Mademu wa siku hizi ombaomba mnooo!!!

Mademu wa siku hizi ombaomba mnooo!!!

Status
Not open for further replies.
Ndio bure bure ndo vyenyewe vya kulipia sio vitamu.
 
nilijua hiyo mizinga napigwa mimi tu kumbe tuko wengi. mi nimechoka sana na hiyo mizinga cha ajabu nikiwapa kaz wafanye awatak.
nikiwambia kuwapa mtaji wachague biashara wananijibu wanataka ya kwenda hongkong. dubai na bangkok thailand.

awatak kuanzia biashara ya kati. wanaboa sana



We hilo jina tu Money stunna kwann usipigwe mizinga???
 
Kwani mautamu hampati? Rizikeni na mpatach0 jamani🙂
 
kuna m2 anaitwa falakakoyola ana majibu yote msubirini aje humu
 
Madam,
Kwani ile huduma si mahitaji ya pande zote! Sasa iweje mmoja alipe wakati wote ni hitaji lenu.
Mbona huwa mnahitaji mara ooh dea kiuno kinauma,njoo unipe,,basi na nyie muwe mnalipia!!!
 
Hadi nafikia umri nilio nao cjawahi kumpiga dem mzinga

Dah mkuu sijui wengine wanaanzaje aisee! Ila dizaini mie wangu huwa ananitoa tuu bila kuomba,huwa anarudisha faida kimtindo.Ha ha ha
 
Hivi inakuwaje unakutana na demu ambaye sio mtu wako wala hakuwahi kuwa mtu wako ila mnafahamiana fresh tu... Lakini unakuta baada ya muda mrefu wa kutokuwasiliana siku ukijichenga tu ukampigia au ukamtumia sms badala ya jibu unalotarajia utasikia "nikopeshe laki na nusu nina shida nayo ntakurudishia!"... Au siku hiyo unaitwa "dear nina shida na elfu hamsini ya salon"... Sasa unabaki unashangaa mazoea hayo yameanzia wapi!!? Na kwanini mpaka ukimtafuta tu ndio anatangaza shida zake?? Mbona ukiwa kimya hakutafuti?? Girls u need to change... Shida zenu zisiwadhalilishe!! Mdau unasemaje kuhusu hili!!?



Unajuwa hii kitu ni kweli, hata mimi huwa najiuliza inakuwaje unakutana na demu then unasalimu tu, dada habari yako, utasikia "nasikia njaa", ?nina shida na ada ya mwanangu". Mtu umeuliza habari anakujibu tofauti kabisa na swali lako. najikuna kichwa sipati jibu. Dada zetu kunani hapa au lugha gongana? Yaani hapa hata kama mwanamme ana niya ya kukutongoza anakata kamba.
 
Hivi mapenzi yana uhusiano gani na pesa?


Hapa ndo nashindwa kuelewaga. Watu mnatiana na kupeana raha nyie wawili...sasa iweje mwanamke alipwe baada ya tendo la furaha wakati mme enjoy wote? Huu ni upuuzi, mtu kama mwanao ana shida....baba yake na baba zake wadogo wako wapi mpaka uniombe mimi hela, nina uhusiano gani na mwanao? Hapa ndo mjifunze usije zaa na mtu asiye na faida kwako then mwisho wa siku salam za kawaida mtaani mnageuza kuwa ombi la pesa au karo za watoto wenu, this is nonsense. Mjitafakari dada zetu.
 
Wengine ndo anakutongoza hapo! wanajua udhaifu wa mwanaume chap chap utatoa halafu utaomba PAPUCHI. kuna mijitu inahonga bana ohoooooo nyie mkikataa SINDANO wenzenu wanadungwa hata za tumbo, jitu linanunua PRADO kabsaa linahonga hahahahahahah DUNIA Hadaa ulimwengu shujaaa
 
nilijua hiyo mizinga napigwa mimi tu kumbe tuko wengi. mi nimechoka sana na hiyo mizinga cha ajabu nikiwapa kaz wafanye awatak.
nikiwambia kuwapa mtaji wachague biashara wananijibu wanataka ya kwenda hongkong. dubai na bangkok thailand.

awatak kuanzia biashara ya kati. wanaboa sana

dah huwa unagawa kazi na mitaji? Na mimi nihisaniwe bas loh.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom