Spider
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 1,641
- 556
huyo jamaa kaendeleza uhusika tu,kama uliwahi kusoma majarida ya sani,hayo ndiyo majina ya wale mapacha Sasa.Aaah wapi umewafananisha na wale wa Noah yongolo.
huyo jamaa kaendeleza uhusika tu,kama uliwahi kusoma majarida ya sani,hayo ndiyo majina ya wale mapacha Sasa.Aaah wapi umewafananisha na wale wa Noah yongolo.
Kitambo sana hiyo mkuu Jarida la Sani ilikuwa ni Burudan ToshaUnakumbuka mambo ya "Usintake Nicheke" Sikununu, Mwinyi Mpeku..
huyo jamaa kaendeleza uhusika tu..hayo ndiyo majina ya mapacha wa gazeti la sani mkuu..Aaah wapi umewafananisha na wale wa Noah yongolo.
Sunche na kapeto walikuwa wahindi wale mapacha wa Sani walikuwa kina chogo ndigo sijawahi kumuona mama yao.huyo jamaa kaendeleza uhusika tu,kama uliwahi kusoma majarida ya sani,hayo ndiyo majina ya wale mapacha Sasa.
Katika hilo Gazet la Tabasamu kulikuwa na hadithi ya PABLO ZUNGU asee ilikuwa burudan sana kipind hichoHapo nilikuwa sikosi jarida la TABASAMU SIMULIZI YA MR X...NA SALIM KWEKA...NA MECHI FLAN KATI WATOTO WA TOWN NA BUSH ...
Hahahaa sijaangalia vizuri mkuu,ila jins alivyoshika shavu inaonekana kama alosto flan hvWe huoni kwenye mfuko wa nyuma kuna chupa ya gongo?
Hii hadithi ukisoma ilikuwa ni Muvi ToshaAlikua anaitwa Obi na yule demu aliitwa Linda yule mzee aliitwa Ole na kisiwa chaja cha kintintale jambazi mkuu Zumo.
Pitia vzuri cmmt kuna MTU amjibu
Alikua anaitwa Obi na yule demu aliitwa Linda yule mzee aliitwa Ole na kisiwa chaja cha kintintale jambazi mkuu Zumo.
Mambo ya WIMBI LA KITiNTALE. Story ilikuwa inasisimua sana ile bila kumsahau mzee MAYUKUAlikua anaitwa Obi na yule demu aliitwa Linda yule mzee aliitwa Ole na kisiwa chaja cha kintintale jambazi mkuu Zumo.
Kwani Mbona diamond Pekee ndo anasikika wengine most of them chali it's all about timingHivi anguko la majarida haya chanzo ni nini hasa?
Kina jina la Ibrahimu Kaduma.RIP John Kaduma, mwl wng wa kuchora!
Nakumbuka siku moja ndumilakuwili alikamatwa kwa wizi kajitetea wapi, wananchi wanahasira na mapanga mashoka wameshika nikajua leo wanamuua balaa lake aliwageuka aliwapa mbata kila mtu alimpiga na silaha yake akakimbia
Madenge siku moja akaambiwa na mwalimu akalete mzazi kwa nin hataki kujibu maswali akaondoka anarudi nyumbani anawaza "huyu mdingi sasa nitamwambia nin anielewe lakini ngoja nifike" akafika akamwambia mzee unaitwa na mwalimu shule wakafika kwa mwalimu, mwalimu anamwambia baba madenge mwanao hataki kujibu maswali darasani baba ake akamuuliza madenge kwa nini hujibu, Madenge akamwambia baba ake "Mwalimu alikua ananiuliza kama baba wewe ni shoga mimi nitajibuje? Mwalimh alikula mbata za hatari.
Mzee kifimbo cheza wa kurekebisha lugha, amezoea anawavizia kwenye kona anawavuta na ile bakora yake anawatandika fimbo za kutosha siku hiyo wanaongea lugha zao wanataka kukimbia akadakwa mmoja kwenye uchochoro akamlaza amchape kumbe mmoja amejificha kwa juu ya ukuta alimteremshia mzee kifimbo tofali la kichwa akamwambia sema nalo hilo hahahhaa nilifurahi sana nikajua amekufa mara namuona toleo lingine
Faraji Katalambula maarufu zaidi kwa riwaya yake ya Simu ya Kifo yeye alikuwa na jarida lake la mfululizo wa picha picha kama movie vile likiitwa Film Tanzania. Hakuwa Sani. Na hilo jarida lake lilianza kitambo kabla hata ya hayo majarida ya Sani. Moja ya hadithi zake maarufu katika hilo jarida la Film Tanzania ilikuwa ni Lawalawa ambapo kwa kumbukumbu zangu muigizaji mkuu alikuwa ni marehemu mzee Kipara.Nimepitia toka ukurasa wa kwanza hakuna jibu la swali langu!!! Huyu bwana alikuwa mtunzi wa riwaya toka akiwa Tabora school!!!