Mzee kwani akipona haliki si swala la maelewano sio wakati akiwa mgonjwa tuu , sio mbaya ulivyofikilia lakini.Ur not serious too.
Mtu ameenda kusafishwa kizazi aombwe ngono na huo uchafu?!! Usiwachafue madakitari wetu bana.
Asanteeee kuwa uyaoneeeMwongo mkubwa weeee
Anaweza kwenda akiwa bado anatatizo ila akiponaa anaweza anzisha mahusiano usifikilie wakati wa tukio tuu ila hata baada ya hapooHuenda hijui unachokielezea kwa ufasaha! Ni ngumu mno kwa daktari kumuingilia mwanamke anayehitaji kufanyiwa dnc au kusafishwa kizazi kwani Hadi afikie kupewa huduma hiyo Basi mfumo wake wote wa uzazi utakuwa una tatizo kubwa na huenda unatoa harufu mbaya kiasi kwamba daktari au yeyote hatokuwa na wazo la kumuingilia. Poa mteja anaweza kuwa kwenye maumivu makali ya sehemu hizo kiasi kwamba hatoweza kuhimili kuongezewa maumivu mengine! Tuwaheshimu na kuhemimu tasnia ya udaktari na acha kuwavuruga na kuwachafua! Ukiona vipi mkeo na bintiyo usiwapeleke hospitali Baki nao nyumbani.
Ok sawa km ni hvyooo mkuuuHuduma hiyo daktari hafanyi akiwa pekeake anakuwa na wasaidizi wake. Labda kama kuna kitu umekiruka kwenye uzi wako
Hao vilevile ni jamii na huenda wakawemo na madaktari bila kujua, ila wadada watatoaa tu ushahidi waooLakushangaa nikuwa. Wanaosema wanaliwa wote ni wanaume. Ingekuwa vizuri kama hii mada ingesapotiwa na wanawake ndo tungeona ni ukweli
Kuna Musa wakuburudisha nafSI...Muda wakusafishwa ... doctor aone ndo Muda wakujiburudisha...zile Damu zinatoka nyingi...na maumivu kibaoKwani madaktari ni malaika?
Wana weaknesses kama binadamu wengine.
Wanaweza kufanya lolote lile ili kuburudisha mioyo yao.




Madoctor Ni watu wanahisia..wengine wanahadi magonjwa ya Akili....Kwaiyo wanaweza Baka...Miaka ya nyuma nilikua nakaa na bro wangu daktari..sasa nilikua nimelala chumbani baada ya kusoma sana, kushtuka usingizin nikaskia kuna maongezi yanaendelea kati ya bro na mwanamke. Nikajifanya nimelala siskii ila kiufupi yule mwanamke ni wa pale mtaani maana nilichungulia dirishani wakati anaondoka nikamuona. Alikuwa kaja kumuomba bro ushauri kwamba alibakwa na daktari na akaelezea kwamba alikua anaona kila kitu kinachoendelea japo hakua na nguvu yoyote so sabab nilikuta maongezi katikati nikaelewa alipewa dawa kumlegeza. Akasema anamsongo wa mawazo mno na alikaa zaidi ya wiki yupo kimya ila akashindwa ikabidi aje kuongea na bro maana hata mmewake alikua hajamwambia bado. Ni story ndefu ila kiukweli haya mambo yapo na victims wanakua na wakati mgumu kusema. Unaweza itafuta makala flani ya kenya ya jicho pevu kuna daktari aliwekewa mtego wa camera ofisin kwake mtaona alivyokua anawala wagonjwa wanawake. Hata tabora mwaka jana ishu kama hii iliripotiwa
Mkuu akiponaaaa si lazima aajue mwendelezo wa hali yakee, hlf nimeongelea mazingira tofauti, kuna baadhi wanaenda wana p.i.d n magonjwa mengine, after time huwa mawasiliano yankuwepooo na kun wanao liwa on the spot,Mkuu...kusafishwa...unakua unableed na Tena Muda mwingine heavily na maumivu juu..Sasa huyo doctor wakutaka kufanya Mapenzi Muda Kama huo...atakuwa anashida
Huduma ipi hiyi doctor anasaidiwa...Kama yakusafishwa Wala haitaji usaidiziHuduma hiyo daktari hafanyi akiwa pekeake anakuwa na wasaidizi wake. Labda kama kuna kitu umekiruka kwenye uzi wako
Sikweli kwa mazingira ya TZDaktari yoyote kama anataka kufanya kipimo chochote kwa mgonjwa lazma kuwepo na chaperon. Yaani nurse . Huyo ni shahdi kama linaweza kutokea la kutokea.
Ni uongo wa wanaume kudaganyana hivi wanajua mifumo ya wanawake na wazazi mtu unaumwa kufa daktari anakuokoa hamu itoke wapi, hata ukiwa tu labour ward mnakuwa wengi, theatre yenyewe ni kubwa na kuna vitanda vingi ma nurse wakutosha hyo hamu itoke wapi?Lakushangaa nikuwa. Wanaosema wanaliwa wote ni wanaume. Ingekuwa vizuri kama hii mada ingesapotiwa na wanawake ndo tungeona ni ukweli
Mkuuu ukitaka kuliwa utaliwa...lakini madoctor asilimia kuubwa hawana Muda Huu. Sasa mimba ya wiki mbili doctor anakuchungulia uchi wa Nini?.. kwani ukienda na mimba ndo doctor anakula?...kwani nikienda naharaisha au kungoa jino au maradhi Mengine?Mkuu akiponaaaa si lazima aajue mwendelezo wa hali yakee, hlf nimeongelea mazingira tofauti, kuna baadhi wanaenda wana p.i.d n magonjwa mengine, after time huwa mawasiliano yankuwepooo na kun wanao liwa on the spot,
Kwa mfano ana mimba ina mwiki mbili, tatu au mwezi na hana tatizo kwan hapo ana bleed si analiwa ?