Madaktari wanavyowafanya wake zenu

Madaktari wanavyowafanya wake zenu

Wewe Baki na unachoamini ila ni ngumu kufanyia ufuska hospitalini penye wagonjwa na wahudumu. So tuache kuchafua madaktari ukiona mtu ka do ujue kakubali na nje ya hospital Ila mule na uchungu plus kusafishwa hyo na kupinga kabisa KWA nature ya hospital zetu hizi ni ngumu.
Best hukusikia itakuwa mwaka jana, mgonjwa aliyepooza yupo hosp muda mrefu haongei wala kujisogeza huko USA na alikuwa na Dr wake, walikuja gundua siku anajifungua
 
Acha nikae kimya tyuuh, kuna ma Dr wengine ni mafedhuli kutwa kuharibu watoto watu hasa wa kiume,

Kuna hospital x ipo wilaya x mkoa wa pwani, kuna Dr wa hapo kazi yake ni kuharibu watoto wa kiume wanaokuja hospital hapo kupata matibabu hasa wa secondary.

Haya mambo yapo kweli, sio ya kupuuzwa.
 
Hzo ni rare kesi Sana, Ila KWA nature ya hospital mtu kwenda kujifungua labour au kusafishwa ubakwe ngumu Sana maana kusafishwa ni procedures lazima udungwe mashindano, plus ma nurse kila corner ngumu jamani. Kwanza ni marufuku dr wakiume kuhudumia mwanamke ka kusafisha bila nurse wa kike na huo ndo muongozo
Yaani ukiona hiyo habari imetoka nje tambua huyo mtu ni tabia yake, kuna wengine huona aibu kutoa habari hizo nje
 
Best hukusikia itakuwa mwaka jana, mgonjwa aliyepooza yupo hosp muda mrefu haongei wala kujisogeza huko USA na alikuwa na Dr wake, walikuja gundua siku anajifungua
Hiyo niliona na hzo ni rare kesi ambazo hutokea tena KWA kujiiba Ila huduma ikitolewa lazima Kuna wasaidizi Hadi watatu, na pia hospital kubwa binafsi Zina camera kila corner so ni difficult. Hafu k zamtu kujifungua au kusafishwa hazitamanishi hata wallah. Labda mtu akishapona waendeleze huko nje.
 
Si wote mkuu, kwenye msafara wa màmba kenge wapo, kuna mwaka kitu 2010-13 kuna hosp moja dar kitu kama Temeke, mdada kaenda kung'oa jino tena kasindikizwa na mpenzi, lakini mwenzie aliambiwa asubili nje alazwa usingizi kabakwa na kitolewa jino, alivyotoka pale alijiona tofauti kupimwa kaingiliwa na huyo Dr alikuwa na kazi nyingine police
Siwezi bisha...linawezekana..but mazingira Mengi hayaruhusu...
Bu mtu akiamua lake atalifanikisha tyu
 
Umemaliza haswaaaaaah.
Haya mambo yapo, ila watu huona aibu kuyasema, mie kwa masikio yangu huyo dada halafu naye alikuwa nurse hosp nyingine alifanyiwa na Dr ila alimwambia rafiki yake ambaye ni dada yangu akawa anasikitika tu Dr mwenyewe anaheshimika kweli mmm
 
Hiyo niliona na hzo ni rare kesi ambazo hutokea tena KWA kujiiba Ila huduma ikitolewa lazima Kuna wasaidizi Hadi watatu, na pia hospital kubwa binafsi Zina camera kila corner so ni difficult. Hafu k zamtu kujifungua au kusafishwa hazitamanishi hata wallah. Labda mtu akishapona waendeleze huko nje.
Haaa haa wao wanajua ambacho huwa wanakitamani
 
Msimbishie wapo wanaofanya hivyo, mie kuna Dr nilikuwa namfahamu vizuri, watu walikuwa wanamlalamikia sana japo alikuwa Dr mwenye elimu yake nzuri kwa ajili ya kusaidia wanawake, kabla ya kazi alikuwa anawapa dawa mtu analala anafanya yake kabisa
😀😀 Wanatetea madoctor wenzao jamani
 
Kimsingi unazungumza kitu usichokuwa na ushahidi nacho.
 
Na ukiwa hospital ukiona dr analeta za tofauti una omba nurse hawepo hapo
Sio rahisi kuomba nurse..inategemea unafanya Nini?...Sasa unaenda kwa gynaecologist...aanataka kuangalia kitu...utamdai nesi awepo.

Tunaamini madoctor kuwa wanajua wanachokifanya...na kuwa wanaethics..

But je wewe ofisini kwako unafuata Ethics za kazi yako?....
Watakuwepo madoctor wabaya...wasio na ETHICS but SI wengi

Pia
 
Wanaliwa sana hasa wanaotoa mimba wanakuwaga watamu halafu hawana hela!
Ukimtisha tu kwamba mimba yako kuitoa ni ngumu, ongeza pesa, au leta mzigo lazima atoe!
Akigoma sana unamtandika sindano ya ganzi unamtia kwanza ndo unakuja kumfrash mimba yake!
Wanaotoa mimba ni wazuri sana kutunza siri!
Wanalika sana! Kwanza huwa wamepaniki pili hutaka iwe siri! USIPOWALA HAKIKA WEWE JOGOO HAPANDI MTUNGI
Nawewe Ni daktari?
 
Na nurse mwanaume aliye mbaka mjamzito aliyeenda kujigungua! Tena mwaka jana Katavi huko mama anauchungu kaenda na mama yake, mkunga kaingia naye mazima mama anashituka mkunga anamaliza, alikimbia na kumwacha bila hata kumsaidia kujifungua nacheka kama vizuri.
Ungewawekea kapicha labda wangekuelewa kipenzi 😀😀
 
Miaka ya nyuma nilikua nakaa na bro wangu daktari..sasa nilikua nimelala chumbani baada ya kusoma sana, kushtuka usingizin nikaskia kuna maongezi yanaendelea kati ya bro na mwanamke. Nikajifanya nimelala siskii ila kiufupi yule mwanamke ni wa pale mtaani maana nilichungulia dirishani wakati anaondoka nikamuona. Alikuwa kaja kumuomba bro ushauri kwamba alibakwa na daktari na akaelezea kwamba alikua anaona kila kitu kinachoendelea japo hakua na nguvu yoyote so sabab nilikuta maongezi katikati nikaelewa alipewa dawa kumlegeza. Akasema anamsongo wa mawazo mno na alikaa zaidi ya wiki yupo kimya ila akashindwa ikabidi aje kuongea na bro maana hata mmewake alikua hajamwambia bado. Ni story ndefu ila kiukweli haya mambo yapo na victims wanakua na wakati mgumu kusema. Unaweza itafuta makala flani ya kenya ya jicho pevu kuna daktari aliwekewa mtego wa camera ofisin kwake mtaona alivyokua anawala wagonjwa wanawake. Hata tabora mwaka jana ishu kama hii iliripotiwa
Kweli kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake....wacha na sie malecturers tujilie vi first year bwana.
 
Haya mambo yapo, ila watu huona aibu kuyasema, mie kwa masikio yangu huyo dada halafu naye alikuwa nurse hosp nyingine alifanyiwa na Dr ila alimwambia rafiki yake ambaye ni dada yangu akawa anasikitika tu Dr mwenyewe anaheshimika kweli mmm
Kabisaaaa yaan yapo haya mambo.
 
Back
Top Bottom