Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,345
- 10,822
Mkuu...ukisafishwa ukapona...Unarudi kwa doctor kufanya Nini ..KUSHUKURU...unafukiria kumuona doctor Ni bure unaingia utakavyo..Mkuu akiponaaaa si lazima aajue mwendelezo wa hali yakee, hlf nimeongelea mazingira tofauti, kuna baadhi wanaenda wana p.i.d n magonjwa mengine, after time huwa mawasiliano yankuwepooo na kun wanao liwa on the spot,
Kwa mfano ana mimba ina mwiki mbili, tatu au mwezi na hana tatizo kwan hapo ana bleed si analiwa ??????
Utaenda Kama unashida nyingine


