Madaktari wanavyowafanya wake zenu

Madaktari wanavyowafanya wake zenu

Hzo ni rare kesi Sana, Ila KWA nature ya hospital mtu kwenda kujifungua labour au kusafishwa ubakwe ngumu Sana maana kusafishwa ni procedures lazima udungwe mashindano, plus ma nurse kila corner ngumu jamani. Kwanza ni marufuku dr wakiume kuhudumia mwanamke ka kusafisha bila nurse wa kike na huo ndo muongozo
Hospital ulioenda nzuri... Wanakusafisha na kudungwa na masindano

Mimi I had a miscarriage...ilikuwa dry dry mydear.....Yaaani hakuna Cha sindano Wala Nini. Ni vyuma tu na plastic....Nilisikia maumivu SI ya nchi hii....LOOOOH

Nashangaa huyo atake kubaka katika Hali hiyo...atakuwa na shida mahala
 
Na ukiwa hospital ukiona dr analeta za tofauti una omba nurse hawepo hapo
Mpaka uwe na uelewa basi, kuna mwingine unapelekwa kama kondoo anayeenda kunyolewa manyoya
 
Acha nikae kimya tyuuh, kuna ma Dr wengine ni mafedhuli kutwa kuharibu watoto watu hasa wa kiume,

Kuna hospital x ipo wilaya x mkoa wa pwani, kuna Dr wa hapo kazi yake ni kuharibu watoto wa kiume wanaokuja hospital hapo kupata matibabu hasa wa secondary.

Haya mambo yapo kweli, sio ya kupuuzwa.
Wewe Unasema haya.mambo SI ya kupuuzwa...alafu umamjua Doctor anaelawiti wanafunzi alafu unakaa kimya..

Wewe ndo.unapuuuza mambo
 
Wewe Unasema haya.mambo SI ya kupuuzwa...alafu umamjua Doctor anaelawiti wanafunzi alafu unakaa kimya..

Wewe ndo.unapuuuza mambo
Naamini mwisho wake utafika tyuuh, ila nachomaanisha ni kuwa haya mambo yapo kweli, sio ya kubezwa kuwa hayapo.
 
Acha nikae kimya tyuuh, kuna ma Dr wengine ni mafedhuli kutwa kuharibu watoto watu hasa wa kiume,

Kuna hospital x ipo wilaya x mkoa wa pwani, kuna Dr wa hapo kazi yake ni kuharibu watoto wa kiume wanaokuja hospital hapo kupata matibabu hasa wa secondary.

Haya mambo yapo kweli, sio ya kupuuzwa.


Funguka Chief! Husiogope! Utaokoa wengi sana! Please!!
 
Kun hostpitali za mjini na vijijini na kuna zenye madaktri kamili na na zisizo na madktari usilete mfano wa hospitali moja


Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Habari ndugu zangu udaktari ni kazi ngumu sana na inahitaji moyo kuifanya ninawapongeza waliofanikisha na wanaofanya mpaka sasa maana kuna muda inatia stress sana hivyo huwa nao kuna muda huchoka. Licha ya hayo katika madaktari kuna ambao wana jiheshimu na wanao yapeleka mambo wajuavyo bila heshima na kufuata ethics za udaktari.

Kuna matukio mengi sana ya madaktari kutembea na wake za watu ( hapa naongelea madaktari wa kiume na hasa upande wa uzazi) bila mume kujua na kuelewa kwa kweli ukiachana na swala la wadada kujipendekeza wao wenyewe ila hata hawa watu hutumia nafasi zao kuwarubuni.

Mfano kuna mmoja ya binti jirani yangu aliwahi patwa na tatizo la uzazi hivyo alilazimika kwenda kusafishwa kizazi baada ya maelezo mafupi kuhusu hali yake kilichotokea ni kwamba daktari alimwambia kaa kitandani kama ilivyotaratibu kilichofuata akaambiwa toa nguo akatoa zilizo sehemu ya siri akafanya hatua za mwanzo " akamwongopea yule dada kwamba haiwezikani kusafisha njia mpaka kulainishwe basi dada akakubali basi wakati anasubili mara bwana mkubwa anataka kuweka rungu dada akastuka akakataa " kwa kweli hii habari imenisikitisha sana.

