kona alipo yahifadhi mzee

Najua ingekuwa ni marekani basi hollywood wangefanya kitu ila kwakuwa ni Tz
REST IN PEACE MADENGE chilhood hero
Tatizo la Alie muua madenge Ni baba ubaya tukimpata baba ubaya ataleta sababu za kutuulia baharia wetu madenge
 
Shukurani ya kumbukumbu hizi imwendee Marco Tibasima anayeamsha vionjo vya kuzikumbuka enzi zetu tukilifurahia gazeti la Sani kwa simulizi maarufu kama Maji Mazito by S.M.M. Bawji, kulikuwa na Lodi Lofa, mpambano wa Zena na Betina unaosababishwa na Pimbi, mechi za soka kati ya timu mahasimu Born Town na Bush Stars, vituko vya Kipepe, Madenge...

Michoro marufu ya mwana sanaa Raza Mohamed, Philip Nduguru, John Kaduma, Ted Marealle, Chritian Gregory ' Chakubanga', Douglas Mpoto, Kibonge S. Kibenga 'Majoka', Raza Mohamed, Hayati 'King' Marco Mussa, Ibra Radi Washokera, Chris Katembo, Hayati John Mathias Kaduma 'Fogasta', Ali Masoud Kipanya, Paul Ndunguru, Marco Tibasima, James Gayo, Cloud Chatanda, Fortunatus Ndilla ' Mtaalam'
Nimewahi kuftari nyumbani kwa mzee Bawji pale kwanjekaTanga back in times. Sijui nade yupo hai au alishatangulia??
 
Back
Top Bottom