nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 10,894
- 10,263
Uko sahihiNataka kukujulisha hapa hatuzungumzii kabila mtu...
Hilo kabila ulilotaja hapo kuna wajinga wengi kama makabila mengine tu
Enhe?
Uko sahihiNataka kukujulisha hapa hatuzungumzii kabila mtu...
Hilo kabila ulilotaja hapo kuna wajinga wengi kama makabila mengine tu
wacha utoto, usiniquote tafadhali.Uko sahihi
Enhe?
Wachaga ndio nini? Mbona huku mtaan kwetu mabar maid wachaga wanakaa uchi tu.Wale ni wachagga
Nmeelewa hoja yako mkuuu.........kitendo Cha Binti kuonekana kwenye macho ya wengi ndio chanzo Cha maovu kuanza kujitokezaTatizo linaanzia kwa baba kumuanika mtoto mitandaoni, hili ndio linasababisha mambo kuja kuharibika mbele ya safari, kuna wasumbufu wakishamjua mwanao wataanza kumtafuta kwa njia zote mpaka wampate, wakishampata matokeo yake ndio hayo kumvuruga akili matokeo yake anaanza kujipiga picha zisizofaa.
Wasanii wanatakiwa kuwaacha watoto wao low key, wasiwaanike hovyo mitandaoni, hii itasaidia kuwafanya wawe watulivu kiakili na kimaadili, lakiji kutaka kulazimsisha usanii wa baba kwa mtoto, watavuna wanachopanda.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Tunda alilelewajePia mkipata MUDA mzuri muwe mnaandika na mafanikio waliyoyapata hao watoto Kama TUNDA wa afande sele ambaye kapata kazi baada ya kumaliza Elimu ya chuo kikuu.
Tuone basi.Watu mnapenda kutupa kazi, mbona hazina maajabu 😒😒
Hata mke kumpostpost siyo poaNmeelewa hoja yako mkuuu.........kitendo Cha Binti kuonekana kwenye macho ya wengi ndio chanzo Cha maovu kuanza kujitokeza
Mungu kasema katika quraan watoto pia mi mtihaniKatika moja ya fitna kubwa ambayo mwenyez Mungu alimuumbia mwanadamu, bas moja wapo ni watoto. Haijalishi wa kike au wakiume.
Wale wako samart, m1 kamaliza chuo na kuolewa kwa ndoa juu.Mbona mtoto wa Master J hajawahi fanya huu ujinga.