Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,841
- 37,578
Kwani ninyi mlinunua?
gharama ya matengenezo je?
Kwani ninyi mlinunua?
siyo bure atakuwa kibamia fc,,,,,,,,
Dah mkuu sijui wengine wanaanzaje aisee! Ila dizaini mie wangu huwa ananitoa tuu bila kuomba,huwa anarudisha faida kimtindo.Ha ha ha
Mie mdada rijali.
Haya nimekuelewa.
Ila na nyie mmezidi kusimamia baiskeli kwenye papuchi zetu.
Hata mimi ni mkaka rijari tena sana tu. Kusimamia ninushamba kwa mko vitani!? Labda wanalipiza mikuki ya shingo waliopigwa. I wish nikuone one day.
Unakutana naye wapi kama si umalaya? Mwanamke usiyemfahamu from nowhere akuombe hela ya maintenance ya gari??? Jichunguze wewe mwenyewe!!! Lazima na wewe unajirahisisha na kujichekeshachekesha upewe mbunye!!!!
Madame B where is your location!? Kama nikuone vile ili nione mbinu zako za kukamua money alafu papuchi hutoi!!?... Dawa yako nnayo wewe!!
Hii ni sababu ya hali mbaya ya uchumi. hii imekuwa kwa jinsia zote. Watanzania wengi ni ombaomba, ni maskini.. Ndiyo sababu jamii yetu pia imekuwa na wanaume MARIOO wanaotumia miili yao kama zana ya mapenzi kuwalenga wanawake wenye pesa wawalee.
Na wakati mwingine baadhi wamejigeuza jinsia ya kike watumiwe na wanaume wenzao ili wahudumiwe.
Mie mdada rijali.
Haya nimekuelewa.
Ila na nyie mmezidi kusimamia baiskeli kwenye papuchi zetu.
Hata mimi ni mkaka rijari tena sana tu. Kusimamia ninushamba kwa mko vitani!? Labda wanalipiza mikuki ya shingo waliopigwa. I wish nikuone one day.
Mie tena.
Utaniona tu na roho yako itapoa.
Shem ila nyie mmezidi.
Mnatukamua sana vitandani.
Hata kama nimechoka utataka ujipigie mabao hata 6, ndo mana twadai hela mana mnatupa maumivu huku nyuchini.
Dah kumbe tupo wengi tunaopigwa mizinga! Nilidhani ni mimi tu! Dah mtoa uzi kula high 5, mi naumizwa kila cku na "virungu"!
Hahaha, Mie njoo Kinondoni utanikuta.
Dawa yangu huna wewe, utaishia kunipiga michemsho kisha utasepa mwenyewe.
Chezea madada wa mjini wewe.