Pili kuna wake za watu wanawekewa vikwazo mpaka waweze kushiriki tendo na wataalamu wetu licha ya hilo kuna wale wakipewa huduma kwa sababu wamewachungulia basi madaktari hutumia nafasi hizo kuwatafuta na kuwatafuna.


Lengo langu je kwa nini ? Madktari wakike hawafanyi hizi kazi kwa kulinda heshima na kuepuka unyanyasaji wa kisaikolojia kwa mwanamke ? Hata kama ni wachache lakini kwa nini kusiwe na jitihada ili kupunguza hili janga.

Je haya mambo yapo kwa kiasi gani ?kama unajua sema kidogo juu ya hili Na sisi kama jamii hili swala ni sawa?

Je kuna kuna sheria za kulinda haki ya mgonjwa kati ya daktari(haswa wakiume kwa wakike na kivipi wakati wanakua wawili tu), (daktari wa kike kwa wakiume tusemezane pia kama ipo) ikiwa imebainika kuna unyanyasaji ?



Malalamiko yako mengi nimetoa mifano kidogo ili kuelewesha wapi nalenga ila hapa nataka tujadili kwa upana hili swala hivyo nakarbisha mawazo yenu kwa uliyosikia na kushuhudia ili kuona namna ya kulikabili hili tatizo.

Mungu awalinde madaktari wawe na moyo mwema wa kujituma bila tamaa bila kwenda nje ya kanuni zao.

Amina.
Kaka nakushauri kasome na wewe uwe daktari. Tusileteane mambo ya kipuuzi apa
 
Mkuuu ukitaka kuliwa utaliwa...lakini madoctor asilimia kuubwa hawana Muda Huu........Sasa mimba ya wiki mbili doctor anakuchungulia uchi wa Nini?.. kwani ukienda na mimba ndo doctor anakula?...kwani nikienda naharaisha au kungoa jino au maradhi Mengine?

Doctor Anaweza Tongoza akikutamani au akikupenda...Kama ambavyo watu wengine hufanya..

Alafu PID.... wanaangalia kwa ultrasound...kwa uzoefu Wangu
Doctor unamwambia symptoms anakuandikia uende maabara au ultrasound.

Doctor Ni mwanadamu....na Kuna wengine wanajitongozesha wenyewe kwa madoctor.

Swala la doctor kula mgonjwa lipo....but mazingira Mengine ndo hayaiingii akilini
Mimi Kuna PISI baada ya kumsaidia kupona ilijitongozesha na kusema kako lonely kanataka niwe nakapa company bs akawa anatimba magetoni mengine yaliyoendelea tuyaache....mwaka juzi 2019.
 
HILI lawezekana.... Kuna doctor marekani Alikua Anawaambia wagonjwa Wana cancer...ili aingize pesa kwenye Firm yake..


So doctor kubaka inawezekana kabisa....Lakini Ni wachache kwakweli..
Haiwezekani profesheni ikawa haina watu wasio na ETHICS.
Kibongo bongo kuna ile hali ya kuestablish mawasiliano na daktari kwa ajili ya follow ups baada ya surgery! Humu ndani watu watajitia jeuri kana kwamba hawaelewi umuhimu wa daktari kwa afya ya mtu husika ila ndio inavyokuwa katika mawasiliano kama doctor alikupenda na wewe ukampenda mtajikuta mmefanya mapenzi hata baada ya kupona tu.
 
Uislamu una msimamo, huwezi kuta huu ushenzi nchi zao kama nchi za upande wa pili. Enyi ndugu sio kwamba nawaponda laa hasha, ukweli ndio huo,, tena munatakiwa munishukuru kweli kweli.
 
Back
Top Bottom