Madaktari wanavyowafanya wake zenu

Madaktari wanavyowafanya wake zenu

Sio watu wenye dini katika nchi hii, hakuwezi kuwa na sheria za dini kwa nchi kuhusu hayo mambo.
Sawa Mkuu...tufuate sheria za nchi...kwa Dini ndo Nini?...Unamawazo mazuri Sana...
 
Wanaliwa sana hasa wanaotoa mimba wanakuwaga watamu halafu hawana hela!
Ukimtisha tu kwamba mimba yako kuitoa ni ngumu, ongeza pesa, au leta mzigo lazima atoe!
Akigoma sana unamtandika sindano ya ganzi unamtia kwanza ndo unakuja kumfrash mimba yake!
Wanaotoa mimba ni wazuri sana kutunza siri!
Wanalika sana! Kwanza huwa wamepaniki pili hutaka iwe siri! USIPOWALA HAKIKA WEWE JOGOO HAPANDI MTUNGI
Unaweza kuniambia hiyo sindano ya ganzi inaitwaje ? Na inachomwa wapi?

Wabongo mnajifanya wajuaji sana wakati unachosimulia hapa ni uongo mtupu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kuna sista alienda Hosp alikuwa na shida flani akaambiwa na Dr. ana kutu huko chini hivyo inatakiwa itolewe kabla ya tiba hivyo Dr. akachomeka mkuyenge.
Kuna mwingine hapa wilayani kuna kituo cha afya mganga wa zamu alikutwa anakula mgonjwa mwenye drip aliyekuwa amelazwa hapo.
 
Mimi Daktari,,,ni kweli anayosema mtoa mada ,huwa wanafanya hasa kwa wale wanaotaka kutoa mimba na sio walioharibikiwa na mimba maana aliyeharibikiwa sehemu haiwi safi.
Ur not serious too.

Mtu ameenda kusafishwa kizazi aombwe ngono na huo uchafu?! Usiwachafue madakitari wetu bana.
 
Acha nikae kimya tyuuh, kuna ma Dr wengine ni mafedhuli kutwa kuharibu watoto watu hasa wa kiume,

Kuna hospital x ipo wilaya x mkoa wa pwani, kuna Dr wa hapo kazi yake ni kuharibu watoto wa kiume wanaokuja hospital hapo kupata matibabu hasa wa secondary.

Haya mambo yapo kweli, sio ya kupuuzwa.
Mkuu upo jf na bado unaogopa hadi uandike herufi "x".
 
Naona ni ngumu sana, wale jamaa wanajiheshimu sana.
Siwatetei.
 
Hatutaki udini, nchi yetu haina dina.
Kama mnahusudu sana hizo system za kidini hamieni huko kwa mujahedeen


Dah we jamaa nimekutolea mfano kwa dada yako na mama yako afanyiwe hivyo it shows uko tayari. Kwa style hii madaktari watajiachia munoo.
 
Huenda hijui unachokielezea kwa ufasaha! Ni ngumu mno kwa daktari kumuingilia mwanamke anayehitaji kufanyiwa dnc au kusafishwa kizazi kwani hadi afikie kupewa huduma hiyo basi mfumo wake wote wa uzazi utakuwa una tatizo kubwa na huenda unatoa harufu mbaya kiasi kwamba daktari au yeyote hatokuwa na wazo la kumuingilia.

Poa mteja anaweza kuwa kwenye maumivu makali ya sehemu hizo kiasi kwamba hatoweza kuhimili kuongezewa maumivu mengine! Tuwaheshimu na kuhemimu tasnia ya udaktari na acha kuwavuruga na kuwachafua! Ukiona vipi mkeo na bintiyo usiwapeleke hospitali Baki nao nyumbani.
Ushaambiwa analaghai.tatizo halipo anasema lipo ili ajinufaishe.
 
Huenda hijui unachokielezea kwa ufasaha! Ni ngumu mno kwa daktari kumuingilia mwanamke anayehitaji kufanyiwa dnc au kusafishwa kizazi kwani hadi afikie kupewa huduma hiyo basi mfumo wake wote wa uzazi utakuwa una tatizo kubwa na huenda unatoa harufu mbaya kiasi kwamba daktari au yeyote hatokuwa na wazo la kumuingilia.

Poa mteja anaweza kuwa kwenye maumivu makali ya sehemu hizo kiasi kwamba hatoweza kuhimili kuongezewa maumivu mengine! Tuwaheshimu na kuhemimu tasnia ya udaktari na acha kuwavuruga na kuwachafua! Ukiona vipi mkeo na bintiyo usiwapeleke hospitali Baki nao nyumbani.
Ushaambiwa analaghai.tatizo halipo anasema lipo ili ajinufaishe.
 
Habari ndugu zangu udaktari ni kazi ngumu sana na inahitaji moyo kuifanya ninawapongeza waliofanikisha na wanaofanya mpaka sasa maana kuna muda inatia stress sana hivyo huwa nao kuna muda huchoka. Licha ya hayo katika madaktari kuna ambao wana jiheshimu na wanao yapeleka mambo wajuavyo bila heshima na kufuata ethics za udaktari.

Kuna matukio mengi sana ya madaktari kutembea na wake za watu ( hapa naongelea madaktari wa kiume na hasa upande wa uzazi) bila mume kujua na kuelewa kwa kweli ukiachana na swala la wadada kujipendekeza wao wenyewe ila hata hawa watu hutumia nafasi zao kuwarubuni.

Mfano kuna mmoja ya binti jirani yangu aliwahi patwa na tatizo la uzazi hivyo alilazimika kwenda kusafishwa kizazi baada ya maelezo mafupi kuhusu hali yake kilichotokea ni kwamba daktari alimwambia kaa kitandani kama ilivyotaratibu kilichofuata akaambiwa toa nguo akatoa zilizo sehemu ya siri akafanya hatua za mwanzo "akamwongopea yule dada kwamba haiwezikani kusafisha njia mpaka kulainishwe basi dada akakubali basi wakati anasubili mara bwana mkubwa anataka kuweka rungu dada akastuka akakataa " kwa kweli hii habari imenisikitisha sana.

Pili kuna wake za watu wanawekewa vikwazo mpaka waweze kushiriki tendo na wataalamu wetu licha ya hilo kuna wale wakipewa huduma kwa sababu wamewachungulia basi madaktari hutumia nafasi hizo kuwatafuta na kuwatafuna.

Lengo langu je kwa nini? Madktari wakike hawafanyi hizi kazi kwa kulinda heshima na kuepuka unyanyasaji wa kisaikolojia kwa mwanamke ? Hata kama ni wachache lakini kwa nini kusiwe na jitihada ili kupunguza hili janga.

Je, haya mambo yapo kwa kiasi gani? Kama unajua sema kidogo juu ya hili na sisi kama jamii hili swala ni sawa?

Je, kuna kuna sheria za kulinda haki ya mgonjwa kati ya daktari (haswa wakiume kwa wakike na kivipi wakati wanakua wawili tu), (daktari wa kike kwa wakiume tusemezane pia kama ipo) ikiwa imebainika kuna unyanyasaji?

Malalamiko yako mengi nimetoa mifano kidogo ili kuelewesha wapi nalenga ila hapa nataka tujadili kwa upana hili swala hivyo nakarbisha mawazo yenu kwa uliyosikia na kushuhudia ili kuona namna ya kulikabili hili tatizo.

Mungu awalinde madaktari wawe na moyo mwema wa kujituma bila tamaa bila kwenda nje ya kanuni zao.

Amina.
Ninavyojua mimi daktari wa kiume hatakiwi kumfanyia mwanamke procedure bila uwepo wa nurse mwanamke au hata kumfanyia vipimo ambayo vinahusisha sehemu za siri au zinazoonyesha maungo ya mwanamke ni lazima nurse awepo ....i stand to be corrected

Nilikua naatend kwa daktari mmoja wakati nipo mjamzito , kila wakati ikifika kwenye kupima mapigo ya moyo ya mtoto kama sijaenda na Mr, anamwita nurse kwanza halafu baada ya hapo ndio ananiambia panda kitandani pandisha gauni
 
Mkuuu ukitaka kuliwa utaliwa...lakini madoctor asilimia kuubwa hawana Muda Huu. Sasa mimba ya wiki mbili doctor anakuchungulia uchi wa Nini?.. kwani ukienda na mimba ndo doctor anakula?...kwani nikienda naharaisha au kungoa jino au maradhi Mengine?

Doctor Anaweza Tongoza akikutamani au akikupenda...Kama ambavyo watu wengine hufanya..

Alafu PID.... wanaangalia kwa ultrasound...kwa uzoefu Wangu

Doctor unamwambia symptoms anakuandikia uende maabara au ultrasound.

Doctor Ni mwanadamu na Kuna wengine wanajitongozesha wenyewe kwa madoctor.

Swala la doctor kula mgonjwa lipo but mazingira Mengine ndo hayaiingii akilini
Utakuwa ushaliwa nn ..Maana unaleta ujuaji mpaka unaenda nje ya mada
 
Hzo ni rare kesi Sana, Ila KWA nature ya hospital mtu kwenda kujifungua labour au kusafishwa ubakwe ngumu Sana maana kusafishwa ni procedures lazima udungwe mashindano, plus ma nurse kila corner ngumu jamani. Kwanza ni marufuku dr wakiume kuhudumia mwanamke ka kusafisha bila nurse wa kike na huo ndo muongozo
Haijalishi ni rare au nyingi we kubali Sio kuleta ujuaji kwa vitu ambavyo huvijui
 
Kwani madaktari ni malaika?
Wana weaknesses kama binadamu wengine.
Wanaweza kufanya lolote lile ili kuburudisha mioyo yao.
Sidhani kama ni rahisi hivyo,labda kama alienda kufanyiwa hiyo huduma ghetoni kwa dakitari.
 
Sasa kwa akili yako kuna mwanamke atakubali alitombwa na daktari in one way or another katika process ya kupewa huduma? Wa ku confess hili ni madaktari ambao wamo humu pia.
Jamaa hajiongezi ..Tena Hawa mademu wanaopinga kwa nguvu unaweza kuta washaliwa
 
Haya mambo yapo Sana hakuna kufichana wala kudanganyana,

Nimeshakutana na malalamiko mengi tu ya wanawake ambao wanasema madaktari wamewatongoza baada ya kupata huduma kwao.

Kuna mmoja anasema alikuwa na Anxiety disorder lakini daktari akawa anataka kumfanyia vipimo kwa kuingiza vidole kwenye uke wake, halafu Dr mwenyewe kibabu kabisa hutaamini hayo mambo Kama anafanya.

Madaktari wabakie kwenye ethics zao tu maana kama kulala na wake, girlfriend's na dada za watu wanafanya Sana.

Mpeleke mkeo hospital bila usimamizi wako at your own risk.
 
Back
Top Bottom